Lowassa ni msafi, Lakini kuna kitu hiki...

Lowassa ni msafi, Lakini kuna kitu hiki...

dahhh nimebanwa na pumzi..ngoja kwanza
 
thanks invissible .... wenzetu wazungu wapo very careful... unapotaka kununua au ku invest lazima wajue kama pesa hiyo umeipata kihalali na siyo kwa ufisadi .... this is a piece of work we are supposed to take into our systems
 
Yaani wanatufanya Watanzania hamnazo, na hao jamaa sijui kama tutafika
 
Hii inazidi kuthibitisha kuwa Lowassa ni Fisadi wa viwango vya kimataifa. Ina maana wangekuwa wanasajiliwa, bila shaka Lowassa angekuwa fisadi wa kulipwa, tena kwenye klabu kubwa kubwa...
 
Alafu kwa hela alizona nazo, badala ya kumrithisha mwanae elimu, uadilifu anamrithisha ufisadi. Hivi Huyo kijana wake tutegemee nini 'akishakomaa' kwenye hiyo tasnia... Tanzania itapona kweli!?
 
Sasa Lowasa mbona anajidai mmasai huku anasema kazaliwa mwanza??!!!
AU NDO MAMBO YA UONGO ILI AWEZE KUTUCHANGANYA VIZURI??
Hao wana laani ya nyerere
 
Sasa Lowasa mbona anajidai mmasai huku anasema kazaliwa mwanza??!!!
AU NDO MAMBO YA UONGO ILI AWEZE KUTUCHANGANYA VIZURI??
Hao wana laani ya nyerere

huyu ni Frederick Edward Lowasa..mtoto wa waziri mkuu wa zamani Edward Ngoyai Lowasa
 
Alafu kwa hela alizona nazo, badala ya kumrithisha mwanae elimu, uadilifu anamrithisha ufisadi. Hivi Huyo kijana wake tutegemee nini 'akishakomaa' kwenye hiyo tasnia... Tanzania itapona kweli!?

Mwanaye na mama yake.
Halafu bila aibu analeta wapambe hapa JF kumpigia debe kwa ajili ya 2015. The guy is a FISADI big time.
 
Haya mambo tusubiri tuone, maana hiyo kampuni ya Integrated ni ya Wasomali ambao ni matajiri sana wana kampuni makubwa nje, lakini hebu tuangalie siri ya biashara za Wasomali kushamiri kwa kasi katika miji ya Dar es Salaam na Mombasa na hali ya sasa ilivyo, je Usalama wetu uko wapi?

Naambiwa hawa Intergrated wanannua majumba ya watu na viwanja kwa fujo maeneo ya Kurasini karibu na bandari yetu, je, watu wa TISS mpo? Mnalijua hilo maana hata watu nyeti wamelazimika kuuza nyumba zao huko maana jamaa wanatoa Cash kwa bei utakayo wewe
 
Well,

Added part II of the so called 'SIRI KUBWA'
 
Inasikitisha. Angalau hivyo vijisenti wangekuwa wanaviwekeza huku huku vingesaidia uchumi wetu kwa namna fulani.
 
Naamini watu mtaweza kukipakua na kutoa maoni yenu...

Kumbuka: Nyaraka hizi ni za SIRI KUBWA
Ndg yangu Invisible kwa kazi yote hii nzuri uliyo fanya, pamoja na hawa jamaa wa SCD, kwa nchi kama hii ya TZ nani amvishe paka kengele. TAKUKURU wapo picha tuu si hiyo ni kazi yao??????? Tanzania tumekwisha!!!!!!!!!
 
Sasa hiyo part II ndio kiboko, sasa Lowassa na mkewe walifanya biashara gani na hao Wasomali hadi wawadai milioni 450/= sasa hapo ndio mujue kuna kazi amewafanyia na hayo ndio malipo, na TAKUKURU waanzie hapa
 
Back
Top Bottom