Ukweli na Uwazi
Senior Member
- Apr 20, 2013
- 122
- 54
Non of them will be the president of this country
Mh! Hata mimi nimeshangaa!kuchi ana meno mangapi?
HahahaaaaNadhani atakuwa na meno 32 au kama ya mamba?
lowasa bwana mzee kaanza kupagawa laana ya watoto wanaosomea chini laana ta mama zetu waokosa japo panaldo laana ya richimond imeanza kumtafuna sasa hvi anaropoka lolote mpaka wamasai sasa hawamwamin zaman alikuwa akienda huko wala hataji chadema sasa maji ya shingo anaona ndugu zake wameshaijua chadema sasa yeye anawambia mabaya ya cdm kaishiwa mzee hakujua kula na kipofu we kwa cku nasikia mzee arikuwa anakunja ml.150 wakati kuna shule haina mwalim hata1 mwache atapetape