- Thread starter
- #21
Nina wasiwasi na upstairs kwako Mr. Juu!
Nina wasiwasi na upstairs kwako Mr. Juu!
It is one of ukawanite syndrome called ukawaism.Hukunisomesha, huwezi niuliza kwa kiingereza ili hali nimetoa maoni kwa kiswahili. Ila subiri wahusika watakukamata siku zako zikifika.
we utakua gosha si buree..itakua wanaume wenzako wanapulia mgongoni mwakoooo
Ngoja iziraeli akutembelee, mie sipo.
We pumbavu sana.alikuwa anamgawia mama yako?
Una uhakika gani kama alikuwa anataka kugawa fedha ili kununua watu.
Ww ndio inabidi utuelezee, na kwann hayo maneno umeyaandika kwenye picha?
Watu kama nyie ndio inabidi tuwatafute ili sheria ianze na nyie.
Ajira milioni moja za JK hizo kwa akina Mr Chin angemalizia tu ajiite Mr Chini ingeleta maanaAtajibu mwenye Lowassa, alikuwa anafanya nini na hizo fedha? Hapo sasa
![]()
Huyu ni Lowassa akiwa katika mbinu zake za kugawa fedha ili kununua watu.
Atajibu mwenye Lowassa, alikuwa anafanya nini na hizo fedha? Hapo sasa