nsabiadipunaga
Member
- Nov 1, 2015
- 26
- 2
Hyo tuzo ni nobel???
Bila kusahau ufisadi!
Siku zote mwanadamu huona ya mwilini ni Mungu pekee huutazama moyo. Mmemwita kila aina ya majina, mmemtukana kila aina ya matusi lakini baba wa watu hakujibu kitu chochote Mara ooh fisadi kikowapi mmnaumbuka mmoja baada ya mwingine. SASA MUNGU AMEAMUA KUWEKA WAZI EDWARD NDIO MLINZI WA AMANI. HONGERA SANA MUNGU AKUBARIKI
yaan ccm wakimsikia lowasa tuuu wanahangaika kama mapepo mbele ya mchungaji hahahaaaaaa
Nimekuwa nikufuatilia sana comment zako. Sidhani kama wewe umeokoka kweli, sidhani kama unamjua YESU wa kalvari, walio na Roho wa MUNGU hawaubishi mwili wa Kristo, walio na Roho wa MUNGU hawatukani, watukanaji wote sehemu yao ni ziwa la moto, walio na Roho wa MUNGU wanaombewa watumishi wa MUNGU na kwa kuwa wale ni wanadamu tu sio kuwatukana na kuwaabisha, walio wa Kristo hawako hivyo, pole!!!!, walio wa Kristo ni wanyenyekevu na wapole, walio wa Kristo hawasimangi mwili wa Kristo, wanaoenda mbinguni wamefanywa upya nia zao na wanayatufuta yalio juu, wanaoenda mbinguni maneno yao yamejaa munyu, na hunena maneno ya kujenga, wanaoenda mbinguni hawahukumu wengine maana wanajua wameokolewa kwa neema tu. Wewe hujampta YESU wa Kalvari. Ingia kwenye toba ya kweli na ugeuke kama unataka kwenda mbinguni.
tuelekee Zanzibar pana Giza nene