NAOMBA wataalamu wa Nyota waje hapa wanisaidie kuniambia Huyu Mzee EDWARD NGOYAI LOWASSA ni wa nyota gani? Yaani, anatajwa kila mahali na kila mtu kuliko hata Rais na Mwenyekiti wa CCM!
Mkutano wa Jana wa CCM Mjini Dodoma, jina lake lilitajwa mara nyingi kuliko CCM yenyewe!
Mkutano wa Jana wa CCM Mjini Dodoma, jina lake lilitajwa mara nyingi kuliko CCM yenyewe!