Lowassa ni Nyota Gani?

Lowassa ni Nyota Gani?

NAOMBA wataalamu wa Nyota waje hapa wanisaidie kuniambia Huyu Mzee EDWARD NGOYAI LOWASSA ni wa nyota gani? Yaani, anatajwa kila mahali na kila mtu kuliko hata Rais na Mwenyekiti wa CCM!!!
Mkutano wa Jana wa CCM Mjini Dodoma, jina lake lilitajwa mara nyingi kuliko CCM yenyewe!
Nyota yake ni ya kukataliwa na watu ndio maana Alikatwa!!
 
Hata muasisi wa chama chao Mzee Kingunge hakutajwa, ni Lowasa tu, Mungu azidi kukupa afya njema Edo
 
NAOMBA wataalamu wa Nyota waje hapa wanisaidie kuniambia Huyu Mzee EDWARD NGOYAI LOWASSA ni wa nyota gani? Yaani, anatajwa kila mahali na kila mtu kuliko hata Rais na Mwenyekiti wa CCM!!!
Mkutano wa Jana wa CCM Mjini Dodoma, jina lake lilitajwa mara nyingi kuliko CCM yenyewe!
Na bado hawajaamini kuwa alihama ccm. Wanaomba arejee wampe hata umwenyekiti.
 
NAOMBA wataalamu wa Nyota waje hapa wanisaidie kuniambia Huyu Mzee EDWARD NGOYAI LOWASSA ni wa nyota gani? Yaani, anatajwa kila mahali na kila mtu kuliko hata Rais na Mwenyekiti wa CCM!!!
Mkutano wa Jana wa CCM Mjini Dodoma, jina lake lilitajwa mara nyingi kuliko CCM yenyewe!

Ana nyota ya 'kiepe mayai, ndo maana kina baba nanihii wanamshobokea sana!
 
Hata Wema naye hutajwa sana...naye ana nyota gani?
 
Walengombe walikatwa mikia wanatokwa na mapovu kweli kweli wakisikia jina la lowassa
 
Masihi wa BAVICHA na baraza la wazazi chadema (bawacha). Kila siku ana press conference na BAVICHA wanafarijiana kuwa walishinda ila wakanyang'anywa ushindi, kama alidhurumiwa ushindi hapana shaka kuwa nyota yake ni ya mkosi maana kukatwa kote huko ni kiashiria cha mikosi na sio jambo la kujisifu au kumsifia.
changia kwa kutoa hoja za msingi
siasa Sio chuki
 
Lowassa ana nyota ya chipsi anapendwa sana na watanZania
 
Kwa kuzungusha mikono?
kwa kuzungusha nanii kama hapo chini.
images-25.jpeg
 
Back
Top Bottom