FairPlayer
JF-Expert Member
- Feb 27, 2006
- 4,145
- 716
Are you real a Fair Player? Nakubaliana na wewe kuwa Lowasa ni mchapa kazi na wote tunajua hilo wala hakuna ubishi. Tusichompendea Lowasa ni Fisadi. Kama hujui Lowasa ameanza ufisadi siku nyingi sana tangu akiwa mkurugenzi mkuu wa AICC. Wakati huo alijenga nyumba nyingi sana pale Namanga na Arusha mjini kwa kufuja hela za AICC. Alipochaguliwa kuwa waziri mdogo ofisi ya waziri mkuu kitengo cha maafa ndo alipotajirikia kabisa tena kipindi kile cha elnino. Alipopata uwaziri wa ardhi alikamata viwanja vingi sana kwenye prime areas such as masaki and upanga. Alipokuwa waziri mkuu aliwatimua walalahoi kwenye machimbo ya kunduchi kwa lengo la kuweka appartments na aliweza kuamuru nyumba ya mfanyabiashara mmoja ufukweni mwa bahari ya hindi ivunjwe nasikia kwa sababu ilizuia nyumba/biashara yake (hili sina hakika nalo). Nasikia kiwanja kilichozungushiwa mabati karibu na Denmark Embassy kinachotizamana na viwanja vya gymkhana ni chake. Je unataka mtu wa namna hii awe rais si matatuuza tukiwa vitandani? Fikiri mara saba sabini kabla ya kumsupport.
Very fair mzee. Wewe unataka rais mchapa kazi au asiyechapa kazi?.
Kama EL ni mchapa kazi basi tumpe KAZI.
Hiyo hadith ulizotunga ambazo huna uhakika nazo ziweke kapuni kwa sasa. sio kweli kuwa anamiliki vyote ulivyotaja.
Yule mhindi alijenga jengo refu kuliko inavyo ruhusiwa pale kaka. Msimpake matope hata hasipohusika.
Kuhusu Richmond..huna INSIDE story kwahiyo kaa kimya.