Lowassa ndiye raisi wako pamoja na porojo yote uliyoandika hapo
fisadi wa kwanza atakaye inama na kushika vidole vya miguu alafu atandikwe viboko ni Kikwete.
Magufuli kishasema fisadi hachapwi anafungwa mara moja na mahakama ya mafisadi
​kapime maleriaAnayekulipa kukesha kwenye Jf mwambie akuongeze. Jibu hoja kweli si kweli? Baraza la vichaa Chadema mko kazini lakini oktoba tutawatafutia mganga wa kuondoa huo ukichaa. Rais wangu ni John Pombe Magufuli. Mtaisoma namba mwaka huu japo kwa bakora. Nikitamka moja unaitikia moja.upooo
Unajua mbinu za wanasiasa?Hakika Baraza la Vichaa Chadema mmegeuzwa kichwa cha wendawazimu. Kila nyimbo mnayoimbishwa mnaimba tu hata kujaribu kutafakari maudhui ya maneno mnayoimbishwa hamna. Mlianzishiwa mengi nanyi mkaimba mpaka sauti zikakauka. MwembeYanga mlitajiwa na viongozi wenu " List of Shame wanaoimaliza nchi hii akiwemo mgombea urais wenu,mkaitikia na kuanza kuimba eeeee hadi sauti ikakauka,mkamtukana mgombea wenu mpaka matusi ya nguoni. Ikaja sifa za Zitto Kabwe mkamsifia eeeeeeh hadi sauti ikakauka,ikaja Dr Slaa mkamsifia eeeeeee hadi sauti ikakauka. Sasa upepo umebadilika kama vile mwendawazimu na siku za mbalamwezi,kablla ya viongozi wenu hawajatuomba radhi kwa kuudanganya umma na kukiri hadharani kuwa wao ni waongo,wamewaanzishia nyimbo nyingine kuwa Lowassa si fisadi ni mudilifu na kiongozi safi,mmeanza kuimba tena,hayohayo yalikuwa kwa Zitto na Dr slaa. Hivi nyinyi hamna akili hata kidogo ya kujiuliza tu hawa viongozi wenu wanawafanya mazezeta au vipi?
Hii habari imesomwa magazeti ya leo, nimeisikia katika gazeti la Nipashe. Maoni yako tafadhali. Tumpe tusimpe hiyo bakora?
Anayekulipa kukesha kwenye Jf mwambie akuongeze. Jibu hoja kweli si kweli? Baraza la vichaa Chadema mko kazini lakini oktoba tutawatafutia mganga wa kuondoa huo ukichaa. Rais wangu ni John Pombe Magufuli. Mtaisoma namba mwaka huu japo kwa bakora. Nikitamka moja unaitikia moja.upooo
​kapime maleria
Kweli jamaa ana shahada ya sanaa,hii ni biashara ya kumpa mbu kazi ya kutibu malaria
Lowassa ndio kiboko wa mafisadi.