Lowassa: Nitamtoa Babu Seya gerezani

Lowassa: Nitamtoa Babu Seya gerezani

Status
Not open for further replies.
Lisemwalo Lipo. Lisemwalo babu Seya hakutendewa haki.Lisemwalo la babu seya limewatia huruma watanzania wanadai haki sawa kwa wote.
 
mimi sio mshabiki wa siasa za upande wowote ule lakini niliwahi kumsikiliza huyu bwana wakati wa kuomba wadhamini akiwa ccm,alikuwa akirudia rudia kusema kwamba eti walikubaliana na raisi kikwete kwamba akimaliza muda wake atamwachia yeye,you can imagine mtu ambaye anataka urais anaongea upuuzi huo jukwaani.Sijamsikia akiongea mambo ya maana mimi kwenye ziara zake zote zaid ya blaaah blaaah.
 
  • Thanks
Reactions: nao
Kuachiwa Kwa Babu Seya ni hitaji la Watanzania. It is a fact and not a supposition. Here is the reason.

The meaning borne behind Lowassa's promise ya kumtoa Babu Seya ina maana kubwa sana kwa mtu anayefikiri kwa makini. While I wont point out issues related to the technicalities of law, I can infer that anachokisema Lowassa ni kwamba haki ilitendeka kwa mujibu wa sheria, lakini haikutendeka kwa ukweli uliopo nyuma ya pazia. Ambao wewe na mimi hatuujui lakini yeye kama aliyekuwa ndani ya system anafahamu.

Remember that "justice according to law, must not necessarily be justice". There justice according to the law, justice according to morality, and justice according to equity.

What you have done in your statement or argument is to show that Babu Seya was convicted and sentenced to imprisonment... That is Justice according to the law. Meaning kwamba hata kama ushahidi ulitengenezwa vyema dhidi yake...ilipaswa afungwe tu coz ushahidi umethibitisha hivyo. But would that be justice? Not at all. This is the meaning borne behind Lowassa's promise ya kumtoa Babu Seya.


Je, Watanzania wanamuhitaji Babu Seya? I would answer this; whether watanzania wanamuhitaji au hawamuhitaji Babu Seya, justice needs him out. More so, we need a person who will stand firmly to oppose injustices done to innocent people like Babu Seya. We may not need Babu Seya but we need people who will protect or dare to protect the injured innocents and Lowassa has proved to be the best person for this.

Lowassa's statement sends a message to the public on where we've gone as a nation in valuing and protecting Human Rights. Probably it's a time to make a U-Turn to ward Justice to people in its true meaning


.....hapa karibuni mmemsafisha lowassa tuhuma zake mkisema kwamba hakuna ushahidi wa ufisadi wake na hajawahi shtakiwa mahakani kwa ufisadi...kitu ambacho ni kweli..turejee kwa babu seya..kuna ushahidi gani alionao lowassa, wa nyuma ya pazia ambao hakuutoa kipindi hiko ili haki itendeke ...! na kwa ninim hakuutoa? kamanda uraisi si utani..!wapi uzalendo wake kwa wanyonge
 
Babu seya..kuna jambo zito nyuma yake.....Mh.si punguani kusema kwamba atamwachia....hii issue kila matanzania anajua kwamba ilipikwa.....hivyo basi ni aina ya mfano kwamba watanzania hawataonewa tena na wenye madaraka ,fedha na mambo kama hayo,,,,,,wengi hufungwa na kuuawa pasipo hatia .....
 
yangu macho maskio na pua kuwasikia kuaona nakuwanusa jinsi mnavyoendelea kutuuzia mbichi kavu na wagombea wenu vimeo huku nikiweka vizuri kadi yangu nami nikawakate 25 october.
 
Lete ushahidi wa hilo jambo maana limekanushwa na msemaji wa ccm,hajatoa hyo ahadi

CCM ni wazee wa Ahadi za uongo,hata Maisha bora kwa kila Mtanzania mliahidi,yako wapi hayo maisha bora? uongo tu...teh teh teh Watanzania hatudanganyiki. KURA YETU NI KWA LOWASSA NA VIONGOZI WA UKAWA.
 
kuachiwa kwa babu seya ni hitaji la watanzania. It is a fact and not a supposition. Here is the reason.

The meaning borne behind lowassa's promise ya kumtoa babu seya ina maana kubwa sana kwa mtu anayefikiri kwa makini. While i wont point out issues related to the technicalities of law, i can infer that anachokisema lowassa ni kwamba haki ilitendeka kwa mujibu wa sheria, lakini haikutendeka kwa ukweli uliopo nyuma ya pazia. Ambao wewe na mimi hatuujui lakini yeye kama aliyekuwa ndani ya system anafahamu.

Remember that "justice according to law, must not necessarily be justice". There justice according to the law, justice according to morality, and justice according to equity.

What you have done in your statement or argument is to show that babu seya was convicted and sentenced to imprisonment... That is justice according to the law. Meaning kwamba hata kama ushahidi ulitengenezwa vyema dhidi yake...ilipaswa afungwe tu coz ushahidi umethibitisha hivyo. But would that be justice? Not at all. This is the meaning borne behind lowassa's promise ya kumtoa babu seya.


Je, watanzania wanamuhitaji babu seya? I would answer this; whether watanzania wanamuhitaji au hawamuhitaji babu seya, justice needs him out. More so, we need a person who will stand firmly to oppose injustices done to innocent people like babu seya. We may not need babu seya but we need people who will protect or dare to protect the injured innocents and lowassa has proved to be the best person for this.

Lowassa's statement sends a message to the public on where we've gone as a nation in valuing and protecting human rights. Probably it's a time to make a u-turn to ward justice to people in its true meaning

chagua lugha moja kama ni kiswahili au english....kwani sio lazima utumie kingereza ili uonekane msomi
 
mimi sio mshabiki wa siasa za upande wowote ule lakini niliwahi kumsikiliza huyu bwana wakati wa kuomba wadhamini akiwa ccm,alikuwa akirudia rudia kusema kwamba eti walikubaliana na raisi kikwete kwamba akimaliza muda wake atamwachia yeye,you can imagine mtu ambaye anataka urais anaongea upuuzi huo jukwaani.Sijamsikia akiongea mambo ya maana mimi kwenye ziara zake zote zaid ya blaaah blaaah.

ulitaka aongee nn wakati kampeni bado? Mikutano ya kusaka wadhamin huwa sio ya kampeni ni kosa kisheria. subiri kampeni zianze
 
Duh! Huwa naupenda sana ule wimbo wa Salima na Seya kwani ndio Icon ya ile kesi
 
Tatizo liko unaongea kwa kumfikiria Babu Seya, ila ukitoa fkra zako kwenye box utatambua kwamba hoja ni utaratibu wa kisheria na hukumu huru za mahamakama pasipo shinikizo la matakwa binafsi au kutoka kwa mtawala/viongozi. Hii ni hitaji muhimu sana ni moja ya vigezo vya kimaendeleo, utendaji wa kisheria na uhuru wa mahakama katika kutenda haki kisheria. Acha kumtazama Babu Seya, jipanue kifikra uelewa main theme
Jamani huu u ni nini.

jinga mwingine kama tukiukubali tutakuwa watu wa hovyo na tutachekwa watu dunia nzima, kuna taratibu za kuendesha mtu, after all babu seya ni nani katika kutafuta maendeleo ya nchi hii? Ama kweli akili ni nywele......
 
Katiba ya tz ipo wazi kuhusu wafungwa,hivyo anauwezo wa kumtoa either kwa mchakoto wa sheria or msamaha wake
 
Hapo akchemka,muungwana akikosea huchutama,kama rais asingelipaswa kupoint out case kama hiyo,bali angelizungumzia kuimarisha mifumo ya kisheria,kuliko kwa title yake kuanza kuorodhesha kesi,kinachotakiwa kwa rais ni mtazamo mpana ambao ndani yake unakuwa na suluhisho ya matatizo mengi ya aina ya mtazamo wake kuliko kuanzisha taarabu na vidole juu
 
Kwa kubwabwaja tu wengine hamjambo,kwanini hakutoka na kumtetea???
 
peo zetu zinatofautiana si zani kama unaelewa ninachozungumza hapa,nani amekwambia mtu akitafuta wadamini ndo aongee mashudu


ulitaka aongee nn wakati kampeni bado? Mikutano ya kusaka wadhamin huwa sio ya kampeni ni kosa kisheria. subiri kampeni zianze
 
si babu seya peke yake bali wafungwa wote walio na kesi tata, ili kuanza upya maisha mapya ambayo haki inakaa ndani yake na si utawala dhalimu wa ccm

Watz wanataka haki, ni moja ya mahitaji muhimu mwaka huu
 
BABU SEYA HAKUTENDEW haki.. inaeleweka waz kuwa alikula dem wa KITENGO na hapo sasa ndipo adhabu ikamkutaa! rejea wimbo wa MSELA JELA wa TUNDA MAN utapata full story pale!.. kuhusu kwamba amefungwa et amebaka hata wew unaweza fungwa kwa kusingiziwa tu ilimrad ushaid uwepo mathalan ushaid wa daktar ushahd wa mhusika na majiran wawil watatu bas unakula miaka 30 bila chengaa! kwahyo mahakama haikuwa na jins zaid ya kuangalia ushahd uliopo na kumpiga ndan yeye na wanae.. TUNAMHTAJ LOWASA KUSAFISHA HII DHAMBI maana bila shaka hata wale mabinti waliodai wamebakwa nafsi zao zinawasuta kule waliko na pengne wanataka kuomba TOBA kwa MUNGU wao... so LOWASA NAKUTEGEMEA BABA KUONDOA UCHAFU HUU ULIOWEKWA NA HII SERIKAL DHAIFU...
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom