PRINCE CROWN
JF-Expert Member
- Feb 12, 2013
- 5,210
- 4,182
Hatujalogwa aliyelogwa ni lowasa miaka 7 bubu bungeni,Leo hii eti anajipya kama sio mnafiki
Edward Lowassa amesema hatategemea nchi wahisani ktk kuongoza serikali yake.
Amedai Tanzania ina rasilimali za kutosha kabisa kuweza kujitegemea na kujiongoza yenyewe so amewataka watanzania wachague ukawa ili kuondokana na utegemezi uliodumu kwa miaka zaidi ya 50!
Chanzo: ITV Habari
hapa ndio unathibitisha kwamba ni ugonjwa wa ushabiki unakusumbua kijana.
Lowassa alianza kutumika katika na fasi ya uwaziri kuanzia miaka ya 90 na aliondoka serikalini tangu 2008
sasa iyo miaka 35 unaipata wapi?
Magufuli amekua serikalini takribani miaka 20 akiudumu kama waziri alishindwa nini kufanya ayo anayukuja kuaidi leo?
Ikiwa jk alimwona anafaa na ni tinga tinga kwanini hakumteua kuwa waziri mkuu kwenye serikali yake?
Ikiwa leo anasema magufuli ni jembe. Magufuli ni mkali kwanini asinge mtumia kama waziri Mkuu?
Jiulize aya maswali kijana wacha ushabiki usio na mashiko.
Usiseme nisome nimeona kwenye taarifa ya habari,hali mbaya uwezo wake ni mdogo sana huo ni ukweli mtupusoma tena hiyo post usinitoe ufahamu,
That's true kwani nchi kama kenya haina rasilimali kama tz lakini asilimia zaidi ya 80 ya bajeti yao ni mapato ya ndani wakati tz ni asilimia takribani 60 tu. But why? The simple answer is CCM!
Usiseme nisome nimeona kwenye taarifa ya habari,hali mbaya uwezo wake ni mdogo sana huo ni ukweli mtupu
Bajeti ambayo inapelekwa asilimia 24 kwenye miradi na matumizi mengineyo kwa mwaka mzima alafu unasifia? Kumbuka hiyo 24% ni hela za ndani na za wahisani, nchi hii kwa namna inavyoongozwa na CCM ......
Tukubali mabadiliko nje ya CCM ujivunie Utanzania wako.
bajeti ya maneno? Ivi unajua kwa zaidi ya miaka yote bajeti inayoletwa bungeni ni hewa?
Kama nchi sio tegemezi Bwana mkubwa kila siku kwanini anatembeza bakuli kwa waisani?
Hata fedha za uchaguzi nazo nasikia tumepewa na waisani? Nchi tajiri kama Tanzania?
Ama kweli kuna mtu ametuloga watanzania. Katikati ya utajiri wa kutisha tunatembea kwa kupapasa kama vipofu?
nitamtafutia kura lowassa usiku na mchana, atuondolee haibu ya kuwa taifa omba omba.
wapi? Wachina wanao maliza tembo wetu?
Kwa vipi hata kufafanua hawezi? Siasa za prof j
Kwa vipi hata kufafanua hawezi? Siasa za prof j
Ungemuuliza kitakwimu ni milimita ngapi q ili ujue anajua au ni bigwa wa maigizo,
Ndugu hao raia wa jamhuri ile hawamalizi tembo tu bali kila kitu. Mbwa mtaani ni chakula kwao, mamba na viboko (cheki pale mto Wami baada ya Zaifu kuwaweka mradi wa maji) walipo hakuna hata mmoja.
Madini huko maporini na kwenye kingo za mito. Hawa jamaa wanatumaliza kwelikweli. Kwa vile wenyewe tunakinga meno tu tukiongozwa na Baba Kicheko basi tena wanaendelea kutumaliza mufilisi kabisa.
Bajeti hewa ungeyaona maendeleo?
kabla ya ujio wa Kikwete ilikuwa kwenda Mwanza tu kutokea Dar mpaka upite Kenya, leo yapo hayo na aliyesimamia utekelezaji ni huyo huyo Magufuli.
nenda kaitazame Muhimbili leo, kabla ya ujio wa Kikwete mlikuwa mkiumwa moyo kama huna fedha unakufilia mbali, leo unatibiwa Muhimbili, jengo jipya, vifaa vipya, wataalaam wapya na bado shughuli inaendelea, na magufuli anasema ataendeleza na kuhakikisha kila mkoa una hospitali ya rufaa, kila wilaya inaunganishwa kwa lami, kila mwanafunzi kusoma bure, kila kia kupatiwa ajira kwa kuongeza w=viwanda.
Lowassa kasema atafanya nini? Zaidi ya porojo za dakika mbili tatu anazoongea?
Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?
Bajeti hewa ungeyaona maendeleo?
kabla ya ujio wa Kikwete ilikuwa kwenda Mwanza tu kutokea Dar mpaka upite Kenya, leo yapo hayo na aliyesimamia utekelezaji ni huyo huyo Magufuli.
nenda kaitazame Muhimbili leo, kabla ya ujio wa Kikwete mlikuwa mkiumwa moyo kama huna fedha unakufilia mbali, leo unatibiwa Muhimbili, jengo jipya, vifaa vipya, wataalaam wapya na bado shughuli inaendelea, na magufuli anasema ataendeleza na kuhakikisha kila mkoa una hospitali ya rufaa, kila wilaya inaunganishwa kwa lami, kila mwanafunzi kusoma bure, kila kia kupatiwa ajira kwa kuongeza w=viwanda.
Lowassa kasema atafanya nini? Zaidi ya porojo za dakika mbili tatu anazoongea?
Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?
Edward Lowassa amesema hatategemea nchi wahisani ktk kuongoza serikali yake.
Amedai Tanzania ina rasilimali za kutosha kabisa kuweza kujitegemea na kujiongoza yenyewe so amewataka watanzania wachague ukawa ili kuondokana na utegemezi uliodumu kwa miaka zaidi ya 50!
Chanzo: ITV Habari
Ndugu hao raia wa jamhuri ile hawamalizi tembo tu bali kila kitu. Mbwa mtaani ni chakula kwao, mamba na viboko (cheki pale mto Wami baada ya Zaifu kuwaweka mradi wa maji) walipo hakuna hata mmoja.
Madini huko maporini na kwenye kingo za mito. Hawa jamaa wanatumaliza kwelikweli. Kwa vile wenyewe tunakinga meno tu tukiongozwa na Baba Kicheko basi tena wanaendelea kutumaliza mufilisi kabisa.