Henry Kilewo
JF-Expert Member
- Feb 9, 2010
- 899
- 1,084
Katika kile kinacho semekana ya kuwa utabiri wa kweli unatimia umeanza kujionyesha dhahiri huko jimbo la monduli anapotoka fisadi lowassa,
mapema juzi kijiji kimoja na vya jirani alimaarufu kama mto wa mbu, kijiji hicho na vya jirani siku za nyuma vilikuwa ni ngome kuu ya lowassa laki ya kustaajabisha baada ya kamanda wa CHADEMA mgombea ubunge wa jimbo hilo kwenda kuhutubia na kumwaga sera za uhakika na si longo longo
kijij kizima kikashusha bendera za ccm na kupandisha za chadema na wanakijiji hawo kuapa ya kuwa lowassa asitegemee kupata kura hata moja kutoka kijiji hicho na vijiji vya jirani,
lowassa alivyo pata habari akatuma timu yake pamoja na yeye mwenyewe wakaenda pale, yaliyo mkuta lowassa hakuamini baada ya baadhi ya jamii ya kimasai kupandisha morali huku wakisema unatuaibisha jamii ya kimasai ndiyo maana tunakuhisi yakuwa wewe siyo mmasai,
nibora tukaongozwa na mtu tunayejua kuwa simmasai kuliko kuwa na imani kuwa tunaongozwa na masai wmenzetu kumbe pandikizi kwa hali hii ulivyo liaibisha jamii ya kimasai sasa basi hapa no CCM hapa ni ile chama ya ule mtu inaitwa SLAA (CHADEMA) wewe ondoka tu hapa kabla haja kukuta mengine,
masai wakakaa waka chagua mtu wao mmoja kwajili ya kupiga kura kwa CCM ili wasije wakasalitiana wengi wapiga naasijulikane nani kafanya hivyo,
so kwasasa bendera za chadema ndizo zinazo pepea maeneo hayooo........ WAO WANA HELA sisi CHADEMA TUNA MUNGU.... MPAKA KIELEWEKE
mapema juzi kijiji kimoja na vya jirani alimaarufu kama mto wa mbu, kijiji hicho na vya jirani siku za nyuma vilikuwa ni ngome kuu ya lowassa laki ya kustaajabisha baada ya kamanda wa CHADEMA mgombea ubunge wa jimbo hilo kwenda kuhutubia na kumwaga sera za uhakika na si longo longo
kijij kizima kikashusha bendera za ccm na kupandisha za chadema na wanakijiji hawo kuapa ya kuwa lowassa asitegemee kupata kura hata moja kutoka kijiji hicho na vijiji vya jirani,
lowassa alivyo pata habari akatuma timu yake pamoja na yeye mwenyewe wakaenda pale, yaliyo mkuta lowassa hakuamini baada ya baadhi ya jamii ya kimasai kupandisha morali huku wakisema unatuaibisha jamii ya kimasai ndiyo maana tunakuhisi yakuwa wewe siyo mmasai,
nibora tukaongozwa na mtu tunayejua kuwa simmasai kuliko kuwa na imani kuwa tunaongozwa na masai wmenzetu kumbe pandikizi kwa hali hii ulivyo liaibisha jamii ya kimasai sasa basi hapa no CCM hapa ni ile chama ya ule mtu inaitwa SLAA (CHADEMA) wewe ondoka tu hapa kabla haja kukuta mengine,
masai wakakaa waka chagua mtu wao mmoja kwajili ya kupiga kura kwa CCM ili wasije wakasalitiana wengi wapiga naasijulikane nani kafanya hivyo,
so kwasasa bendera za chadema ndizo zinazo pepea maeneo hayooo........ WAO WANA HELA sisi CHADEMA TUNA MUNGU.... MPAKA KIELEWEKE