Kweli kabisakuwapa chadema nchi ni sawa na mchezo wa `kubet' probability ya kushinda huwa ni ndogo sana!
Utakuwa umeshapata jibuYa lini hii
Sent from my SM-G930F using JamiiForums mobile app
nimeaminiakili za chadema bhana chadema sio chama cha wananchi ni saccoss ya mbowe
meningitis meningitidesha ha ha ha....meninjitis!!!
mkuu upo?Kudos meningitis
Mzee walikutukana sana na mimi nikaamua kutulia sanaMsimamo huu wengine tumeendelea nao na nawashukuru na kuwapongeza wale wote ambao hawakuwa tayari kusalimu amri na kucompromise on this fundamental principle!!
Mkuu Homa ya Uti wa Mgongo, Meningitis, kwa bandiko hili la Jan 4, 1914, nakuvulia kofia!. Umetisha, uliona mbali, ukatoa angalizo kuhusu watu hawa!. Kumbe uliokuwa unawapa angalizo, uwezo wa uoni wao ni hadi mwisho tuu wa pua zao!. Wakawakumbatia, wananchi wakawatosa, sasa 2020 Chadema inakwenda kuvuna ilichopanda.Hii ni tahadhari kwa hao kina Lowassa na uongozi wa CHADEMA!
CHADEMA iandae uongozi thabiti wa kushika dola, kwani 2015 wananchi wamejipanga. Hakuna politics!
Hapa ndo tunaposema kuwa akiba ya maneno lazima ifichwe kama mbupu.Kuna theory nyingi sana kuhusiana na ugombea urais mwaka 2015, zote zinalenga katika majina makubwa ya Wanaccm wanaoutaka urais.
Kuna watu wanasema Lowassa akikosa kupitishwa na CCM kugombea urais, basi atahamia CHADEMA na kugombea urais kwa tiketi ya CHADEMA. Pia Sumaye kwa upande mwingine, akishindwa huko CCM, atajiunga CHADEMA na kugombea urais au ataiunga mkono CHADEMA.
Haijalishi nini kitatokea CCM, lakini msimamo wa wananchi waliochoshwa na CCM na Wanachadema ni mmoja tu. Hakuna kushiriki meza moja na mafisadi!
Hii ni tahadhari kwa hao kina Lowassa na uongozi wa CHADEMA!
CHADEMA iandae uongozi thabiti wa kushika dola, kwani 2015 wananchi wamejipanga. Hakuna politics!

Mkuu ..kuna watu tupo serious sana kwenye issues...Tuliyaona haya yote ..tukasema kwa uwazi kabisa.leo hii yametimia kwa asilimia 100.Mkuu Homa ya Uti wa Mgongo, Meningitis, kwa bandiko hili la Jan 4, 1914, nakuvulia kofia!. Umetisha, uliona mbali, ukatoa angalizo kuhusu watu hawa!. Kumbe uliokuwa unawapa angalizo, uwezo wa uoni wao ni hadi mwisho tuu wa pua zao!. Wakawakumbatia, wananchi wakawatosa, sasa 2020 Chadema inakwenda kuvuna ilichopanda.
P
Kuna vijana wa Mwenyekiti Mbowe kina Salary Slip, Chakaza, Molemo, ArushaOne, Mkwepa Kodi, Technically, Erythrocyte na wenzao huwezi kuwaambia chochote wakakuelewaMzee walikutukana sana na mimi nikaamua kutulia sana
Mkuu Homa ya Uti wa Mgongo, Meningitis, kwa bandiko hili la Jan 4, 1914, nakuvulia kofia!. Umetisha, uliona mbali, ukatoa angalizo kuhusu watu hawa!. Kumbe uliokuwa unawapa angalizo, uwezo wa uoni wao ni hadi mwisho tuu wa pua zao!. Wakawakumbatia, wananchi wakawatosa, sasa 2020 Chadema inakwenda kuvuna ilichopanda.
P
Kiukweli Chadema ni sikio la kufa.Mkuu ..kuna watu tupo serious sana kwenye issues...Tuliyaona haya yote ..tukasema kwa uwazi kabisa.leo hii yametimia kwa asilimia 100.
Niliwaonya wahusika wote bila kupepesa macho.
Wachache walinielewa...
Naamini naweza kuingia kwenye orodha ya mitume na watabiri.
2020 Ipo karibu sana na nisisikie mtu akilia eti Chadema watahujumiwa!Ushindi mzito kwa CCM zaidi ya asilimia 99 ni jambo lililowazi na nililitabiri katika thread hii.
uliona mbali sana mkuuToka Januari 2014 nilijua Lowassa na Sumaye watahamia Chadema ...nilijua nia hii nikawaasa wanachadema ila kama alivyo kenge huwa hasikii mkwaju hadi damu zimtoke masikioni.