Umaarufu wa scandal za kifisadi hauna tija kwa taifa!
Mzee kajificha weee hatimaye kachomoka pangoni, chezea LEMA WEYEEEEEEEEEEEEEEE. Lazima utoke ulikojificha, sas subiri kichapo kama ARU MASHARIKI
Huyu fisadi na yeye sasa ameanza kuweweseka baada ya kusikia kuna makundi mengine ya urais ndani ya ccm yameanza kujipambannua. Atulie anyolewe
Lowasa aka Richmond akiwa Rais naukana utaifa natafuta nchi nyingine nikaishi
hivi lowasa bado anaamini ataweza kuwa risi
Mkuu hawezi kuwa risi ila anaweza kuwa rais
Mh! Hata mimi nimeshangaa!kuchi ana meno mangapi?Hivi kuchi ana meno?
chadema wakimsikia lowassa yanagonga yanarudi
Hii ndio tz . Jamaa kaibaaaaa kafisadiiii. Leo anasimama jukwaani kunadi sera za chama chake, tukisema chama cha mafisadi mnang'aka. LAKINI ARUMERU SI ALIJISIFIA HIVYOHIVYO TENA KWA MUME WA MWANAYE?
Tusubiri tuone wananchi wanajua cha kufanya.
Mbona sijaona sera ya chama ikitangazwa?wamefanyiwa nin?na watarajie kufanyiwa nin ndo nilipenda kusikia
Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums