halafu ukishaupata utaupeleka wapi we kiazi!!!toeni ushahidi wa Mali zao ili tulinganishe kwa uzuri zaidi tukiwa na facts
halafu ukishaupata utaupeleka wapi we kiazi!!!
Suala la Ulutheri linashabihana vipi na mali za mtu hapa? Au unataka tuanze kutaja machafu ya watu na imani zao hapa? Acha utoto wa kichambuziWote ni WALUTELI, wanatoka Arusha, weupe kwa rangi, wamesha wahi kuwa mawaziri wakuu.
Wote walikuwa na kashfa ya kujilimbikizia mali.
Nani zaidi?
Wote ni Waluteli, wanatoka Arusha, weupe kwa rangi, wamesha wahi kuwa mawaziri wakuu.
Wote walikuwa na kashfa ya kujilimbikizia mali.
Nani zaidi?