Tusimpe atajiumiza
siku zote vijana wa ccm nimazuzu unakiwango kidogo sana cha ubongo kinacho fanya kaziniko negative ila wewe nasikia una HVI mpaka sasa haina tiba kuna ya kupunguza makali tu,naona imekuathiri hadi uwezo wa kufikiri
Magufuli kishasema fisadi hachapwi anafungwa mara moja na mahakama ya mafisadi
Magufuli hana jeuri ya kukichapa chama chake. kikianguka atasimamia wapi. Acha wachapwe na lowassa, mana huyo anawajua ndani nje na kona zote ndani ya ccm.Hivi mtu unaweza ukajichapa na pakauma? SIDHANI! Acha wachapwe na Magufuli.