Lowassa una tatizo

Mimi, mke wangu na wadogo zangu watatu ninaokaa nao saa 11 alfajiri siku ya uchaguzi tutakuwa kituo cha kupiga kura kumpigia KURA ZA NDIO LOWASA
 
Miaka zaidi ya hamsini tumedanganywa kwa hadithi ndeefu na ndo zimetuweka hapa tulipo...bora mwenye vipaumbele vichache vinavyotekelezeka kuliko porojo nyingi ambazo mwisho wa siku watu tutahoji kutokutekelezwa. Majibu yao mepesi tu wataendeleza alipoishia mwingine. Poor them
 
Hatuchagui rais wa Umoja wa Mataifa, tunachagua rais wa tanzania, huyu bibi hana hoja

Kama wananchi walio wengi watamchagua kama mtawala wao basi itakuwa hivyo na ni haki yao, kama demokrasia inavyotaka, kikubwa ni matokeo tu ya urais.
 
Hatuchagui rais wa Umoja wa Mataifa, tunachagua rais wa tanzania, huyu bibi hana hoja

Unaposema hatuchagui rais wa umoja wa mataifa unamaanisha nini?
Kwamba Lowasa atajifungia ikulu tuu na kutusomea hotuba recorded ? Kwamba Lowasa hatashiriki vikao vya africa na dunia watakapomhitaji? Kwamba Lowasa atakapoombwa kuwa mwenyeji wa vikao vya usuluhishi hotuba za ufunguzi zitasomwa kwa kurekodiwa?
Machache hayo nijibu.
Ukishakuwa,rais wa nchi huwezi kukwepa habari za AU na UN.
 

Nyumbu loh kweli una mahaba na lowasa hongera ila jpm ndo Mr preziiii na ukwimi alipewa na mama yk.
 

Dah nouma sana kweli mafunguo habebeki hata kwa mbeleko ya chuma.
 



Dada Happy Chagua Zawadi Unayoitaka Nitakuletea Popote Pale Utakapokuwepo Kwani Nikiri Hakuna Siku NILIYOFURAHISHWA Na Michango Ya Members Humu Kama Huu Uzi Wako Na Ulichokiandika. Hakika Dada Happy Wewe Ni HAZINA Na NIMEPENDA Mno Uwezo Wako Mkubwa Wa KUCHAMBUA MAMBO KWA HOJA Na KIUHALISIA. Nina UHAKIKA Usio Na Shaka Kuwa Hata Ulipokuwa Shuleni Na Chuoni Walimu Na Wahadhiri Wako HAWAKUPATA Taabu KUKUFUNDISHA Kwani Inaonekana Kabisa Kuwa Kabla Hata Hujazaliwa Na Ukiwa Tumboni Tayari Ulikuwa Ni Genius. Sijui Niseme Nini Kwako Dada Ila Fahamu Tu Kuwa UZI WAKO HUU UMENIKUNA KULIKOTUKUKA Na Naomba Ruhusa Yako Niutumie Kama Reference Yangu Pindi Ninapokuwa Nimekaa au Nazungukwa Na " Wapumbavu Na Malofa " Ambao Ninao Wengi Tu Huku Kitaani Na Ofisini Kwangu Pia. UMEMALIZA KILA KITU HAPO Dada Happy Katabazi Na Nimegundua Kuwa Kumbe Wewe Ni Mtani Wangu Pia Wa Kihaya. Nilitaka Nishangae Ni Mhaya Gani ASIYEJUA KUFIKIRI? Umenifanya Nizidi KUWAPENDA Na KUWAHESHIMU Watani Zangu Wazuri Wa KIHAYA. Wakora Waitu Happy.
 
Muda ulikua hautoshi kusema mambo yote hayo.
Tunachotaka sisi ni mabadiliko, huoni Slaa yuko kimya lakini hakuna anayejali?

Hiyo kumtaja tu inaonyesha unajali.!
 

Huyo JK hivyo vikao vya Afika na Umoja wa Mataifa anavyohutubia huko vinatusaidia nini sisi Watanzania? Umoja wa Mataifa tuna balozi wetu kule atatuwakilisha,,Sio lazima rais aende huko
 
na mimi nakujibu kama upumbavu wako ulivyo.

Tumeamua kuiondoa ccm madarakani, kwa maneno mengine ni kwamba madaraka tuliyoipa ccm kuiongoza serikali sasa tunainyang'anya.

kwa muktadha huo ccm haina nafasi ya kutuchagulia nani wa kumpa madaraka hayo.

ccm ijilaumu yenyewe.
 
Ila lazima tukubali mgombea wetu anakosa "sauti" ya kutamba,hata kama ni longolongo basi alipuke na sauti na sura ionyeshe hivo.mgombea kapoza sana
 
Nasikia kulikuwepo na vijana wamekula na kunywa viroba mpaka wamejimwagia na kuvua nguo ..mpaka watu mitaani wqnasema Lowassa atakuwa rais wa mateja na wanywa viroba basi ..na mie nimehitimisha kwa kumpa ushindi Magufuri wa 90% tena ulio wa harari kabisa na sababu kubwa ni jamaa yuko siriazi sana na anaeleweka pasipo hata kusaidiwa na mtu
 
Wenye maneno machache ni watekelezaji na wenye blah blah nyingi ni waongo. Tumechoka kupeleka ikulu watu wenye maneno mengi utekelezaji zero, we want the opposite this time tunataka utekelezaji tumechoka kelele.
 

CCM imeifanya Tanzania kuwa nchi ya aina yake iliyojaa malofa na wapumbavu. Tunataka mabadiliko na kuiondoa CCM by all means necessary. Wagonjwa na wazima tunaunganisha nguvu kulitoa hili joka linalotufanya tuchekwe na dunia nzima. Kuna faida gani ya kuwa na rais anayeweza kutoa hotuba ya dakika 60 UN wakati anatoka katika nchi tajiri kuliko zote duniani lakini vilevile ni maskini kuliko zote duniani?
 
Huyo JK hivyo vikao vya Afika na Umoja wa Mataifa anavyohutubia huko vinatusaidia nini sisi Watanzania? Umoja wa Mataifa tuna balozi wetu kule atatuwakilisha,,Sio lazima rais aende huko

Kazi ipo kwa kweli. Kuwa na watu wenye kuamini ushabiki kuliko uhalisia.
 
Umejitahid kuandika ila sisi ni chadema/ukawa hata muandike nn
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…