Lowassa ni taasisi madhubuti

Lowassa ni taasisi madhubuti

Bunge la tisa lilishamtumbua......uwaziri mkuu pwaaaaaa
Mahakamani hajawahi kutia mguuu, mafisadi wote tumeshuhudia wakifikishwa kunako mahakama, yeye ufisadi wake ukoje hata asifike mahakamani?
 
Mahakamani hajawahi kutia mguuu, mafisadi wote tumeshuhudia wakifikishwa kunako mahakama, yeye ufisadi wake ukoje hata asifike mahakamani?
Kwani aliendelea na uwaziri mkuu au aliuachia? Kama aliuachia ni kwa nini ilhal yeye hahusiki na ufisadi wa Richmond?
 
Kwani aliendelea na uwaziri mkuu au aliuachia? Kama aliuachia ni kwa nini ilhal yeye hahusiki na ufisadi wa Richmond?
Mkuu hebu acha kujifanya mtoto ili hali sauti yako INA besi, hayo maswali hayastahili kuulizwa na MTU km wewe,
 
Mkuu hebu acha kujifanya mtoto ili hali sauti yako INA besi, hayo maswali hayastahili kuulizwa na MTU km wewe,
Naona unakingwa na tashwishi.....haya nielimisha wewe mwenye sauti nyororo kwa nini Lowassa alijiuzulu uwaziri mkuu?
 
Hivi kuna watu bado wanamuamini lowassa?
Wamkubushe basi awe anakwenda gongo la mboto kwa daladala 2020 sio mbali
 
Naona unakingwa na tashwishi.....haya nielimisha wewe mwenye sauti nyororo kwa nini Lowassa alijiuzulu uwaziri mkuu?
Kamuulize mwakyembe atakuambia, na pia umkumbushe Mh mwakyembe kuwa wananchi tunataka lowassa afikishwe mahakaman
 
Taasisi ambayo Godbless Lema aliagiza izomewe na kutukanwa kwa kuws ni heshima kwa Mungu.
 
mimi niungane na comredi wangu Dotto C Rangimoto. Uyu bwana lowassa ni kiongozi Mzuri sana kama siyo umbea fitina na Majungu ya wanaccm huyu bwana leo Angekuwa Rais wetu leo.

Yote katika yote siasa ni kama mchezo wa mpira, Asiyekubali kushindwa siyo mshindani, lakini ndani ya dhamiri za wambea, wafitini, wakupika majungu ndani ya chama dhamiri zao zinawahukum juu ya huyu Bwana Lowassa.
 
Mwamba wa Kaskazini. Siku JPM akipata akili kumtumia Lowassa kufanya "narration" ya kuhusu zake za kuleta maendeleo hii nchi itapaa.
 
Naona unaruka ruka tu.........
Nadhani wewe ndo unarukaruka umekosa ushike wapi unahangaika tu, kuliko kurudi CCM ni bora ungeachana na siasa km wengine tulioamua kujitoa kwa hali kuitumikia jamii ya kitanzania kwa njia nyingine,
 
Taasisi ambayo wajumbe wa Mkutano Mkuu wa CCM walidiriki kuimba "Tuna imaaani na Lowasaaa, oyaa, oyaa, oyaa!", tena mbele ya mwenyekiti wao wa taifa!
 
Mwamba wa Kaskazini. Siku JPM akipata akili kumtumia Lowassa kufanya "narration" ya kuhusu zake za kuleta maendeleo hii nchi itapaa.
mkuu nchi hii viongozi wazuri wanapigwa vita na kuchafuliwa sana na kikundi kidogo chenye maslahi. Hata Mh Magufuli Angejifunua kabla Angechafuliwa sana.

Nchi hiitupo hapa kwa sababu ya siasa za maji taka, hatuwezi kuendelea kwa siasa za maji taka.
 
Nadhani wewe ndo unarukaruka umekosa ushike wapi unahangaika tu, kuliko kurudi CCM ni bora ungeachana na siasa km wengine tulioamua kujitoa kwa hali kuitumikia jamii ya kitanzania kwa njia nyingine,
Unaruka ruka kwenye hoja......kwa nini bosi wako alijiuzulu unaniambia nimuulize Mwakyembe. ....yaani unajitia upofu wa lazima wa kutoliona sakata la Richmond ndilo lililomtumbua swahiba yako
 
Kila siku tunasema Lowasa ni Musa Wa Tanzania hamtaki kusadiki
Ilisikitisha sana pale mwenyekiti wa mkoa alipomfananisha na mtume mohammad!
 
Back
Top Bottom