wagaba
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 1,106
- 605
"Anacheza filamu ya takwimu wakati wenzake wamesharejesha fomu na fomu zimeanza kuchambuliwa! Ameshindwa mapema." HAPO UMESEMA MKUU. Yupo busy kuaminisha uma wa Tanzania kuwa anakubalika sana across the Nation. Na yeye kuamini kufanya hivyo ni kuwaingizia woga watia nia wenzake. Yeye alikuwa miongoni mwa watia nia wa mwanzo kabisa lkn sasa anakuwa wa mwisho kurudisha fomu.
Na kosa kubwa alifanyalo sasa ni kugeuza zoezi Zima la kutafuta wadhamini kuwa ni kufanya kampeni. Itamkosti hii
Na kosa kubwa alifanyalo sasa ni kugeuza zoezi Zima la kutafuta wadhamini kuwa ni kufanya kampeni. Itamkosti hii