OSOKONI
JF-Expert Member
- Oct 20, 2011
- 10,965
- 5,344
kwani yeye kaiba nini? maana navofahamu wezi mahali pao jela? labda kama sheria imebadilishwa!Masia huwa hawaibi mkuu!
kwani yeye kaiba nini? maana navofahamu wezi mahali pao jela? labda kama sheria imebadilishwa!Masia huwa hawaibi mkuu!
Anza ufisadi. Fedha utakayopata changia harambee, wanunulie vijana bodaboda nk. Uwe na lengo na usiwe mchoyo. Nyota uitakayo itakuja juu yako. Ni rahisi.Natamani ningekuwa na nyota kama ya Lowasa
Nyota yake ni ya kukataliwa na watu ndio maana Alikatwa!!NAOMBA wataalamu wa Nyota waje hapa wanisaidie kuniambia Huyu Mzee EDWARD NGOYAI LOWASSA ni wa nyota gani? Yaani, anatajwa kila mahali na kila mtu kuliko hata Rais na Mwenyekiti wa CCM!!!
Mkutano wa Jana wa CCM Mjini Dodoma, jina lake lilitajwa mara nyingi kuliko CCM yenyewe!
Ukiona mtu anatajwa tajwa kuna mawili kawaumiza watu kwa utapeli hivyo anatajwa kumuepuka ama anatajwa kwa kupendwa kama mchezaji RonaldoView attachment 370315
Masia katumwa na Mungu kuja kuwaokoa wana wa Tanganyika
Lowassa!??? Hata Nyerere alimkataa. Wizi wake ni kama lahanaHata muasisi wa chama chao Mzee Kingunge hakutajwa, ni Lowasa tu, Mungu azidi kukupa afya njema Edo
Na bado hawajaamini kuwa alihama ccm. Wanaomba arejee wampe hata umwenyekiti.NAOMBA wataalamu wa Nyota waje hapa wanisaidie kuniambia Huyu Mzee EDWARD NGOYAI LOWASSA ni wa nyota gani? Yaani, anatajwa kila mahali na kila mtu kuliko hata Rais na Mwenyekiti wa CCM!!!
Mkutano wa Jana wa CCM Mjini Dodoma, jina lake lilitajwa mara nyingi kuliko CCM yenyewe!
NAOMBA wataalamu wa Nyota waje hapa wanisaidie kuniambia Huyu Mzee EDWARD NGOYAI LOWASSA ni wa nyota gani? Yaani, anatajwa kila mahali na kila mtu kuliko hata Rais na Mwenyekiti wa CCM!!!
Mkutano wa Jana wa CCM Mjini Dodoma, jina lake lilitajwa mara nyingi kuliko CCM yenyewe!
changia kwa kutoa hoja za msingiMasihi wa BAVICHA na baraza la wazazi chadema (bawacha). Kila siku ana press conference na BAVICHA wanafarijiana kuwa walishinda ila wakanyang'anywa ushindi, kama alidhurumiwa ushindi hapana shaka kuwa nyota yake ni ya mkosi maana kukatwa kote huko ni kiashiria cha mikosi na sio jambo la kujisifu au kumsifia.
Ukweli sio tusi, never translate truth into insults,Mbona ma
Sawa bora yeye ataitwa kwa baba kuliko wewe utakayeitwa kwa shetani.Endelea kuota mpaka siku utakapoitwa kwa baba muumba