Lowassa ni mwepesi mno: Amezoea kushindwa

Lowassa ni mwepesi mno: Amezoea kushindwa

Kauli ya mh lowasa wakati akihutubia hadhira ; imeacha maswali mengi kutokana na yanayotokea katika umoja wa katiba ya wananchi (ukawa)

Kauli hiyi alitoka kuwa hana historia ya kushindwa.

Maswali yamekuwa mengi

1. Kutokana na wimbi la baadhi ya makada kuingia ccm na kupewa jukwaaa kubwa ; je ni jeuri ya lowassa kuwa ashindwi kitu.

2. Je huu ni mwanzo mpya wa mh lowassa kusuka upya chama cha maendeleo (chadema) kutokana na hotuba ya mwenyekiti
kwa kumtaja kuwa ni mtu muhimu na strategic leader na atakivusha chama tofauti na wengine ingawa ni kada wa ccm mkubwa ; na wakati wa kujinadi ; alipenda wimbo wa kada upingwe zaidi ya mara 3 pale arusha.

3. Je usalama wa taifa ; tumezoea wakiwasaidi ccm ; kudhoofisha upinzani; na kaweza kumuingiza jasusi mkubwa ata bila kuojiwa ; je katumwa kama mrema alivyoangusha chama cha nccr mageuzi; na mpango wake wa kuwaingiza majasusi kwa kuwaimbia chadema ; njia zote za ccm anazijua ; je urahisi wa kupata udhaifu wa chadema itakuwa kazi rahisi

4. Wale vinara wa kupigania ufisadi ; kumkimbia wakiacha nyadhifa zao kubwa ; je si ni ushindi kama kauli yake.

5. Mwenyekiti kuvaa gwanda lakini yeye kutovaa na kuanza kubadili culture ya chadema ; ni ushindi

6. Kwa muda mfupi kupata watu wa kusafisha ; na kuacha mipango ya kdai katiba mpya ; na mwenyikiti kutumia muda mwingi kumsafisha ; je si ni ushindi

6. Ushindi wa kumpatia salumu mwalimu; mtangazaji wa channel ten nafasi ya katibu mkuu; Salum Mwalimu alikuwa maajiliwa wa Rostam Azizi kupitia channel ten. Katumika kama daraja la kumleta CHADEMA; Je ni ushindi wa kishindo

Kweli mheshimiwa kashinda na nimekubali hajawahi kushindwa na wapinzani
 
Hivi unaijua vita iliyopo kati ya Lowasa na Kikwete ipoje hii ni vita kubwa kuiliko
 
Kuondoka kwa lipumba ndio kiashirio kikubwa cha ushindi. Hatunyumbi wala hatubabaiki ccm pressure zinapanda zinashuka
 
Vipi R.B umerudi lini kutoka Tabora.....?

tupo tabora ;
Tunasikitika kwa kukatishwa tamaa ya mabadiliko Mh slaa na Lipumba na Huyu DJ Mbowe


waraka wa prof Kitila Mkumbo ; Uliyaona na sasa yametimia.

LOWASA ANASHINDA KM KAULI YAKE; MTU ATAKAYE ONDOLEWA NI MBATIA. ILI LOWASA APANGE SAFU YAKE MPYA.

KARIBU ACT
 

Kuna wakati Mungu akipanga mambo yake, huwafanya watu mioyo yao iwe migumu, ili kujidhihirisha utukufu wake kwao!. Mimi sizungumzii Julai 12, bali nazungumzia October 5!, hata Musa alipoanza harakati za kuwakomboa wana wa Israel, alikutana na vikwazo vingi ikiwemo Mungu kuifanya mioyo yao iwe migumu lakini mwisho wa siku, utukufu wake ulijidhihirisha wazi!.
Kwa Tanzania, huu ni mwaka wa lile "Jiwe walilolikataa waashi, litafanywa kuwa jiwe kuu la pembeni!"
"Wewe ni mwamba, na juu ya mwamba huu, nitalijenga taifa langu!" aliambiwa!.
Pasco
Pasco una roho ya paka! nimekuinulia mikono mkuu!!!!!
Haaa haaa aisee Pasco kweli una roho ngumu kama ya Paka.
Mkuu hapo sio issue ya roho ya paka bali ameamua makusudi kujitoa ufahamu na mwisho wa siku ateenda kunywa nae chai uraisi ng'o hata ungesema kwenye kumi bora hayumo.
Mimi sikupuuzi kabisa. Hukumalizia Mstari Wa Mwisho Kuwa Atakuwa Na Chama La ZZK. Hili halipingingi.
Dah Pasco I used to hate huu mfano wako,lakini siku hizi nakuelewa sana.Watu hawataamini kile kinachokwenda kutokea,mimi nimejiandaa kisaikolojia,nisije kufa kwa pressure bure.
Jiwe la pembeni limekuwa tope la njiani
Ni katika kukumbushana tuu, tulisema nini!, tarehe 25 October, tutaheshimiana tuu!.

Pasco
 
Lowasa kwa mtu yeyote makini, ukimwangalia ni mtu aliyeshindwa hata kabla ya mchuano kuanza.

Labda kashindwa tu kukodi wasanii wa kila rangi ili kuwashawishi watu kuja kwenye mikutano yake, lakini vinginevyo TIME WILL TELL.
 
Ukimtazama na kumsikiliza Edward Ngoyai Lowassa unaweza kunibishia. Ukimtazama na kumsikiliza tena Lowassa utaniamini. Ukimtazama na kumsikiliza Lowassa kwa mara ya tatu, hutatamani kumtazama na hata kumsikiliza mara nyingine. Ni msanii kwelikweli. Lowassa anajipambanua kama dawa ya umaskini wa Tanzania. Ameshindwa vibaya kuuondoa umaskini wa Monduli tu aliyoiongoza kwa miaka 25 kama Mbunge.

Lowassa anapokaririwa akisema kuwa ndani ya CC na NEC hakuna wa kukata jina lake unaweza kumuamini. Anajichora kama mpambanaji na shujaa hasa. Anajichora kama mwenye misuli imara chamani na asiyezuilika. Mtazame tena Lowassa na utabadili mtazamo wako. Lowassa amejaa woga na kutojiamini. Ndiyo maana anashtukiashtukia. Anacheza filamu ya takwimu wakati wenzake wamesharejesha fomu na fomu zimeanza kuchambuliwa! Ameshindwa mapema.

Hakuna Mwepesi Kama Wewe Kilaza Wa Lumumba, Mwambie Na Huyo Wa Uenezi Na Itikadi Aandae Nchi Ya Kukimbilia, Na Diplomatic Pass Yake Kabla Haijachukuliwa
 
Uongo Mmoja Matata! Kuulagai Umma Toka Ofisi Kuu Lumumba, Unajua Kisa Cha Nape,makamba Na Lowasa!? Au Ndo Akili Za Usiku?
 
Labda kashindwa tu kukodi wasanii wa kila rangi ili kuwashawishi watu kuja kwenye mikutano yake, lakini vinginevyo TIME WILL TELL.

sasa kama jambo dogo kama hilo limemshinda ataliwezaje la kuwa Rais??
 
Back
Top Bottom