mcubic
JF-Expert Member
- Mar 3, 2011
- 10,310
- 6,548
Naona nyote mmefundishwa kutoa jibu hili......ila mkiulizwa kwa nini alijiuzulu uwaziri mkuu hamna majibu.Mbona hajapelekwa Mahakamani?
Naona nyote mmefundishwa kutoa jibu hili......ila mkiulizwa kwa nini alijiuzulu uwaziri mkuu hamna majibu.Mbona hajapelekwa Mahakamani?
Mkuu tatizo ukada umeuweka mbele kuliko utu, kwanza kujiuzulu na kutumbuliwa ni vitu tofauti, lowassa hakutumbuliwa ila alijiuzulu, labda tuanze kuelimisha kwanza kuhusu kujiuzulu na kutumbuliwa ili twende sawaUnaruka ruka kwenye hoja......kwa nini bosi wako alijiuzulu unaniambia nimuulize Mwakyembe. ....yaani unajitia upofu wa lazima wa kutoliona sakata la Richmond ndilo lililomtumbua swahiba yako
Kwani vibaya?Kila siku tunasema Lowasa ni Musa Wa Tanzania hamtaki kusadiki
Ilisikitisha sana pale mwenyekiti wa mkoa alipomfananisha na mtume mohammad!
Kwa lugha ya sasa hivi kule kunaitwa kutumbuliwa kuliko sababishwa na bunge......BTW mie ni kada wa zambarauMkuu tatizo ukada umeuweka mbele kuliko utu, kwanza kujiuzulu na kutumbuliwa ni vitu tofauti, lowassa hakutumbuliwa ila alijiuzulu, labda tuanze kuelimisha kwanza kuhusu kujiuzulu na kutumbuliwa ili twende sawa
Nyie mkiwa wapi? We mwananchi wa Kongwa Dodoma nini?Ni kweli amelitumia taifa hili kwa kujilimbikizia mali kwa njia za kifisadi.
Ufisadi upi? Wa Lugumi, Escrow, Majipu au?Taasisi ya ufisadi,mungu aepushie mbali
Fisadi yupi katetewa na Chama?Taasisi inayoweza kubadili msimamo wa chama toka kupinga ufisadi hadi kuukumbatia japo kimya kimya.
Ama kweli ni taasisi ya ajabu!
Hujui hata kilichopelekea Uwaziri wake Mkuu kuishia pale!Bunge la tisa lilishamtumbua......uwaziri mkuu pwaaaaaa
Fisadi mkuu. Siku hizi kawa malaika. Ama kweli yeye ni taasisi!Fisadi yupi katetewa na Chama?
Collective responsibility + Makovu ya Sitta kuukosa u PM ambao nae alikuwa ka ahidiwa na Mkwere + Visasi vya team Mwandosya na Malecela waliojeruhiwa na Team Kikwete chini ya Lowassa kama M/Kiti mwaka 2005. Richmond ni kivuli tu, ndo maana hadi leo mnaendelea kuilipa, na juzi wamedai billion 400 kutoka Serikali ya Tz. Nilitegemea kama Richmond ni ya Lowassa angeondoka nayo alipojiuzulu! Ila ipo huku ikibatizwa kila leo!Unaruka ruka kwenye hoja......kwa nini bosi wako alijiuzulu unaniambia nimuulize Mwakyembe. ....yaani unajitia upofu wa lazima wa kutoliona sakata la Richmond ndilo lililomtumbua swahiba yako
Unamaanisha JK siku hizi anatetewa na Chadema? Narudisha kadi kesho!Fisadi mkuu. Siku hizi kawa malaika. Ama kweli yeye ni taasisi!
ha ha ha ha ha CHADEMA haina tuhuma ya ufisadi ila ina tuhuma za kutetea mafisadi.Fisadi yupi katetewa na Chama?
Any tangible evidence? Any Official statement from the Party of what You are saying?ha ha ha ha ha CHADEMA haina tuhuma ya ufisadi ila ina tuhuma za kutetea mafisadi.
TUHUMAAny tangible evidence? Any Official statement from the Party of what You are saying?