Lowassa: Tutachukua nchi asubuhi

Mfano mzuri ni hapa kinondoni muda huu!! mabasi ya Uda yapo lukuki yanashusha watu kwa kwenda mbele!! Kisena amechafukwa anakipigania chama kilichompa ulaji bwerere!!


Hili halina ubishi, ndio hali halisi. Magufuli anafanya haya hapa: 1. Kubeba wananchi kwenye malori 2. Wasanii kwenye mikutano yake. Yote hayo huwavutia wananchi!

Lowassa hafanyi hata mojawapo hapo, lakini mahaba anayopewa ni nouma. Pamoja na Magufuli kufanya hayo bado ameendelea kusubiri kwa Lowassa!

Dakika za lala salama Lowassa ni 81% Magufuli 17% Others 2% !

Tukutane Jumapili!
 
Tanzania ni jina kubwa sana katika ukanda wa nchi za Afrika na duniani kwa ujumla. South Africa, Kenya na wengine wengi wanachukulia Tanzania kama brother wao mkubwa, mentor wao katika masuala yote ya kiuongozi!

Lakini kadri muda ulivyokwenda ndivyo Tanzania ilivyonasa kwenye mikono ya watanzania maslahi waliojiunga na kikundi maarufu cha kisiasa. Hatimaye Tanzania iliuzwa kwa wawekezaji uchwara!

Lakini, jumapili hii hadhi ya Tanzania inaenda kurejeshwa upya! Sauti ya kimamlaka ya Taifa la Tanzania itaanza kusikika upya katika ramani za kidunia!

Watanzania nawatakieni kila la kheri!
 
Tanzania ni jina kubwa sana katika ukanda wa nchi za Afrika na duniani kwa ujumla. South Africa, Kenya na wengine wengi wanachukulia Tanzania kama brother wao mkubwa, mentor wao katika masuala yote ya kiuongozi!

Lakini kadri muda ulivyokwenda ndivyo Tanzania ilivyonasa kwenye mikono ya watanzania maslahi waliojiunga na kikundi maarufu cha kisiasa. Hatimaye Tanzania iliuzwa kwa wawekezaji uchwara!

Lakini, jumapili hii hadhi ya Tanzania inaenda kurejeshwa upya! Sauti ya kimamlaka ya Taifa la Tanzania itaanza kusikika upya katika ramani za kidunia!

Watanzania nawatakieni kila la kheri!

Labda kama itarejeshwa upya Kishumundu, Sanya Juu, Machame, Kibororoni,Mwika lkn kwingineko kote kama TA, MT,PW, MB, IR, RV, KG, MR, MR, KV, RK, DO, SG, MZ, SHY, TB hadhi yetu iko Juu!
 
Ndugu zangu watanzania,

Kila jambo lenye mkono wa Mungu linaonekana mapema tangu asubuhi...!

Hakika Mungu yupo nyuma ya MABADILIKO TANZANIA, maana amewasikizisha Wachungaji, Maaskofu, Mapadre, Mitume na Manabii wa Kanisa la Tanzania, kuiheshimu siku ya UKOMBOZI WA TAIFA LAO kwa KUFUNGA MILANGO YA MAKANISA YAO ili kuwapa nafasi waumini wao waende kupiga kula ili KUKIONDOA MADARAKANAI CHAMA KONGWE NA CHA KIFISADI KILICHOGEUZWA NA KUWA CHAMA CHA KIFALME, hapo ifikapo Jumapili, 25/10/2015.

JINA LA BWANA LIHIMIDIWE, AMINA.
 
Kwa hali ilivyosasa inabidi hili kundi la mawakala wajiandae vizuri kwani ndiyo watakaokuwa wa kwanza kushuhudia anguko la CCM na mipango yao yote.

25/10/2015 is very near!!!
 

Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akihutubia wakazi wa kata ya Moita ambapo alimnadi mgombea wa ubunge jimbo la Monduli Ndugu Namelok Sokoine pamoja na Diwani wa kata hiyo.
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akihutubia wakazi wa kata ya Moita ambapo alimnadi mgombea wa ubunge jimbo la Monduli Ndugu Namelok Sokoine pamoja na Diwani wa kata hiyo.
Katibu Mkuu ameendelea pia kumuombea kura mgombea urais kupitia CCM Dk. John Pombe Magufuli na kumueleza ni kiongozi mchapakazi na penda maendeleo.
Mgombea Ubunge jimbo la Monduli kupitia CCM Ndugu Namelok Sokoine akinadi sera za Chama Cha Mapinduzi mbele ya Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana kwenye mkutano wa kampeni uliofanyika kata ya Moita.
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akiwasili kata ya Monduli Juu akiongozana na mgombea ubunge wa jimbo la Monduli Ndugu Namelok Moringe Sokoine .
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akisalimiana na Viongozi wa Wamaasai (Ole Guanan) wa Monduli Juu.
Mgombea ubunge jimbo la Monduli akiomba kura kwa wakazi wa Monduli Juu mbele ya Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana kwenye mkutano wa kampeni za CCM ambapo CCM inaomba kura za nafasi ya Urais, Ubunge na Udiwani.
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akiwa kwenye picha ya pamoja na Ma Ole Guanan wa Monduli juu mara baada ya kumaliza kumnadi mgombea wa nafasi ya Urais kupitia CCM Dk. John Pombe Magufuli, mgombea ubunge Ndugu namelok Sokoine na Madiwani.
 
Back
Top Bottom