Lowassa una tatizo

Lowassa una tatizo

vipi wale wabunge mliosema watahamia huko tayar au bado???
 
Mbinu za UKAWA ziko very scientific,hawa tabiriki,unge tulia na kuangalia ITV baada ya habari nadhani usinge kuja na hizi tenzi zako....!!!
 
vipi wale wabunge mliosema watahamia huko tayar au bado???

Muda ulikua hautoshi kusema mambo yote hayo.
Tunachotaka sisi ni mabadiliko, huoni Slaa yuko kimya lakini hakuna anayejali?
 
yote tisa, kumi ntaamka mapema siku hiyo na ntakua wakwanza kumpigia lowassa kura kwenye kituo changu. Hata ukawa wangesimamisha nyoka ndio agombee ningechagua nyoka na kuacha binadamu aliyesimamishwa na ccm. Nisamehewe tu lakini hata wanawake wengi wanaoshabikia ccm sio kwamba wanapenda ila wanawawinda waheshimiwa maana wanajulikana umalaya wao so wanashabikiwa ili wachunwe. By then silazimishi wote tuwe ukawa itapoteza maana ya ushindani ila ntasimamia nnachokiamini. Wewe kama una interest na ccm hongera na utuache tuliopotea tuzame kabisa kwani itakuuma nini adui yako kuzama?????? Nowdays nafanya kampeni ya kuwaelimisha wadada wenzangu popote nnapowakuta na nikitoka kupiga kura ntahakikisha napitia wadada zaidi ya ishirini na kuwapekeka kituoni wakapige pia hapo nafsi yangu itakua imetulia na Mungu atanilipa.
 
Mkuu kama haukuona logic ya alichokiongea sumaye basi ww ndio utakuwa unamatatizo makubwa ya kufikiri
 
Habarini wadau,

Yaani nawashangaa sana wana CCM wenzangu,mbona kama tunamfuatilia sana Lowassa na kuipa promo sana UKAWA? kwasababu hata tukiiongelea in a negative side ni kama kuwaogopa flan hivi na wanazidi kupata popularity.

Kwanini tusitumie muda mwingi kuunga mkono sera ya Mgombea wetu Mh. John Pombe Magufuli na hata kumsupport? Tuwaachie UKAWA na mambo yao.

Ni mtazamo tu.

Kidumu chama cha mapinduzi.

well said
 
Habarini wadau,

Yaani nawashangaa sana wana CCM wenzangu,mbona kama tunamfuatilia sana Lowassa na kuipa promo sana UKAWA? kwasababu hata tukiiongelea in a negative side ni kama kuwaogopa flan hivi na wanazidi kupata popularity.

Kwanini tusitumie muda mwingi kuunga mkono sera ya Mgombea wetu Mh. John Pombe Magufuli na hata kumsupport? Tuwaachie UKAWA na mambo yao.

Ni mtazamo tu.

Kidumu chama cha mapinduzi.

Acha waendelee kumpigia kampeni Lowasa,, magufuli hauziki
 
Huwezi kupima ubora wa hotuba kwa urefu wake.

Watanzania wa leo hawataki longolongo wanataka vitendo, kama ni hotuba ndefu tumeshazisikia miaka lukuki hatuoni faida yake.

Unaweza kutuambia hotuba ya Magufuli ilikuwa na kipya kipi ambacho hujawahi kukisikia.

Hotuba inatakiwa ikidhi haja ya wasikilizaji, wanataka wasikie nini, kama alikuwepo uwanjani hakukuwa na haja ya kuwaambia utajenga viwanda kwa sababu wanajua kabisa huwezi.

Mood ya jana watu walitaka kusikia alichokisema Sumaye hiyo ndiyo ilikuwa kiu yao.
 
Mbinu za Kampeni za LOWASSA zinazidi kuipasua kichwa CCM! Hawamuwezi!!!!
Mussa Allan nafikiti mmewakatisha tamaa mashabiki wenu waliokuja hapo kisanjani with high hopes za kumsikiliza mgombea na wakatoka bila kukipata walichokitarajia! Angalau kama walitarajia kufanya hivyo badi angeanza siku moja kabla kuisoma hotuba yake kwenye TV na pale uwanjani ingekuwa ni sarakasi zilizofanyika isingekuwa taabu. Sina hakika kwamba mkiitisha tena mkutano mtawapata watu kama waliokuwepo. Ukiangalia mood ya watu baada ya kauli ya Lowassa kuweka hotuba mtandaoni ilikuwa disappointment na walianza kuondoka. Tafuteni njia ya kurekebisha haraka
 
Back
Top Bottom