ILAN RAMON
JF-Expert Member
- Sep 10, 2013
- 10,292
- 4,967
jk alishasema ana list ya wauza unga mpaka leo hajawataja pia anamjua mdau mkuu wa meno ya tambo bila shaka wapemba wnajuana kwa vilemba rais wa Tz ana madaraka ya ki sultan yupo juu ya sheria
Sefu na duni hawakufungwa walikaa rumandeSelfu na Duni walifungwa kwa kosa la uhaini, lakini baadae wakaachiwa na rais wa zanzibar, kwa katiba yetu Rais anayo mamlaka ya kusamehe mfungwa yeyote. Ndiyo maana Mwalimu alisema katiba hii inamfanya Rais kuwa dikiteta!
Nimestuka Lowassa kudharau utawala wa sheria. Babuseya alikata rufaa mahakama kuu ya Tanzania na kushindwa kwa kosa la ubakaji na udhalilishaji watoto.
Je Lowassa hautambui mhimili wa mahakama? Je utaachia wafungwa wote?
Lowassa ataleta mgongano wa kidola.
Chanzo: Raia Tanzania
fafanua maneno haya:
kuramba,
kitu
mukubwa
Nimestuka Lowassa kudharau utawala wa sheria. Babuseya alikata rufaa mahakama kuu ya Tanzania na kushindwa kwa kosa la ubakaji na udhalilishaji watoto.
Je Lowassa hautambui mhimili wa mahakama? Je utaachia wafungwa wote?
Lowassa ataleta mgongano wa kidola.
Chanzo: Raia Tanzania
ndugu wanajukwaa, nchi hii sasa hivi imegeuka HOLLYWOOD na Sterling ni bwana Mamvi. huyu super staa amekuwa akifuatwa na msululu wa watu kila anapokwenda. MAMVI amekuwa bingwa wa kutoa ahadi yaani yeye akiona umati tu ahadi hiyo inatoka. Juzi kati kaahidi kumwachia Babu Seya - lengo lake hapa apate kura za wasanii, lakini ajabu Babu Seya yuko jela miaka kibao na kuna wakati Marando alikuwa akiisimamia rufaa yake kesi iliposikilizwa majaji hawakuweza kumfungulia kutokana na kwamba bado mazingira ya ushahidi yalikuwa yanamtia hatiani (sisemi kuwa mimi nina uhakika sana kuwa alifanya kosa alilokutwa nalo hatiani la hasha bali mahakamani tunadili na evidence na si porojo) kila mtu anaujua uwezo wa Marando katika sheria ila hakuweza kumtoa Babu Seya ingawa aliweza kuwatoa watoto wake wawili, KINACHONISHANGAZA HUYU lowassa wakati rufaaa inasikilizwa sikuwahi kumuona akijitokeza mahakamani au hata kusema anasaidia fedha za kugharamia wakili. Ila baada ya kukatwa na CCM na kuhamia Ukawa ndipo anaahidi kumtoa Babu Seya (Inaonekana Lowassa kila anapoona umati roho ya huruma inamshika).
Hiyo Moja, ya pili LUWASSA kila anapowaona boda boda anaahidi kujenga serikali ambayo itakuwa shirikishi, yaani atakuwa rais rafiki wa bodaboda, Lowassa anasema anachukizwa na ukosefu wa ajira. Lakini sijawahi kumuona Lowassa akitoa sehemu ya mamilioni yake lukuki aliyokuwa akitoa kila siku misikitini na kanisani kuanzisha hata mfuko ambao boda boda wangekuwa wanakopa au vikoba au chochote ambacho kingewasaidia watu hao.
Lowassa awali kabla hajakatwa kamuita Kikwete VISIONARY LEADER, baada ya kukatwa anasema ameua uchumi. Yaani luwassa kila siku ahadi, ahadi, ahadi, anatoa ahadi kutoka kichwani bila hata kufanya analysis kama ataweza kuzitekeleza.
Huu usanii wake ndiyo unaomfanya jinias Magufuli kuchukua hii nchi saa 12 asubuhi hapo Octoba 25, 2015.
Mimi nimemsikiliza live, acha uongo..Kawadanganye wengine ambao hawajamsikia akisema live.
Tunamtaka Ballali!!!
Nimestuka Lowassa kudharau utawala wa sheria. Babuseya alikata rufaa mahakama kuu ya Tanzania na kushindwa kwa kosa la ubakaji na udhalilishaji watoto.
Je Lowassa hautambui mhimili wa mahakama? Je utaachia wafungwa wote?
Lowassa ataleta mgongano wa kidola.
Chanzo: Raia Tanzania
Yeye kasema atamtoa na si kuunda tume kama lama usemavyo,,, hizo ni fikra zako yeye hakuwaza hivyo jombaaa