Lowassa ni mwepesi mno: Amezoea kushindwa

Lowassa ni mwepesi mno: Amezoea kushindwa

sasa kama jambo dogo kama hilo limemshinda ataliwezaje la kuwa Rais??

Garama. Na muda huu hakuna madawa hospitalini. CCM wasanii halafu wanatumia wasanii, ni USANII mtupu.
 
Historia inaonesha Ndugu Lowassa kila anapojaribu kuweka karata yake kugombea kazi kubwa kabisa katika nchi, ya uraisi amekuwa akikumbana na pingamizi kubwa na kumwacha akiwa mwenye msongo mkubwa wa mawazo yeye na wafuasi wake wasijue la kufanya;

Mwaka 1995 katika kikao cha kamati kuu Kingunge Ngombale Mwiru alimshtaki Lowassa katika kikao hicho kuwa hafai kugombea uraisi na hatimaye kuwa mwenyekiti wa CCM kwa kuwa anamiliki mali nyingi kwa muda mfupi bila kuwa na uthibitisho wa jinsi alivyopata.

Mwaka 2008 alilazimishwa na Bunge kujiuzuru uwaziri Mkuu la sivyo angefutwa kazi na wabunge walioapa kupiga kura ya kutokuwa na imani naye kwa kuliingiza taifa hasara katika mkataba wa Richmond.

Mwaka 2015 kamati ya maadili ya CCM chini ya Komredi Mzee Mangula, ''ilimchijilia'' mbali kwa kukosa sifa ya kumbea uraisi kupitia CCM....akakimbilia chadema hatimaye tarehe 25.10.2015 wananchi walipomwonyesha hasira zao kwenye sanduku la kura kwa ''kumkatilia'' mbali.

Sasa wenye ukawa wamerudi, mwasisi wa UKAWA halisi ya kudai katiba ya wananchi Prof. Ibrahim Lipumba na wafuasi wake wakiwamo wabunge na baadhi ya viongozi wameapa kutoshirikiana na Lowassa na sasa ni dhahiri hadhi yake imeporomoka.

Ni wakati sasa wa kujitathimini na kujua wapi Lowassa alijikwaa au ana mkosi gani?
 
Sijui umeandika nini au ulikusudia nini maana hata uandishi wako ni wa kitoto mno! hebu unapokuwa na kitu cha kuleta huku ujitafakari na uhakikishe unachoandika kina utafiti na mwelekeo badala ya miwehuko ya kitoto na kipuuzi.
 
Hivi kila anayeweka nia ya kugombea urais anapata?
 
Hawa waliokuwa wanapinga Edo alipokuwa CCM,leo ndio hao hao wanaomuunga mkono huko Chadema,kwa hayo tu inaonyesha undumila kuwili wa watu,wakati akiwa CCM alipewa kila aina ya majina ,sasa yupo Chadema hao hao waliomuona shetani sasa wanamuona malaika.Kamwe watu wa aina hii hatuwezi kuwaamini.
 
Back
Top Bottom