mukulupapaa
JF-Expert Member
- Dec 2, 2014
- 2,930
- 1,733
Anasemwa sana ccm kuliko chademaMasihi wa nyumbu huyo, mtu kaingia kwa kuhonga chama bado mnashangilia tu, Eti masihi huyo ni masihi wa BAVICHA.. Jina lenye mkosi wa kukatwa.

Anasemwa sana ccm kuliko chademaMasihi wa nyumbu huyo, mtu kaingia kwa kuhonga chama bado mnashangilia tu, Eti masihi huyo ni masihi wa BAVICHA.. Jina lenye mkosi wa kukatwa.

Kama huwa unakanya watoto wako wasitukane watu kwa staili hii basi wewe ndiye mwalim wao mkuu.Calm down mazafaka. Povu lote hilo la nini? Mpaka unataja na mama zetu kwa ujinga huu wa kisiasa tena siasa hizi uchwara? Mishipa ya shingo imekutoka unatukana wenzio ukipigania jianasiasa zee ambalo wala halijui kama upo hapa duniani. Kama siyo usenge ni nini? Shwaini!
Hahahaha jamaa kasema Masia.Mimi Masiya wa JF "Nabakiza maneno"
kwanini wanataja Lowassa ni mwizi.swali alikamatwa?au alipelekwa mahakamani na kama uwezi jibu basi tutajua labda mna dili nae katika familia yako na funguka mwizi kivipi?mambo ya home kwenu na lowassa msituingize humo.








Ni neno hilo hilo mkuu tofauti ni asili tu.Hahahaha jamaa kasema Masia.
swissme
Kati ya mambo ambayo sina subira nayo wala unyenyekevu ni mtu kunitukania mama hasa kwenye mambo ya kijinga namna hii. Nitukane tusi lolote hapa duniani lakini kamwe usimwingize mamangu ndanimwe. Hiyo huwa naita hitting below the belt. Kwani hatuwezi kuzodoana wenyewe kwa wenyewe bila kuwatukana na mama zetu? Mama zetu wana makosa gani?Kama huwa unakanya watoto wako wasitukane watu kwa staili hii basi wewe ndiye mwalim wao mkuu.
Kwa mfano akatangaza leo kurejea sisi emu mtashangilia au mta mkataa!?Masihi wa nyumbu huyo, mtu kaingia kwa kuhonga chama bado mnashangilia tu, Eti masihi huyo ni masihi wa BAVICHA.. Jina lenye mkosi wa kukatwa.
Hili limjamaa kweli kiboko kama Gadner... linakojoza balaa..

Watashangilia sana ila watajua kuwa ni ng'ombe asiye na mkia. Inzi wanajing'ong'ea tu bila wasiwasi!Kwa mfano akatangaza leo kurejea sisi emu mtashangilia au mta mkataa!?
Kumbe matusi ya kwenye keyboard yanaumiza eeh, ila mimi huwa naya-ignore tu, I don't take it seriously.Kati ya mambo ambayo sina subira nayo wala unyenyekevu ni mtu kunitajia mama hasa kwenye mambo ya kijinga namna hii. Nitukane tusi lolote hapa duniani lakini kamwe usimwingize mamangu ndanimwe. Hiyo huwa naita hitting below the belt. Kwani hatuwezi kuzodoana wenyewe kwa wenyewe bila kuwatukana na mama zetu? Mama zetu wana makosa gani?
Siku nikija kupata watoto kwa rehema za Molla natumaini watakuwa watoto wema, wenye heshima na wasiojua tusi hata moja except pale tu wakitukaniwa mama yao!
Niko specific kabisa. Nitukane yote ntakucheka tu. Just don't involve our mothers. Watu tuko tofauti ati! Ndo maana hakuna Quinine mwingine hapa duniani.Kumbe matusi ya kwenye keyboard yanaumiza eeh, ila mimi huwa naya-ignore tu, I don't take it seriously.