Lowassa,Tutalivuka daraja

Lowassa,Tutalivuka daraja

OgwaluMapesa

JF-Expert Member
Joined
May 24, 2008
Posts
10,942
Reaction score
437
wadau!
Hii ni kauli ambayo mh lowassa amekuwa akiitoa mara kwa mara pindi tu anapoulizwa kama atatupa karata yake kweny mbio za urais,
Kauli hii imekuwa ikiwakosesha usingizi wapinzan wake mpaka kupelekea kuhaha huku na kule kutafuta namna gani ya kuweza kumdhibiti bila mafanikio
Lowassa hakuishia hapo januar mwaka aliwamakliza zaidi wapinzani wake alipokuja na misemo miwili ya kufungulia mwaka,wakwanza ulisema ''Safar ya matumaini''wapili ni ule uliosema ''Simama uhesabiwe''misemo hii imekuwa mwiba kwa wapinzan wake mpaka ilipelekea lowassa kupewa barua ya onyo,je misemo tu inaweza ikasababbisha mtu kupewa barua?
Lowassa kwa jinsi hali ilivyo amekosesha furaha na usingiz mahasimu wake ndani ya chama cha mapinduzi,nimekuwa nikijiuliza kama tu misemo aliyo ianzisha inawatesa kias hiki je siku akianza kufunguka itakuwaje?
Wameanza kuogopa kivuli cha lowasa siku picha yake halisi ikianza kuonekana itakuwaje?
Mpka tufike kweny uchaguzi MZEE WA MISEMO TATA ATAWATESA SNA WAPINZANI WAKE
 
Ujue kuwa bado hata hajalikaribia. Hujamalizia msemo wake... When we reach there. Na mafuriko na mvua hizi kutokana na mabadiliko ya tabia nchi asishangae asipolikuta daraja

uatsubiri sana
ila ungeniambia lowassa ataitosa sisiem ningekuelewa
yule mzee wa maamuzi magumu hata mama salma anaujuwa mziki wake
 
wadau!
Hii ni kauli ambayo mh lowassa amekuwa akiitoa mara kwa mara pindi tu anapoulizwa kama atatupa karata yake kweny mbio za urais,
Kauli hii imekuwa ikiwakosesha usingizi wapinzan wake mpaka kupelekea kuhaha huku na kule kutafuta namna gani ya kuweza kumdhibiti bila mafanikio
Lowassa hakuishia hapo januar mwaka aliwamakliza zaidi wapinzani wake alipokuja na misemo miwili ya kufungulia mwaka,wakwanza ulisema ''Safar ya matumaini''wapili ni ule uliosema ''Simama uhesabiwe''misemo hii imekuwa mwiba kwa wapinzan wake mpaka ilipelekea lowassa kupewa barua ya onyo,je misemo tu inaweza ikasababbisha mtu kupewa barua?
Lowassa kwa jinsi hali ilivyo amekosesha furaha na usingiz mahasimu wake ndani ya chama cha mapinduzi,nimekuwa nikijiuliza kama tu misemo aliyo ianzisha inawatesa kias hiki je siku akianza kufunguka itakuwaje?
Wameanza kuogopa kivuli cha lowasa siku picha yake halisi ikianza kuonekana itakuwaje?
Mpka tufike kweny uchaguzi MZEE WA MISEMO TATA ATAWATESA SNA WAPINZANI WAKE

Hebu atoe majibu Kuhusu RICHMOND huko badala ya kujifanya mwanasiasa anayetaka urais.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom