Lowassa na Sumaye hamna nafasi CHADEMA

Lowassa na Sumaye hamna nafasi CHADEMA

We utakuwa Lusinde wewe yaani unatuletea mambo instagram huku.? Zero brain.
 
Thread zingine ukizisoma unabaki kucheka!

Kinachoshangaza zaidi, majina ya waliotoa comment pamoja na mleta thread kwa sasa yamepotea hapa Jamiiforums! Wamezaliwa upya na ID mpya!
rudisheni bilion 10 za lowassa vita ya kuuza chama haijawahi kumuacha mbowe salama
 
Chichiem ni mashetani lakini upinzani unatia kinyaa!!


Kaka suma m'mesomeshwa na kodi za wonyenge,tukidai haki zetu mnataka tuziombe ..?

"Wanyonge wakichoka wanageuka waasi bila wasiwasi"
 
Mkuu,

Ninashukuru upo na unaendelea na msimamo wako!

Ninadhani kwa sasa umekuwa mwanaCHADEMA mfu au umeachana na CHADEMA!
Siasa za uongo na ghiliba hazitakiwi....Kuongoza nchi hakuhitaji usanii.

Majukumu ya kuongoza nchi ni mazito sana.

Chukulia mfano wa situation kama za kupambana na akina Acacia halafu ukute tumeweka fisadi pale Ikulu...!!??
 
Back
Top Bottom