Lowassa ndani ya kibaha leo

Mr Hero

JF-Expert Member
Jun 11, 2015
5,540
7,455
Katika kufunga kampeni za udiwani kata ya misugusugu kibaha, leo lowassa atakuwa mgeni rasmi, naona viwanja vimeanza kupendeza nimesafiri kwa ajili ya kutazama mambo yatavyokuwa,
Stay tune kwa update


Update

Polisi wamemwagwa viwanja hivi na kazi wanayofanya kukamata vijana tu
Bodaboda wote walioweka bendera wanatakiwa wazitoe zote

Kuna vijana wawili wamekwishakamatwa na wamepelekwa ndani
b769888378807fd5d509c1e8e8ae4dd1.jpg
b598a88ac08405bd3620c4b2bc641cea.jpg
 
Katika kufunga kampeni za udiwani kata ya misugusugu kibaha, leo lowassa atakuwa mgeni rasmi, naona viwanja vimeanza kupendeza nimesafiri kwa ajili ya kutazama mambo yatavyokuwa,
Stay tune kwa update


Update

Polisi wamemwagwa viwanja hivi na kazi wanayofanya kukamata vijana tu
Bodaboda wote walioweka bendera wanatakiwa wazitoe zote

Kuna vijana wawili wamekwishakamatwa na wamepelekwa ndani
tafadhali tupia picha na video
 
Back
Top Bottom