Lowassa 'yu hoi' Monduli

Henry Kilewo

JF-Expert Member
Feb 9, 2010
899
1,084
Katika kile kinacho semekana ya kuwa utabiri wa kweli unatimia umeanza kujionyesha dhahiri huko jimbo la monduli anapotoka fisadi lowassa,

mapema juzi kijiji kimoja na vya jirani alimaarufu kama mto wa mbu, kijiji hicho na vya jirani siku za nyuma vilikuwa ni ngome kuu ya lowassa laki ya kustaajabisha baada ya kamanda wa CHADEMA mgombea ubunge wa jimbo hilo kwenda kuhutubia na kumwaga sera za uhakika na si longo longo

kijij kizima kikashusha bendera za ccm na kupandisha za chadema na wanakijiji hawo kuapa ya kuwa lowassa asitegemee kupata kura hata moja kutoka kijiji hicho na vijiji vya jirani,

lowassa alivyo pata habari akatuma timu yake pamoja na yeye mwenyewe wakaenda pale, yaliyo mkuta lowassa hakuamini baada ya baadhi ya jamii ya kimasai kupandisha morali huku wakisema unatuaibisha jamii ya kimasai ndiyo maana tunakuhisi yakuwa wewe siyo mmasai,

nibora tukaongozwa na mtu tunayejua kuwa simmasai kuliko kuwa na imani kuwa tunaongozwa na masai wmenzetu kumbe pandikizi kwa hali hii ulivyo liaibisha jamii ya kimasai sasa basi hapa no CCM hapa ni ile chama ya ule mtu inaitwa SLAA (CHADEMA) wewe ondoka tu hapa kabla haja kukuta mengine,

masai wakakaa waka chagua mtu wao mmoja kwajili ya kupiga kura kwa CCM ili wasije wakasalitiana wengi wapiga naasijulikane nani kafanya hivyo,

so kwasasa bendera za chadema ndizo zinazo pepea maeneo hayooo........ WAO WANA HELA sisi CHADEMA TUNA MUNGU.... MPAKA KIELEWEKE
 
watu wengine wanadhani mambo ni rahisi sana... hivi unamjua lowassa wewe??
 
nibora tukaongozwa na mtu tunayejua kuwa simmasai kuliko kuwa na imani kuwa tunaongozwa na masai wmenzetu kumbe pandikizi kwa hali hii ulivyo liaibisha jamii ya kimasai sasa basi hapa no CCM hapa ni ile chama ya ule mtu inaitwa SLAA (CHADEMA) wewe ondoka tu hapa kabla haja kukuta mengine,

PROVERB 16: 9 You may have your plans but GOD directs your action.

Siku zote Monduli Lowasa alikuwa hakubaliki lakini mchanganyiko wa rushwa, viapo vya kuwafunga wapigakura na upinzani kukosa mgombea Uraisi mwenye mvuto kwenye jamii kumechangia njemba hii kutesa huko.

Lakini sasa kuwemo kwa Dr. Slaa kumebadilisha upepo wa Nchi nzima na Lowassa, Mramba, Chenge na Rostam Aziz wote safari wapigakura watawakataa.
 
watu wengine wanadhani mambo ni rahisi sana... Hivi unamjua lowassa wewe??

wewe acha kuongea pumba anaye mfahamu lowassa ni mke wake na familia yake hapa tunaongelea mstakabali wa maendeleo ya taifa letu na mustakabali ya watu anao waongoza na sisi kuongea propaganda na ni wapiga kura wake ndiyo wamemkataa then tofauti 2005 na 2010 ni vitu viwili tofauti .............. Wananch wamechoshwa

kuongozwa na mafisadi wa rasilimali zao then wanapigiwa kampeni wapitishwe tena dic time kamanda hapa monduli lowassa hana chake
 
wewe acha kuongea pumba anaye mfahamu lowassa ni mke wake na familia yake hapa tunaongelea mstakabali wa maendeleo ya taifa letu na mustakabali ya watu anao waongoza na sisi kuongea propaganda na ni wapiga kura wake ndiyo wamemkataa then tofauti 2005 na 2010 ni vitu viwili tofauti .............. Wananch wamechoshwa

kuongozwa na mafisadi wa rasilimali zao then wanapigiwa kampeni wapitishwe tena dic time kamanda hapa monduli lowassa hana chake
dogo sikiliza, tena sikiliza sana

mambo ya mke na familia, tuna jukwaa kule, karibu sana... i am talking about politics and uchaguzi to be specific.. mimi si wewe unayejadili mpita njia ukiwa selo.. you hvae to get out to see the sunlight!!

Lowassa ni zaidi ya unavyomjua, wenye akili timamu wanaelewa... kumuangusha ni zaidi ya mto wa mbu... ningekua naongea na kuwaza unavyowaza, basi tungekua na nchi mbaya zaidi ya hapa

you must learn to appreciate capability ya mtu kabla ya kuweka mabandiko udhaniayo... kwenye primaries tuliambiwa kakaliwa koon, akachapa over 90%... he is powerful and capable of using vinavyoonekana na visivyoonekana. FYI, hata rafiki yangu lema pale arusha, kama isingekua lowassa basi angeanza kusherehekea ushindi

Una jina zuri lakini huendani nalo
 
mhhh hii ya Lowassa nakaa kimya.maana jamaa hili lina mbinu za kifashisti sana
 
watu wengine wanadhani mambo ni rahisi sana... hivi unamjua lowassa wewe??
Mkuu usemayo yana ukweli ndani yake maana namjua LOWASA mzee wa hulka na mtandao mkubwa. Namjua Lowasa ana mapandikizi mengi kuanzia ccm, serikalini mpaka kwenye vyama vya upinzani. anatumia nguvu ya fedha zetu alizokwapua kiujanjaujanja.
Inabidi kuwepo na master plan njema ya kuangusha mbuyu ili tusionekana kana kwamba tunafyeka msitu kwa kiwembe.
Lete plan basi nini kifanyike kumtoa huyu fisadi anayedhani watanzania wanampenda
 
watu wengine wanadhani mambo ni rahisi sana... hivi unamjua lowassa wewe??

Acid bwana, inaonekana Lowassa anakutisha sana, ni kweli si rahisi kwa fisadi kama yeye kukubali kirahisi kushindwa na ikitiliwa maanani kuwa fedha za kifisadi na jazba kibao zipo.. lakini kwani yeye nani isiwezekane bwana.. acha kukata tamaa bwana, statement yako kidogo ina onyesha ku give up!!!
 
dogo sikiliza, tena sikiliza sana

mambo ya mke na familia, tuna jukwaa kule, karibu sana... i am talking about politics and uchaguzi to be specific.. mimi si wewe unayejadili mpita njia ukiwa selo.. you hvae to get out to see the sunlight!!

Lowassa ni zaidi ya unavyomjua, wenye akili timamu wanaelewa... kumuangusha ni zaidi ya mto wa mbu... ningekua naongea na kuwaza unavyowaza, basi tungekua na nchi mbaya zaidi ya hapa

you must learn to appreciate capability ya mtu kabla ya kuweka mabandiko udhaniayo... kwenye primaries tuliambiwa kakaliwa koon, akachapa over 90%... he is powerful and capable of using vinavyoonekana na visivyoonekana. FYI, hata rafiki yangu lema pale arusha, kama isingekua lowassa basi angeanza kusherehekea ushindi

Una jina zuri lakini huendani nalo
wewee acha kukatisha makamanda tamaa LOWASSA NI LOWASSA hawezi kushindna na nguvu ya umma na kuhakikishia mwaka huu ni mwaka wa mabadiliko ya kweli na lowassa hachomoki monduli kama jina linakuogopesha ni wewe na vibaraka wako tulipo sema ukombozi wa kweli

hatukuangalia tunaanza nanani, tuliangalia mustakabali wa taifa nzima so usilete maneno yako mepesi kwenye majibu mgumu ambaya tumekwisha amua,,,, sawa kamanda nadhani umenielewa kama bado njoo monduli ujionee hali halisi na siyo jina,

majina tunayo toka enzi na enzi kama we nikamanda weka jina lako live kama mimi , mukiitwa vibaraka mnakataa wakata muda unawahukumu, lowassa fisadi tupa kulee, kamuelezi KAMANDA KILEWO ANASEMA MWAKA HUU AMAZAKO AMA CHADEMA ILA` JIMBO HUCHUKUI
 
Mkuu usemayo yana ukweli ndani yake maana namjua LOWASA mzee wa hulka na mtandao mkubwa. Namjua Lowasa ana mapandikizi mengi kuanzia ccm, serikalini mpaka kwenye vyama vya upinzani. anatumia nguvu ya fedha zetu alizokwapua kiujanjaujanja.
Inabidi kuwepo na master plan njema ya kuangusha mbuyu ili tusionekana kana kwamba tunafyeka msitu kwa kiwembe.
Lete plan basi nini kifanyike kumtoa huyu fisadi anayedhani watanzania wanampenda
mkuu... nashukuru kunipa nafasi... unajua ukisoma post number 1, utadhani kazi imeisha

lakini cha maana hapa ni kukusanya nguvu, lowassa was not built in a day and will not go down kirahisi... kama kuna nia ya dhati, basi ni kuanza kukamata viti vya mwdiwa, wanampa sana nguvu kwani, ikiisha hiyo ndio kupanda juu
 
wewee acha kukatisha makamanda tamaa LOWASSA NI LOWASSA hawezi kushindna na nguvu ya umma na kuhakikishia mwaka huu ni mwaka wa mabadiliko ya kweli na lowassa hachomoki monduli kama jina linakuogopesha ni wewe na vibaraka wako tulipo sema ukombozi wa kweli

hatukuangalia tunaanza nanani, tuliangalia mustakabali wa taifa nzima so usilete maneno yako mepesi kwenye majibu mgumu ambaya tumekwisha amua,,,, sawa kamanda nadhani umenielewa kama bado njoo monduli ujionee hali halisi na siyo jina,

majina tunayo toka enzi na enzi kama we nikamanda weka jina lako live kama mimi , mukiitwa vibaraka mnakataa wakata muda unawahukumu, lowassa fisadi tupa kulee, kamuelezi KAMANDA KILEWO ANASEMA MWAKA HUU AMAZAKO AMA CHADEMA ILA` JIMBO HUCHUKUI

nimependa spirit yako, basi isiishie kwenye JF... vipi jimbo la monduli lina kata ngapi? na CHADEMA inategemea kuchukua viti vingapi vya udiwani?
 
Acid bwana, inaonekana Lowassa anakutisha sana, ni kweli si rahisi kwa fisadi kama yeye kukubali kirahisi kushindwa na ikitiliwa maanani kuwa fedha za kifisadi na jazba kibao zipo.. lakini kwani yeye nani isiwezekane bwana.. acha kukata tamaa bwana, statement yako kidogo ina onyesha ku give up!!!
soma signature yangu utanielewa

a good winner lazma awe strategist, its not one size fits all kama tunavyodhani
 
nafikili Slaa amerizie kampeni katika jimbo hilo kummliza kabisa huyu jamaa
 
watu wengine wanadhani mambo ni rahisi sana... hivi unamjua lowassa wewe??

Heshima kwako Acid,

Mkuu wapo baadhi ya wanajamvi wanpenda kuleta habari za kufurahisha.Mkuu jimbo la Monduli ni mali ya Lowasa kama tunataka kufurahisha jamvi sawa.
 
Yana mwisho haya, Lowasa atakwenda na maji kama tu watu wale kule Monduli wataeleweshwa na kuelewa, wataelimishwa na kuelimika. Nani alitaraji mzee wangu Malecela Kuwa nje ya Jukwaa la Ubunge muda huu. na mikakati yake yoote, na ukongwe wake woote, TingaTinga likaangushwa na bajaji. chaaali.
 
Yana mwisho haya, Lowasa atakwenda na maji kama tu watu wale kule Monduli wataeleweshwa na kuelewa, wataelimishwa na kuelimika. Nani alitaraji mzee wangu Malecela Kuwa nje ya Jukwaa la Ubunge muda huu. na mikakati yake yoote, na ukongwe wake woote, TingaTinga likaangushwa na bajaji. chaaali.


Shoka moja mbuyu chini...and that was the tingatinga story...
 
.... siafu aweza ua Tembo. Hitler alilala mbele. Amin alilala mbele. Mabutu alilala mbele.Kaburu S.A aliachia ngazi. YOTE HAWEZEKANA. HAKUNA LISILOWEZEKANA MBELE YA HAKI............ Amini hivyo.... Lowasa ni Binadamu hana dhamana na anachowaza mtu rohoni.....
 
Back
Top Bottom