Ukawa bhana, hiyo ni sindimba ngoma ya ukae.kwa kuzungusha nanii kama hapo chini.
View attachment 370918
Kwa hiyo ule mkutano ulikuwa ni wa kumjadili Lowasa?Hata shetani anatajwa zaidi ya Mungu kanisani.
Nyota ya upigaji!NAOMBA wataalamu wa Nyota waje hapa wanisaidie kuniambia Huyu Mzee EDWARD NGOYAI LOWASSA ni wa nyota gani? Yaani, anatajwa kila mahali na kila mtu kuliko hata Rais na Mwenyekiti wa CCM!!!
Mkutano wa Jana wa CCM Mjini Dodoma, jina lake lilitajwa mara nyingi kuliko CCM yenyewe!
Kanisa gani kwa mfano? Ibilisi msiingilie ibada zetu. Sheitwain wahed!!Hata shetani anatajwa zaidi ya Mungu kanisani.
.....ha ha haalimuibia baba yako mke nini kwanza kapime dna ny be ni baba yako wa kufikia na wewe ndiyo unajua mambo ya family yenu mpelekeni mahakamani dada yangu
Wanaume hao ndio hawa au?ukiona wanaume wanakaa chini wakikoroma kutaja jina moja tu tangu asubuhi mpaka usiku wa manane ujue huyo wanajuwa muziki wake
Ilo kanisa lako litakuwa linaabudu shetaniHata shetani anatajwa zaidi ya Mungu kanisani.
Ww ndye unanyota ya kukosa huna hata hadh ya kufuta viatu vyake kabwela mkubwa hata sukar imewashibda kuaford ila bado mnaimba wataisoma number.ananyota ya kunguni, yeye ni mtu wa kukosa tu, kwa sababu ya ufisadi wake. alitaka amtumie jk kuingia ikulu lakini akaamua kummwaga mapema kupitia richmond, ufisadi wake ndio unaomfanya akatwe kila anakoenda. kama bado anandoto za uraisi, ajiandae kukatwa tena chadema. sidhani kama ataruhusiwa anunue ugombea kwa mara ya pili.
Calm down mazafaka. Povu lote hilo la nini? Mpaka unataja na mama zetu kwa ujinga huu wa kisiasa tena siasa hizi uchwara? Mishipa ya shingo imekutoka unatukana wenzio ukipigania jianasiasa zee ambalo wala halijui kama upo hapa duniani. Kama siyo usenge ni nini? Shwaini!alimuibia baba yako mke nini kwanza kapime dna ny be ni baba yako wa kufikia na wewe ndiyo unajua mambo ya family yenu mpelekeni mahakamani dada yangu
kwanini wanataja Lowassa ni mwizi.swali alikamatwa?au alipelekwa mahakamani na kama uwezi jibu basi tutajua labda mna dili nae katika familia yako na funguka mwizi kivipi?mambo ya home kwenu na lowassa msituingize humo.Calm down mazafaka. Povu lote hilo la nini? Mpaka unataja na mama zetu kwa ujinga huu wa kisiasa tena siasa hizi uchwara? Mishipa ya shingo imekutoka unatukana wenzio ukipigania jianasiasa zee ambalo wala halijui kama upo hapa duniani. Kama siyo usenge ni nini? Shwaini!
ameibadilisha tanzania hapa ngosha anakimbia mchakamchaka kwaajili ya ngoyai..................... ngoyai oyeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee saa hizi kina masamaki jela kina sijiu nani wametumbuiliwa vyeti bandia wanahara na kutapikaKwa kuzungusha mikono?
Wanaume hao ndio hawa au?
Makhambaa
Mukyapa
Makofulie
Yakayae
Chinanah
Vyeo
Mlemavu
Shwain.........
Ni wanaume hawa au ni wapi??
Nakapenda kawimbo flani hivi amazing.... "wanaume kama mabinti"
hahahaSawa bora yeye ataitwa kwa baba kuliko wewe utakayeitwa kwa shetani.
hahahaMagamba wamelala sahv wanakoroma huku wakimtaja lowasa.....lowasa....lowasa wakiongozwa na stroke&co