Lowassa una tatizo

Lowassa una tatizo

Huyu dada ni mshabiki wa ccm! Lakin tu mpe ukweli kwamba ccm hawana lolote, magufuli huyuhuyu anayeahidi vitu vingi amesuburii ila ya ccm pale jangwani, sasa tuulize kama anayoahidi magufuli yamo ndani ya ilan ya ccm kwanini kwa miaka yote ilikuwa haitekelezwi kwa uhai wa ccm? Ccm na wazuri kwa ilan ya kuhadaa wananchi siyo ya utekelezaji.

Wananchi tuamke tuachane na ahadi za magufuli utafikiri hakutoka ccm wakat kwa takriban 20yrs yumo ndani ya baraza la mawaziri wa ccm
 
Mbinu za UKAWA ziko very scientific,hawa tabiriki,unge tulia na kuangalia ITV baada ya habari nadhani usinge kuja na hizi tenzi zako....!!!

Kama mbinu ni kuwapa nafasi watu wa vijiweni wapayuke na kumnyima muda mhusika ili msingizie polisi itabidi muoongoze tz ya kufikirika. Na hata hizo dk saba alizotumia vipaumbele ni kumtoa babu seya aliyedhalilisha watoto wa maskini! Hiyo ikulu wataiona tu na uzuri kuna barabara hawazuiwi kuitumia ili wauone mjengo...ninyi ni KINA YUDA wasaliti wa wanyonge
 
#hapa pont tu kazi hata punda anafanya.

Linganisha vipaumbele vya hawa Wagombea wetu,

LOWASSA,
1.Elimu
2.Kilimo
3.Afya
4.Mawasiliano
5.Nidhamu pamoja na Utawala bora.

Kwenye kona ya kitalaaam Lowassa yuko vizuri sana amegusa mahitaji ya jamii kwa kutumia lugha ambayo inaeleweka kwa kila mtu, intellectual pamoja na layman

VS
Ahadi za JP Magufuli;
1. Umoja wa Taifa
2. Kulinda Muungano wa Tanzania.
3. Ulinzi na usalama
4. Kuheshimu mihimili ya Dola.
5. Mahakama maalum ya mafisadi na majizi
5. Utawala bora
7. Ataheshimu mawazo yote ya kuleta maendeleo hata yakitoka upinzani
8. Ataimarisha vyombo vya usalama
9. Vita dhidi ya ubadhirifu
10. Kodi ilipwe na wote
11. Ataongeza ajira kwa kuimarisha viwanda
12. Sekta ya kilimo itaimarishwa
13. Sekta ya mifugo itaimarishwa ili iwe na tija kwa kujenga viwanda
14. Madini yatadhibitiwa ili yalete maendeleo
15. Maji yatapelekwa Vijijini na mijini
16. Zahanati kila kijiji, Hospitali ya rufaa kila mkoa, kuboresha maslahi ya wauguzi
17. Elimu bure hadi kidato cha nne, nyumba za walimu zitajengwa.
18. Wanafunzi wa vyuo vikuu, atahakikisha mikopo inakwenda mapema ili wasome
19. Kujenga hostel za wana vyuo
20. Maslahi ya watumishi, kila mtu anayefanya kazi atapata haki yake.
21. Gesi itasimamiwa vyema ili isaidie nchi
22. Barabara zitaboreshwa, flyovers kujenga ya kwanza salander, tazara
23. Msongamano Dsm utashughulikiwa
24. Reli itajengwa upya
25. Bandari, anga zitaboreshwa
26. Maslahi ya maliasili yataboreshwa ili watalii wengi waje ili tupate pesa
27. Serikali itakuwa rafiki kwa wawekezaji wenye nia njema
28. Maslahi ya wafanyakazi yatalindwa
29. Walemavu watalindwa na haki zao zitalindwa
30. Uhuru wa Habari utalindwa na atakuwa na waandishi karibu
31. Wasanii na wanamichezo haki zao zitalindwa, kutakuwa na Mfuko maalum kwa ajili hiyo
32. Reli ya Dar itajengwa

Hakuna Tafiti yoyote duniani ambayo unaweza kutekeleza kwa kuwa na Malengo (objectives 32)kwa Kipindi Cha miaka mitano utaalamu hapo umewekwa pembeni ila utamu wa lugha ndo umewekwa mbele Hakuna uhalisia (insight and realistic)

Mkuu barazza lengurumo umemaliza kila kitu, ubarikiwe sana.

Nihitimishe kwa kusema KWA WANAOMFAHAMU LOWASA, Huyu bwana ni mtu wa kazi/vitendo sio maneno
 
Kama mbinu ni kuwapa nafasi watu wa vijiweni wapayuke na kumnyima muda mhusika ili msingizie polisi itabidi muoongoze tz ya kufikirika. Na hata hizo dk saba alizotumia vipaumbele ni kumtoa babu seya aliyedhalilisha watoto wa maskini! Hiyo ikulu wataiona tu na uzuri kuna barabara hawazuiwi kuitumia ili wauone mjengo...ninyi ni KINA YUDA wasaliti wa wanyonge

Usaliti alianza baba yako na mama yako kwa kukuzaa wewe gamba na kuichagua ccm tangu 95-2010.
wame saliti maisha yao na ya watanzaia wote kwa ujumla.

samahani kama nimekukwaza!
 
Faiza acha kuweweseka. Muda uliisha wakaheshimu sheria msipate kisingizio. Magufuli mzima? Jk mzima? Toa pumba zako hapa

Kwa hiyo mlikuwa na muda wa kina hoza mkakosa wa mgombea!! Hizi ni sababu feki na zinaonyesha watu walivyo wababaishaji. Jk kamaliza miaka kumi na Magufuli tunamuona na kumsikia akishusha mambo atakayo yafanya kwa watanzania huo ugonjwa unaujua wewe. Ila kilichodhahiri mgombea wenu hawezi kusafiri hata nusu ya sehemu alizokwisha pita Magufuli. Hatuhitaji mtu anayesoma kama kasuku hawezi hata kufafanua kitu.
 
Bora huyo malaya kuliko wee juha usiyeweza kusoma na kuelewa, kwa hiyo mkutano wa jangwani ulikuwa wa nini kama walijua watatumia itv kusoma tena usiku, je hao mama ntilie walimuona kweli. Na hata hicho alichokuwa anasma ni kama robot lililokarrishwa hawezi hata kufafanunua chochote si bora mngempa mtoto wa darasa la pili akasome. Unajua mjinga kila ambiwacho huchekelea kama zuzu maana akili imeganda ndivyo mlivyo mashabiki wa chadema, hamna point maana mlichokuwa mnajua kuimba ni Ufisadi neno ambalo kwa sasa ni msamiati mgumu
Heri kuongozwa na robot kuliko kuendelea kuongozwa na CCM.
 
Happy, ni uchambuzi mzuri sana kwa mtazamo wako, ila kwa muonekano wangu kuhusu hili naweza sema kipindi hiki si kwamba mgombea wa Urais yupo kule Davos, kww ajili ya kukutana na wakubwa wa dunia ama hata kule Atranta Georgia kuelezea umasikini wetu.

La msingi hapa ni maneno mafupi tu, je kwa maiaka hamsini ya utawala wa chama mapinduzi tulitakiwa kuwepo hapa tulipo? Kama jibu hapana, je ni kwanini tupo hapa? Kama jibu ndiyo basi Watanzania tuwape tena chama tawala uongozi wa nchi Hii.

Ulitaka uwe wapi? inawezekana hukusema kuwa unahitaji miaka hii54 wakufikishe wapi, na ni wajinga tu ambao wanaweza kusema mambo ya namna hii, na ndo maana Mzee Mkapa alitumia neno kali kidogo"wapumbavu na marofa" ebu uliza akili yako ww binafsi hii nchi ilikuwaje mwaka 61 na sasa iko vipi? huitaji msaada wa mawazo ya mtu, ebu jiulize kama na ww una umri huo kwamba Baba yako kafanya nini kwa umri huo?

Ebu tuache mambo ya kukaririshwa ujinga na cc tunafanya kuwa ndo silaha yetu, hii nchi inasumbuliwa na rushwa na ufisadi, huu ndo ugonjwa mkubwa wa nchi hii, wala mtu asikudanganye, tunahitaji kiongozi wa kusimamia hayo, na mambo yatasonga mbele, mfano jana nimesikia wanaweka kihotuba cha mzee Nyerere kwenye mkutano wa UKAWA, wanafanya makosa makubwa sana au ni kwa makusudi au ni ujinga tu, kwani watanzania wanafanywa kama wote hawana akili, kile kipande kinasena hivi-watanzania wamechoshwa na rushwa, wanataka kiongozi wa kusimamia hayo, wanataka mabadiliko wakikisa ccm watatafuta nje ya ccm, kakini kiongozi bora atatoka ccm. hayo ndo maneno ya Nyerere. kama kweli wana nia njema huo ndo ujumbe halisi, na hili tatizo lipo hadi baadhi ya TV zetu zinafanya ujinga huo huo wa upotoshaji wa maneno ya Mwl.Nyerere. Ila naamini kiongozi mwema atapatikana hiyo Oktoba 25.
 
Nimeichukua kama ilivyo.

LOWASSA UNA TATIZO


Na Happiness Katabazi

LEO Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), kimezindua rasmi kampeni za uchaguzi Mkuu Katika Viwanja Vya Jangwani Dar Es Salaam. Na ukweli kampeni za UKAWA zimefana hongereni sana.

Nimefuatulia kwa makini Uzinduzi huo mwanzo hadi mwisho kupitia Kwenye Televisheni.

Nimewasikiliza wote waliopewa nafasi ya kuzungumza na wamezungumza waliyozungumza hata Waziri Mkuu Mstaafu, Fredrick Sumaye nimemsikia yote aliyoyasema licha yote aliyoyasema Sumaye siyo mapya.

Lakini wenye akili timamu tunayapuuza yote aliyoyasema Sumaye Leo kwasababu Sumaye ambaye amewahi kugombea urais mara mbili kupitia CCM na hakufanikiwa.

Enzi akiwa Waziri Mkuu wa serikali ya awamu ya tatu aliwahi kusema "UKITAKA BIASHARA ZAKO ZIKUNYOKEE VIZURI UJIUNGE NA CCM". Hadi sasa Sumaye hajafuta Kauli hii ambayo ilizua mjadala Mkali nchini.

Nirudi Kwenye mada yangu ya Msingi ya Leo.

Mada hiyo nitajadili uamuzi wa Mgombea Urais wa CHADEMA kwa muunganiko wa UKAWA, Edward Lowassa Leo saa 11 jioni alipopanda jukwaani kuanza kuhutubia alisema ameishauriana na Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe Kuwa asisome hotuba yake ya Uzinduzi wa kampeni hiyo kwasababu eti muda umekwenda na Polisi wa Dar Es Salaam, hawampendi kabisa kwahiyo eti wakizidisha muda Polisi hao watapata Sababu.

Kwasababu hiyo eti Mbowe na viongozi wengine wamemshauri asiisome hiyo hotuba ndefu badala yake hiyo hotuba itawekwa Kwenye Website ili wananchi waisome.

Jamani , hivi huyu Lowassa yupo Siriazi kweli ?Lowassa hayupo Siriazi kuutaka urais wa Tanzania.

Leo Ndio ilikuwa siku rasmi ya Lowassa ambaye ni mgombea urais kuja Uwanjani kueleza wananchi atayafanyia nini kupitia Katika kinywa Chake na kuwaomba kura wananchi .

Lakini Lowassa Hilo Leo limemshinda kashindwa kueleza kwa wananchi atayafanyia nini na mipango ya serikali yake akafanikiwa Kuwa rais itakuwa ni ipi kwa Sababu dhahifu kabisa.

Mgombea urais kabisa bila aibu Katika mkutano wa Uzinduzi wa kampeni yako bila aibu na woga unasema eti hutasoma hotuba yako badala yake Utaiweka Kwenye website?

Tumuulize huyu Lowassa ambaye amekuwa akijigamba Kuwa anachukizwa na umaskini na amekuwa akiwa tembelea watu wa Haki ya chini Kwenye masoko .

Sasa Nimuulize hao masikini ambao hawana simu za Smartphone wataweza kuisoma hiyo hotuba yake kupitia website?

Jibu ni Jepesi Watanzania Wengi hawataisoma hiyo hotuba yako kwa Sababu hata hela za kuweka Bando Kwenye simu hawana uhakika wa kuzipata.

Sasa ikitokea wasikupigie kura za Ndio kwasababu umeshindwa kusimama jukwaani kunadi sera zako utakapoingia Ikulu utawafanyia nini utakuja Kulalamika umeibiwa kura?

Maana hata unapotaka Mwanamke kimapenzi lazima usemezane naye ,umwage sera zako ili akakubali au aukataee wewe Leo Lowassa Hilo limekishinda la kututongoza wananchi wenye akili timamu ili tu kuipigie kura kwasababu dhahifu?

Kama Mbowe na viongozi wenzake walijua muda ni Mdogo, kwanini wasinge panga Ratiba ikaanza mapema ili upate muda mrefu wa kusimama jukwaani usome hotuba yako?

Lowassa unataka kutuchezea akili, yaani unataka tukupe urais wakati umeshindwa kusoma hotuba ya ufunguzi wa kampeni zako?

Kama ulishauriana na viongozi wa UKAWA usisome hotuba yako ,sasa kulikuwa na maana gani ya kufanya mkutano huo Leo ?Simngeweka hiyo hotuba Kwenye Mtandao tukajua Moja.

Hilo limekushida,Je ikitokea ufanikiwe urais wa Tanzania, licha naamini huwezi kufanikiwa kupata nafasi hiyo unaweza kwenda Umoja wa Mataifa na Kusimama Mbele na kusoma hotuba au mhadhara kwa Niaba ya Tanzania zaidi ya saa Moja?

Kwanza Ulipaswa uonyeshe kwa vielezo Kuwa ni kweli Polisi Dar Es Salaam wanakuchukia na wanakuchukia kwasababu gani? Lini walianza kukuchukia?

Polisi wakikukataza kisheria kufanya ziara zako ambazo zinahatarisha Usalama wako na kuleta Usumbufu Katika Jamii ndiyo wanakuchukia?

Lowassa wewe ni kiongozi wa ajabu sana na unageuka kuchekesha Mbele ya watu tunaofikiri sawa sawa.

Leo umetumia dakika nane jukwaani kuzungumza mambo ambayo siyo mapya ,jipya nililoliona ni lile la kumshukuru aliyekuwa Waziri Mkuu wa zamani,Fredrick Sumaye eti amefanyakazi nzuri sana ya kuwapa vidonge vyao serikali ya CCM.

Hili Mimi Ndio nimeliona jipya kutoka mdomoni mwako kwasababu umemsifia aliyekuwa hasimu wako wa kisiasa Sumaye.

Na pia nimeliona jipya pia kwa mdomo wa Sumaye kutoa maneno ya kujisafisha wewe Lowassa Kuwa ni Msafi wakati ni Sumaye huyu huyu alikuwa ni miongoni mwa watu waliokuwa wanakupiga vijembe.

Sielewi kabisa ni kwanini watu wazima Mmekuwa na tabia za kinafki mna misimamo inayoyumbayumba na ya msimamimii maneno yenu?

Itoshe Kusema tu kwa nilichokiona Leo nimeitimisha kwa Kusema mkutano wa Leo wa UKAWA ulikuwa Una sura mbili.

Sura ya kwanza ni ya Uzinduzi wa Kampeni na sura ya pili ni Sumaye kutumika kurusha makombora Moja kwa Moja kwa Rais Jakaya Kikwete na serikali na CCM.

Na kweli Sumaye amefanyakazi hiyo kikamilifu ya kurusha vijembe Kwani watu walikuwa watu livu sana wakamsikiliza na kushangilia licha Lowassa Katika zile dakika zake wakati akizungumza watu baadhi ya wananchi walikuwa hawamsikilizi Kwani walikuwa wakiondoka uwanjani hapo.

Yaani mgombea Urais kabisa wa UKAWA, huyu Lowassa anasimama jukwaani anasema eti akiwa Rais Atalishughulikia Kesi ya Babu Seya,kuwaachiria huyu Masheikh wa UAMSHO Sheikh Farid na wenzake ambao wapo gerezani,elimu ya Darasa la kwanza hadi Chuo Kikuu Bure. Kwa hiyo hayo yapo ndani ya Ilani ya UKAWA?

Lowassa Leo Kasema anajua tu ataibiwa kura zake .Sasa Kama unajua utabiwa kura zako kwanini unaendelea kushiriki Katika uchaguzi Mkuu?Maana hadi umediriki Kusema utaibiwa kura Ina maana utashinda.Kwanza Hao watakaokuibia ni wakinanani na kwasababu gani?Kama unajua utaibiwa kura zako kwanini unaamasisha wananchi wakupige kura?.

UKAWA simnajitapa Kuwa mmejipanga kisawasawa na kwa upande wa wanausalama mmpo vizuri.Sasa Kama mmejipanga vizuri na wanausalama wa UKAWA wapo imara kwanini uibiwe kura?Basi hamna wanausalama UKAWA?

Hivi Lowassa kwa usanii huu unaoufanya kabisa unaamini utakuwa rais wa Tanzania baada ya kumalizika kwa uchaguzi Mkuu Oktoba 25 Mwaka huu? Pole sana Lowassa kwasababu huwezi kushinda urais kwa Sababu haupo Siriazi na urais ,unafanya mzaa na usanii wa wazi kabisa.

Lowassa jiulize kwanini Hilo limetokea uliopoanza kuongea wananchi walianza kuondoka Hawakutaka kuusikiliza .Jibu ni Jepesi walilokuwa wanalitajarajia kutoka kwako hawajalipata maana umewaambia wakasome Kwenye Mtandao.

Kumekuwa na Madai Kuwa Afya ya Lowassa sio nzuri ,licha yeye Mara kwa Mara amekuwa akikanusha taarifa hizo. Sasa kwa kitendo hicho cha Leo cha kushindwa kusoma hotuba kwa kisingizio cha muda kumalizika.

Je hatuoni hii ni mbinu iliyotumiwa na viongozi wa UKAWA ya kumuepusha Lowassa asisome hotuba hiyo kwasababu hawezi kusimama jukwaani muda mrefu ? Lowassa unatatizo.

Mungu ibariki Tanzania


0716 774494
Facebook: Happy Katabazi
Blogg: .
29/8/2015
Uliangalia ITV BAADA YA TAARIFA YA HABARI?
 
#hapa pont tu kazi hata punda anafanya.

Linganisha vipaumbele vya hawa Wagombea wetu,

LOWASSA,
1.Elimu
2.Kilimo
3.Afya
4.Mawasiliano
5.Nidhamu pamoja na Utawala bora.

Kwenye kona ya kitalaaam Lowassa yuko vizuri sana amegusa mahitaji ya jamii kwa kutumia lugha ambayo inaeleweka kwa kila mtu, intellectual pamoja na layman

VS
Ahadi za JP Magufuli;
1. Umoja wa Taifa
2. Kulinda Muungano wa Tanzania.
3. Ulinzi na usalama
4. Kuheshimu mihimili ya Dola.
5. Mahakama maalum ya mafisadi na majizi
5. Utawala bora
7. Ataheshimu mawazo yote ya kuleta maendeleo hata yakitoka upinzani
8. Ataimarisha vyombo vya usalama
9. Vita dhidi ya ubadhirifu
10. Kodi ilipwe na wote
11. Ataongeza ajira kwa kuimarisha viwanda
12. Sekta ya kilimo itaimarishwa
13. Sekta ya mifugo itaimarishwa ili iwe na tija kwa kujenga viwanda
14. Madini yatadhibitiwa ili yalete maendeleo
15. Maji yatapelekwa Vijijini na mijini
16. Zahanati kila kijiji, Hospitali ya rufaa kila mkoa, kuboresha maslahi ya wauguzi
17. Elimu bure hadi kidato cha nne, nyumba za walimu zitajengwa.
18. Wanafunzi wa vyuo vikuu, atahakikisha mikopo inakwenda mapema ili wasome
19. Kujenga hostel za wana vyuo
20. Maslahi ya watumishi, kila mtu anayefanya kazi atapata haki yake.
21. Gesi itasimamiwa vyema ili isaidie nchi
22. Barabara zitaboreshwa, flyovers kujenga ya kwanza salander, tazara
23. Msongamano Dsm utashughulikiwa
24. Reli itajengwa upya
25. Bandari, anga zitaboreshwa
26. Maslahi ya maliasili yataboreshwa ili watalii wengi waje ili tupate pesa
27. Serikali itakuwa rafiki kwa wawekezaji wenye nia njema
28. Maslahi ya wafanyakazi yatalindwa
29. Walemavu watalindwa na haki zao zitalindwa
30. Uhuru wa Habari utalindwa na atakuwa na waandishi karibu
31. Wasanii na wanamichezo haki zao zitalindwa, kutakuwa na Mfuko maalum kwa ajili hiyo
32. Reli ya Dar itajengwa

Hakuna Tafiti yoyote duniani ambayo unaweza kutekeleza kwa kuwa na Malengo (objectives 32)kwa Kipindi Cha miaka mitano utaalamu hapo umewekwa pembeni ila utamu wa lugha ndo umewekwa mbele Hakuna uhalisia (insight and realistic)


Magufuli anauwezo wa kuongea mda mrefu ndo mana anatoa mambo yote hayo...Lowasa Ni mgonjwa wa kupooza sawa na kiwete Tu kuongea huku amesimama kwa muda mrefu hawezi.Ila hayo matano aliyoyataja Lowassa ukiyanyambua unapata idadi sawa na Mh.Magufuli.Au mwenzangu hukuwai andika essay????.
 
Vijana wa ccm ni mjuha siku zote hawajengi hoja kwa kutumia akili bali wana jenga hoja kwa hisia za kimalaya kama huyu katabazi!
Sijuwi kama ile tabia yko kama ulisha acha tulia usiwe unafikiria kwa kutumia makalio yako bado unatumia ile number yako 0713 au ulisha acha?
 
Lowassa aliingia UKAWA ili kujipunguzia stress likini nafsi yake akiwa jukwaani inamsuta kwa namna anavyohujumu Upinzani. na kama washauri wake ndio akina Gwajima basi ukawa itakufa baada ya uchaguzi
 
Tumeshapewa ahadi nyiiingi huko miaka ya nyuma na hazijatekelezeka sasa ni wakati wa kuwapisha wapinzani wafanye yao hata bila kutupa ahadi tutawapa tu kura
 
Ulitaka uwe wapi? inawezekana hukusema kuwa unahitaji miaka hii54 wakufikishe wapi, na ni wajinga tu ambao wanaweza kusema mambo ya namna hii, na ndo maana Mzee Mkapa alitumia neno kali kidogo"wapumbavu na marofa" ebu uliza akili yako ww binafsi hii nchi ilikuwaje mwaka 61 na sasa iko vipi? huitaji msaada wa mawazo ya mtu, ebu jiulize kama na ww una umri huo kwamba Baba yako kafanya nini kwa umri huo?

Ebu tuache mambo ya kukaririshwa ujinga na cc tunafanya kuwa ndo silaha yetu, hii nchi inasumbuliwa na rushwa na ufisadi, huu ndo ugonjwa mkubwa wa nchi hii, wala mtu asikudanganye, tunahitaji kiongozi wa kusimamia hayo, na mambo yatasonga mbele, mfano jana nimesikia wanaweka kihotuba cha mzee Nyerere kwenye mkutano wa UKAWA, wanafanya makosa makubwa sana au ni kwa makusudi au ni ujinga tu, kwani watanzania wanafanywa kama wote hawana akili, kile kipande kinasena hivi-watanzania wamechoshwa na rushwa, wanataka kiongozi wa kusimamia hayo, wanataka mabadiliko wakikisa ccm watatafuta nje ya ccm, kakini kiongozi bora atatoka ccm. hayo ndo maneno ya Nyerere. kama kweli wana nia njema huo ndo ujumbe halisi, na hili tatizo lipo hadi baadhi ya TV zetu zinafanya ujinga huo huo wa upotoshaji wa maneno ya Mwl.Nyerere. Ila naamini kiongozi mwema atapatikana hiyo Oktoba 25.
Monges,
Nafikiri hujaelewa hapa hata neno langu moja, nakuomba soma mstari mmoja mpaka mstari wa mwisho, na kama utakuwa hujanielewa zaidi nitakufahamisha zaidi.
 
Nimeichukua kama ilivyo.

LOWASSA UNA TATIZO


Na Happiness Katabazi

LEO Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), kimezindua rasmi kampeni za uchaguzi Mkuu Katika Viwanja Vya Jangwani Dar Es Salaam. Na ukweli kampeni za UKAWA zimefana hongereni sana.

Nimefuatulia kwa makini Uzinduzi huo mwanzo hadi mwisho kupitia Kwenye Televisheni.

Nimewasikiliza wote waliopewa nafasi ya kuzungumza na wamezungumza waliyozungumza hata Waziri Mkuu Mstaafu, Fredrick Sumaye nimemsikia yote aliyoyasema licha yote aliyoyasema Sumaye siyo mapya.

Lakini wenye akili timamu tunayapuuza yote aliyoyasema Sumaye Leo kwasababu Sumaye ambaye amewahi kugombea urais mara mbili kupitia CCM na hakufanikiwa.

Enzi akiwa Waziri Mkuu wa serikali ya awamu ya tatu aliwahi kusema "UKITAKA BIASHARA ZAKO ZIKUNYOKEE VIZURI UJIUNGE NA CCM". Hadi sasa Sumaye hajafuta Kauli hii ambayo ilizua mjadala Mkali nchini.

Nirudi Kwenye mada yangu ya Msingi ya Leo.

Mada hiyo nitajadili uamuzi wa Mgombea Urais wa CHADEMA kwa muunganiko wa UKAWA, Edward Lowassa Leo saa 11 jioni alipopanda jukwaani kuanza kuhutubia alisema ameishauriana na Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe Kuwa asisome hotuba yake ya Uzinduzi wa kampeni hiyo kwasababu eti muda umekwenda na Polisi wa Dar Es Salaam, hawampendi kabisa kwahiyo eti wakizidisha muda Polisi hao watapata Sababu.

Kwasababu hiyo eti Mbowe na viongozi wengine wamemshauri asiisome hiyo hotuba ndefu badala yake hiyo hotuba itawekwa Kwenye Website ili wananchi waisome.

Jamani , hivi huyu Lowassa yupo Siriazi kweli ?Lowassa hayupo Siriazi kuutaka urais wa Tanzania.

Leo Ndio ilikuwa siku rasmi ya Lowassa ambaye ni mgombea urais kuja Uwanjani kueleza wananchi atayafanyia nini kupitia Katika kinywa Chake na kuwaomba kura wananchi .

Lakini Lowassa Hilo Leo limemshinda kashindwa kueleza kwa wananchi atayafanyia nini na mipango ya serikali yake akafanikiwa Kuwa rais itakuwa ni ipi kwa Sababu dhahifu kabisa.

Mgombea urais kabisa bila aibu Katika mkutano wa Uzinduzi wa kampeni yako bila aibu na woga unasema eti hutasoma hotuba yako badala yake Utaiweka Kwenye website?

Tumuulize huyu Lowassa ambaye amekuwa akijigamba Kuwa anachukizwa na umaskini na amekuwa akiwa tembelea watu wa Haki ya chini Kwenye masoko .

Sasa Nimuulize hao masikini ambao hawana simu za Smartphone wataweza kuisoma hiyo hotuba yake kupitia website?

Jibu ni Jepesi Watanzania Wengi hawataisoma hiyo hotuba yako kwa Sababu hata hela za kuweka Bando Kwenye simu hawana uhakika wa kuzipata.

Sasa ikitokea wasikupigie kura za Ndio kwasababu umeshindwa kusimama jukwaani kunadi sera zako utakapoingia Ikulu utawafanyia nini utakuja Kulalamika umeibiwa kura?

Maana hata unapotaka Mwanamke kimapenzi lazima usemezane naye ,umwage sera zako ili akakubali au aukataee wewe Leo Lowassa Hilo limekishinda la kututongoza wananchi wenye akili timamu ili tu kuipigie kura kwasababu dhahifu?

Kama Mbowe na viongozi wenzake walijua muda ni Mdogo, kwanini wasinge panga Ratiba ikaanza mapema ili upate muda mrefu wa kusimama jukwaani usome hotuba yako?

Lowassa unataka kutuchezea akili, yaani unataka tukupe urais wakati umeshindwa kusoma hotuba ya ufunguzi wa kampeni zako?

Kama ulishauriana na viongozi wa UKAWA usisome hotuba yako ,sasa kulikuwa na maana gani ya kufanya mkutano huo Leo ?Simngeweka hiyo hotuba Kwenye Mtandao tukajua Moja.

Hilo limekushida,Je ikitokea ufanikiwe urais wa Tanzania, licha naamini huwezi kufanikiwa kupata nafasi hiyo unaweza kwenda Umoja wa Mataifa na Kusimama Mbele na kusoma hotuba au mhadhara kwa Niaba ya Tanzania zaidi ya saa Moja?

Kwanza Ulipaswa uonyeshe kwa vielezo Kuwa ni kweli Polisi Dar Es Salaam wanakuchukia na wanakuchukia kwasababu gani? Lini walianza kukuchukia?

Polisi wakikukataza kisheria kufanya ziara zako ambazo zinahatarisha Usalama wako na kuleta Usumbufu Katika Jamii ndiyo wanakuchukia?

Lowassa wewe ni kiongozi wa ajabu sana na unageuka kuchekesha Mbele ya watu tunaofikiri sawa sawa.

Leo umetumia dakika nane jukwaani kuzungumza mambo ambayo siyo mapya ,jipya nililoliona ni lile la kumshukuru aliyekuwa Waziri Mkuu wa zamani,Fredrick Sumaye eti amefanyakazi nzuri sana ya kuwapa vidonge vyao serikali ya CCM.

Hili Mimi Ndio nimeliona jipya kutoka mdomoni mwako kwasababu umemsifia aliyekuwa hasimu wako wa kisiasa Sumaye.

Na pia nimeliona jipya pia kwa mdomo wa Sumaye kutoa maneno ya kujisafisha wewe Lowassa Kuwa ni Msafi wakati ni Sumaye huyu huyu alikuwa ni miongoni mwa watu waliokuwa wanakupiga vijembe.

Sielewi kabisa ni kwanini watu wazima Mmekuwa na tabia za kinafki mna misimamo inayoyumbayumba na ya msimamimii maneno yenu?

Itoshe Kusema tu kwa nilichokiona Leo nimeitimisha kwa Kusema mkutano wa Leo wa UKAWA ulikuwa Una sura mbili.

Sura ya kwanza ni ya Uzinduzi wa Kampeni na sura ya pili ni Sumaye kutumika kurusha makombora Moja kwa Moja kwa Rais Jakaya Kikwete na serikali na CCM.

Na kweli Sumaye amefanyakazi hiyo kikamilifu ya kurusha vijembe Kwani watu walikuwa watu livu sana wakamsikiliza na kushangilia licha Lowassa Katika zile dakika zake wakati akizungumza watu baadhi ya wananchi walikuwa hawamsikilizi Kwani walikuwa wakiondoka uwanjani hapo.

Yaani mgombea Urais kabisa wa UKAWA, huyu Lowassa anasimama jukwaani anasema eti akiwa Rais Atalishughulikia Kesi ya Babu Seya,kuwaachiria huyu Masheikh wa UAMSHO Sheikh Farid na wenzake ambao wapo gerezani,elimu ya Darasa la kwanza hadi Chuo Kikuu Bure. Kwa hiyo hayo yapo ndani ya Ilani ya UKAWA?

Lowassa Leo Kasema anajua tu ataibiwa kura zake .Sasa Kama unajua utabiwa kura zako kwanini unaendelea kushiriki Katika uchaguzi Mkuu?Maana hadi umediriki Kusema utaibiwa kura Ina maana utashinda.Kwanza Hao watakaokuibia ni wakinanani na kwasababu gani?Kama unajua utaibiwa kura zako kwanini unaamasisha wananchi wakupige kura?.

UKAWA simnajitapa Kuwa mmejipanga kisawasawa na kwa upande wa wanausalama mmpo vizuri.Sasa Kama mmejipanga vizuri na wanausalama wa UKAWA wapo imara kwanini uibiwe kura?Basi hamna wanausalama UKAWA?

Hivi Lowassa kwa usanii huu unaoufanya kabisa unaamini utakuwa rais wa Tanzania baada ya kumalizika kwa uchaguzi Mkuu Oktoba 25 Mwaka huu? Pole sana Lowassa kwasababu huwezi kushinda urais kwa Sababu haupo Siriazi na urais ,unafanya mzaa na usanii wa wazi kabisa.

Lowassa jiulize kwanini Hilo limetokea uliopoanza kuongea wananchi walianza kuondoka Hawakutaka kuusikiliza .Jibu ni Jepesi walilokuwa wanalitajarajia kutoka kwako hawajalipata maana umewaambia wakasome Kwenye Mtandao.

Kumekuwa na Madai Kuwa Afya ya Lowassa sio nzuri ,licha yeye Mara kwa Mara amekuwa akikanusha taarifa hizo. Sasa kwa kitendo hicho cha Leo cha kushindwa kusoma hotuba kwa kisingizio cha muda kumalizika.

Je hatuoni hii ni mbinu iliyotumiwa na viongozi wa UKAWA ya kumuepusha Lowassa asisome hotuba hiyo kwasababu hawezi kusimama jukwaani muda mrefu ? Lowassa unatatizo.

Mungu ibariki Tanzania


0716 774494
Facebook: Happy Katabazi
Blogg: .
29/8/2015

Umelenga penyewe Kiongozi.
 
Mwaka 2005 JK akiwa youthful by then alidondoka kama mgonjwa wa kifafa pale pale Jangwani wakati wa uzinduzi wa kampeni!

Mdogo wangu Happiness Katabazi unanifanya nione aibu kwa makala haya unayolalama kwamba Lowasa hakutongoza / hakututongoza (au hakukutongoza).

Umeahidiwa nini na Magufuli? Kutengenezewa Wilaya mpya kwetu?

Kwa taarifa yako mdogo wangu, watanzania wa sasa wameichoka CCM na wako radhi kumpa kura mtu atakaye gombea nje ya chama hicho.
 
Hatujachelewa chadema kupitia ukawa naomba mrudisheni Slaa tuondokane na aibu hii jamani lol.... Lowassa apumzike na aendelee kuwa mwamachama na mshauri wa mambo ya siasa ila cijui kama sheria za uchahuzi zonakunali
 
Back
Top Bottom