Lowassa ndani ya Kagera (March 01, 2014)

Lowassa ndani ya Kagera (March 01, 2014)

OgwaluMapesa

JF-Expert Member
Joined
May 24, 2008
Posts
10,942
Reaction score
437
Waziri mkuu mstaafu na mbunge wa Monduli mh Edward Lowassa akisalimiana na sheikh mkuu Alhadji Haruna Kichwabuta pamoja na viongozi wengine mara tu alipowasil imjini Bukoba kwa ajili ya kuhudhuria mazishi ya Balozi Fulgence Kazaura le hii.
attachment.php
 
Waziri mkuu mstaafu na mbunge wa Monduli mh Edward Lowassa akisalimiana na sheikh mkuu Alhadji Haruna Kichwabuta pamoja na viongozi wengine mara tu alipowasil imjini Bukoba kwa ajili ya kuhudhuria mazishi ya Balozi Fulgence Kazaura le hii.

Attention seeker.Kwani yeye ni Mbunge Pekee aliyehudhuria mazishi huko Kagera?
 
Ben saanane uwe unatumia akili ulitaka amtaje mbowe ndio ufurahi we kijana unaiangusha sana chadema uwezo wa kufikili na kupambanua vitu huna kabisa
 
Attention seeker.Kwani yeye ni Mbunge Pekee aliyehudhuria mazishi huko Kagera?


Yaani watu wanashangaza kwelikweli!! Mtu akishanunuliwa juisi tu anajitoa ufahamu!! Ktk taifa letu, mtu ambaye hastahili kuonekana barabarani, ni huyu mtu!!

HAKIKA NAWAAMBIA WATZ MTAKUJA KUJUTA KULIKO SASA!! Pigeni kelele kwa ushabiki!!
 
Yaani watu wanashangaza kwelikweli!! Mtu akishanunuliwa juisi tu anajitoa ufahamu!! Ktk taifa letu, mtu ambaye hastahili kuonekana barabarani, ni huyu mtu!!

HAKIKA NAWAAMBIA WATZ MTAKUJA KUJUTA KULIKO SASA!! Pigeni kelele kwa ushabiki!!

We subiri tu kaka ipo siku watajuta ....watanzania sijui nani katuloga tena utashangaa huyo anaeshabikia nikjana tena alienda shule
 
Waziri mkuu mstaafu na mbunge wa Monduli mh Edward Lowassa akisalimiana na sheikh mkuu Alhadji Haruna Kichwabuta pamoja na viongozi wengine mara tu alipowasil imjini Bukoba kwa ajili ya kuhudhuria mazishi ya Balozi Fulgence Kazaura le hii.
attachment.php

upuuzi mtupu, viongozi wangapi wamehudhuria why lowassa tu?
 
Waziri mkuu mstaafu na mbunge wa Monduli mh Edward Lowassa akisalimiana na sheikh mkuu Alhadji Haruna Kichwabuta pamoja na viongozi wengine mara tu alipowasil imjini Bukoba kwa ajili ya kuhudhuria mazishi ya Balozi Fulgence Kazaura le hii.
attachment.php




Correction. Edward Lowassa si Waziri Mkuu mstaafu. Ni Waziri Mkuu wa zamani aliyejiuzulu kwa kashfa ya ufisadi wa Richmond.

Mawaziri wakuu wastaafu walio hai ni: Cleopa Msuya, Joseph Warioba, Dr Salim Ahmed Salim, John Malecela na Frederick Sumaye. Hawa ndio walistaafu wa heshima. Lowassa alijiuzulu kwa kashfa na hivyo hana heshima ya kuitwa Waziri Mkuu mstaafu.
 
Correction. Edward Lowassa si Waziri Mkuu mstaafu. Ni Waziri Mkuu wa zamani aliyejiuzulu kwa kashfa ya ufisadi wa Richmond.

Mawaziri wakuu wastaafu walio hai ni: Cleopa Msuya, Joseph Warioba, Dr Salim Ahmed Salim, John Malecela na Frederick Sumaye. Hawa ndio walistaafu wa heshima. Lowassa alijiuzulu kwa kashfa na hivyo hana heshima ya kuitwa Waziri Mkuu mstaafu.

lowassa alijiuzulu kwa kulinda serikali ya baba riz moja,ww najuw humkubali lowassa lakin muulize mama yako mzaz nan anafaa kuongoza hii nchi kama hatakuambia ni lowassa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom