Lowassa ni Nyota Gani?

Lowassa ni Nyota Gani?

NAAMINI KUTAJWA TAJWA KWAKE NI UTHIBITISHO JINSI RUSHWA NA UFISADI UNAVYOWEZA KUATHIRI JAMII KISAIKOLOJIA KUTEKA MAWAZO YA WENGI PASIPO KUJITAMBUA.

KIWANGO ALICHOFIKIA CHA KUNUNUA WAJUMBE NA WADHAMINI WA CCM KILA KONA NA ISITOSHE KUNUNUA BODABODA NCHI NZIMA NA KUGAWA FEDHA MAKANISANI NA MISIKITINI ILI AWE RAIS, NI KIGEZO TOSHA CHA JINSI FEDHA INAVYOWEZA KUNUNUA UHURU WA MTU NA ASIPATE MSAADA KIFIKRA.

AMEBAKI KUTAJWA TAJWA TU NA ASIPATE MSAADA.
 
Calm down mazafaka. Povu lote hilo la nini? Mpaka unataja na mama zetu kwa ujinga huu wa kisiasa tena siasa hizi uchwara? Mishipa ya shingo imekutoka unatukana wenzio ukipigania jianasiasa zee ambalo wala halijui kama upo hapa duniani. Kama siyo usenge ni nini? Shwaini!
Kama huwa unakanya watoto wako wasitukane watu kwa staili hii basi wewe ndiye mwalim wao mkuu.
 
Nyota ya karun asiyetosheka na mali alizonazo
 
Hivi Jk anaweza kua mvumilivu kumshinda Lowassa ambaye ametukanwa kila aina ya tusi, tena mpaka anaitwa mzogo unaotembea!


Hakyanani CCM hii laana itawatafuna mpaka mtakapoisha wote kisiasa ndani ya chama.Huyu mzee ni mvumilivu haijawahi kutikea ever, hajawahi kutukana wala kukashifu mtu mdani ya siasa yake.Kama na nyinye wenyewe mnakiri nguvu yake inatisha mnafikiri anashindwa kuwajibu?


Mliambiwa mpeleke ushahidi mahakamani mnajichekelea tu, pelekeni ushahidi kama Lowassa ni fisadi! Mnaogopa nini wakati ninyi mnadola ilihali Lowassa yuko mtaani kama raia tu?

Narudia tena nchi hii hakuna mtu mvumilivu kama Lowasaa.Hata kama angekua fisadi kweli yeye kama binadamu asingeweza kuacha kujibu mapigo, asingeweza kutukanwa na wototo wadogo tena aliowalea yeye akakubali. CCM hii laana itawatafuna tu, mtakapoanza kuparanganyika wenyewe kwa wenyewe ndio mtamjua vizuri Lowassa.
 
Wapalangane mara ngapi?
Huoni wanavyopoteana?
Sema kasi hii itaongezeka siku hata siku
 
Kama huwa unakanya watoto wako wasitukane watu kwa staili hii basi wewe ndiye mwalim wao mkuu.
Kati ya mambo ambayo sina subira nayo wala unyenyekevu ni mtu kunitukania mama hasa kwenye mambo ya kijinga namna hii. Nitukane tusi lolote hapa duniani lakini kamwe usimwingize mamangu ndanimwe. Hiyo huwa naita hitting below the belt. Kwani hatuwezi kuzodoana wenyewe kwa wenyewe bila kuwatukana na mama zetu? Mama zetu wana makosa gani?

Siku nikija kupata watoto kwa rehema za Molla natumaini watakuwa watoto wema, wenye heshima na wasiojua tusi hata moja except pale tu wakitukaniwa mama yao!
 
Masihi wa nyumbu huyo, mtu kaingia kwa kuhonga chama bado mnashangilia tu, Eti masihi huyo ni masihi wa BAVICHA.. Jina lenye mkosi wa kukatwa.
Kwa mfano akatangaza leo kurejea sisi emu mtashangilia au mta mkataa!?
 
Kati ya mambo ambayo sina subira nayo wala unyenyekevu ni mtu kunitajia mama hasa kwenye mambo ya kijinga namna hii. Nitukane tusi lolote hapa duniani lakini kamwe usimwingize mamangu ndanimwe. Hiyo huwa naita hitting below the belt. Kwani hatuwezi kuzodoana wenyewe kwa wenyewe bila kuwatukana na mama zetu? Mama zetu wana makosa gani?

Siku nikija kupata watoto kwa rehema za Molla natumaini watakuwa watoto wema, wenye heshima na wasiojua tusi hata moja except pale tu wakitukaniwa mama yao!
Kumbe matusi ya kwenye keyboard yanaumiza eeh, ila mimi huwa naya-ignore tu, I don't take it seriously.
 
Kumbe matusi ya kwenye keyboard yanaumiza eeh, ila mimi huwa naya-ignore tu, I don't take it seriously.
Niko specific kabisa. Nitukane yote ntakucheka tu. Just don't involve our mothers. Watu tuko tofauti ati! Ndo maana hakuna Quinine mwingine hapa duniani.
 
Back
Top Bottom