Lowassa na kauli za kilaghai

Lowassa na kauli za kilaghai

navy boi

JF-Expert Member
Joined
Mar 15, 2014
Posts
1,520
Reaction score
482
LOWASA NA KAULI ZA KILAGHAI:

Mgombea wa urais, Lowasa amezidi kuwahadaa Watanzania kwa kauli zake za kilaghai.Hususani anaposema,

Anachukia umasikini na huchukii rushwa sasa ataondoaje umasikini huo?

Anasema anachukia umasikini wala haoneshi kuwa na mipango yoyote ya kiuchumi na kimkakati ya kuiondoa Tanzania kwenye umasikini.

Anachukia umasikini wala haoneshi kama anawachukia marafiki zako wengi wakwepa kodi na wengi wapigaji wanajulikana kwa majina, atauondoaje huo umasikini?

Anachukia umasikini nusu ya Umri wa Maisha yake ameishi Ostabay , juzi tu ndo amepanda daladala kuigiza na ndo ameenda Mbagala ambayo sisi haya ndo maisha yetu,

Na akiwa Ostabay nusu ya marafiki zako ni matajiri tu , Siku zote ndani ya magari ya tinted majirani tajiri , marafiki tajiri anachukia umasikini vipi kama sio ulaghai.

Kama kweli anauchukia umasikini alipo kuwa kiongozi alifanya initiative gani kuiondoa Tanzania kwenye umasikini zaidi ya kushiriki, kuharibu na kuchukua hata vile vidogo ambavyo vingewasaidia watanzania.

Kama anachukia umasikini kule nyumbani Monduli pamoja na utajiri alio nao amewasaidiaje vijana? tuanze kumpima hapo kama kweli kwa sababu sharing is caring and charity begun at home, Maisha ya Monduli ni magumu kupindukia na vijana wanakimbilia Dar es Salaam wakati yeye tajiri!!! Hata kiwanda cha kusindika maziwa ameshindwa kujenga kule Monduli,kama sio ulaghai ndo ataweza kuondoa umasikini!

MTU ambaye ni sehem ya umasikini huu tena kwa kiwango cha juu kabisa anapokuja na nyimbo nzuri kama hizo muda kama huu , atazamwe kwa macho makali usoni , sura na anacho kizungumza mdomoni ni vitu viwili tofauti.

Tafakari kwa Sauti!!!!
 
Akiwa waziri magufuli alihonga nyumba za serikali. Sasa akiwa rais atahonga nn?
Kumbuka rais wa awamu ya tatu alihonga wizara ya fedha kwa ajili ya dili la mwanamke.
Rais wa awamu ya nne alikuwa anahonga wilaya na mikoa.
Ccm inanuka uchafu haisafishiki. Magufuli ni dodoki chafu
 
Ndo maana hawezi kukaa mikoani, kila akienda anakumbuka maisha ya hanasa mjini anaamu kurudi dar, hawezi kutusaidia sisi wa chini hata kwa miaka 20, hawezi. Amezidiwa na akina Mkono,Dewji na Abood, wamesaidia sana kwao tena kwa kutoa pesa zao mifukoni wakati mwingine na wote wakiwa CCM, huyu Lowassa ni mpigaji, yeye anajua kupiga tu.
 
Wiki mbili zilizopita nilikuwa Monduli, kiukweli hali ni mbaya sana kupita maelezo yaani wananchi huduma kijamii hawana kabisa. Monduli unafuu unaletwa kidogo na huduma zitolewazo na chuo kikuu cha kijeshi cha TMA. Monduli watu hawana vyoo wanawategemea punda kula vinyesi vyao yaani kwa mmasai bora umuibie ng'ombe kuliko punda.
Tatizo la waTanzania hatuna exposure kwahiyo kudanganywa ni rahisi sana. Lowasa amekuwa mbunge wa monduli toka 1985 mpaka sasa ni miaka 30 afu mtu huyohuyo anasema CCM haijafanya chochote wakati yeye kazeekea humohumo.



Magufuli sasa.
Magufuli amekuwa mbunge wa chato kwa miaka 20 sasa lakini aliyoyafanya ni makubwa mno mpaka watu wanalalamika kuwa anakupendelea chato.
Chato kuna kila kitu barabara nzuri, maji, mpaka traffic light.
Ni ujinga kuwapambanisha lowasa na magufuli labda kwa utajiri wa ufisadi.


Asanteni
 
LOWASA NA KAULI ZA KILAGHAI:

Mgombea wa urais, Lowasa amezidi kuwahadaa Watanzania kwa kauli zake za kilaghai.Hususani anaposema,

Anachukia umasikini na huchukii rushwa sasa ataondoaje umasikini huo?

Anasema anachukia umasikini wala haoneshi kuwa na mipango yoyote ya kiuchumi na kimkakati ya kuiondoa Tanzania kwenye umasikini.

Anachukia umasikini wala haoneshi kama anawachukia marafiki zako wengi wakwepa kodi na wengi wapigaji wanajulikana kwa majina, atauondoaje huo umasikini?

Anachukia umasikini nusu ya Umri wa Maisha yake ameishi Ostabay , juzi tu ndo amepanda daladala kuigiza na ndo ameenda Mbagala ambayo sisi haya ndo maisha yetu,

Na akiwa Ostabay nusu ya marafiki zako ni matajiri tu , Siku zote ndani ya magari ya tinted majirani tajiri , marafiki tajiri anachukia umasikini vipi kama sio ulaghai.

Kama kweli anauchukia umasikini alipo kuwa kiongozi alifanya initiative gani kuiondoa Tanzania kwenye umasikini zaidi ya kushiriki, kuharibu na kuchukua hata vile vidogo ambavyo vingewasaidia watanzania.

Kama anachukia umasikini kule nyumbani Monduli pamoja na utajiri alio nao amewasaidiaje vijana? tuanze kumpima hapo kama kweli kwa sababu sharing is caring and charity begun at home, Maisha ya Monduli ni magumu kupindukia na vijana wanakimbilia Dar es Salaam wakati yeye tajiri!!! Hata kiwanda cha kusindika maziwa ameshindwa kujenga kule Monduli,kama sio ulaghai ndo ataweza kuondoa umasikini!

MTU ambaye ni sehem ya umasikini huu tena kwa kiwango cha juu kabisa anapokuja na nyimbo nzuri kama hizo muda kama huu , atazamwe kwa macho makali usoni , sura na anacho kizungumza mdomoni ni vitu viwili tofauti.

Tafakari kwa Sauti!!!!
anauchukia umaskini ndo maana alikaa
osyerbay na sio manzese,hivi magufuli anavyo sema serikali ya magufuli itakuwa ya viwanda wakati umeme hata wakuwasha mafriji ya soda ni shida hivyo viwanda vitaendeshwa kwa mishumaaa?
 
Lowassa hana ubavu wakuutoa umaskini. Ulimshinda jimboni kwake ndio ataweza Tanzania.
Hoja yako inakwenda sambamba na maelezo ya Bw. Rungwe kwa kuuliza katika mojawapo ya mikutano yake kuwa ni sehemu gani watu wanatembea nusu uchi na kuvaa viatu vya matairi ya gari wakati EL anawaaminisha watu atawaondolea umasikini!
 
LOWASA NA KAULI ZA KILAGHAI:

Mgombea wa urais, Lowasa amezidi kuwahadaa Watanzania kwa kauli zake za kilaghai.Hususani anaposema,

Anachukia umasikini na huchukii rushwa sasa ataondoaje umasikini huo?

Anasema anachukia umasikini wala haoneshi kuwa na mipango yoyote ya kiuchumi na kimkakati ya kuiondoa Tanzania kwenye umasikini.

Anachukia umasikini wala haoneshi kama anawachukia marafiki zako wengi wakwepa kodi na wengi wapigaji wanajulikana kwa majina, atauondoaje huo umasikini?

Anachukia umasikini nusu ya Umri wa Maisha yake ameishi Ostabay , juzi tu ndo amepanda daladala kuigiza na ndo ameenda Mbagala ambayo sisi haya ndo maisha yetu,

Na akiwa Ostabay nusu ya marafiki zako ni matajiri tu , Siku zote ndani ya magari ya tinted majirani tajiri , marafiki tajiri anachukia umasikini vipi kama sio ulaghai.

Kama kweli anauchukia umasikini alipo kuwa kiongozi alifanya initiative gani kuiondoa Tanzania kwenye umasikini zaidi ya kushiriki, kuharibu na kuchukua hata vile vidogo ambavyo vingewasaidia watanzania.

Kama anachukia umasikini kule nyumbani Monduli pamoja na utajiri alio nao amewasaidiaje vijana? tuanze kumpima hapo kama kweli kwa sababu sharing is caring and charity begun at home, Maisha ya Monduli ni magumu kupindukia na vijana wanakimbilia Dar es Salaam wakati yeye tajiri!!! Hata kiwanda cha kusindika maziwa ameshindwa kujenga kule Monduli,kama sio ulaghai ndo ataweza kuondoa umasikini!

MTU ambaye ni sehem ya umasikini huu tena kwa kiwango cha juu kabisa anapokuja na nyimbo nzuri kama hizo muda kama huu , atazamwe kwa macho makali usoni , sura na anacho kizungumza mdomoni ni vitu viwili tofauti.

Tafakari kwa Sauti!!!!

Lowasa ni mgonjwa na isitoshe hana lolote jipya kwetu sisi.
 
Wiki mbili zilizopita nilikuwa Monduli, kiukweli hali ni mbaya sana kupita maelezo yaani wananchi huduma kijamii hawana kabisa. Monduli unafuu unaletwa kidogo na huduma zitolewazo na chuo kikuu cha kijeshi cha TMA. Monduli watu hawana vyoo wanawategemea punda kula vinyesi vyao yaani kwa mmasai bora umuibie ng'ombe kuliko punda.
Tatizo la waTanzania hatuna exposure kwahiyo kudanganywa ni rahisi sana. Lowasa amekuwa mbunge wa monduli toka 1985 mpaka sasa ni miaka 30 afu mtu huyohuyo anasema CCM haijafanya chochote wakati yeye kazeekea humohumo.



Magufuli sasa.
Magufuli amekuwa mbunge wa chato kwa miaka 20 sasa lakini aliyoyafanya ni makubwa mno mpaka watu wanalalamika kuwa anakupendelea chato.
Chato kuna kila kitu barabara nzuri, maji, mpaka traffic light.
Ni ujinga kuwapambanisha lowasa na magufuli labda kwa utajiri wa ufisadi.


Asanteni

Kama n kweli kiongozi maana monduli sijafika basi mawazo yangu kuwa lowassa bado sana
 
Anataka bodaboda, mama ntilie na wamachinge waongezeke.. maana atawapa kipaumbele akiwa Rais!!
 
Kati ya kauli inayonikera ni ati ataanzisha benki ya wenye bodaboda na mama lishe, je wakulima sio marafiki zake ambao ni 80% ya wa Tanzania?
 
Mtasema sana mwaka huu kutetea unga wenu lakini hamtaweza
 
Mm nilikua ukawa by that time but kwa sasa nimebadili mwuelekeo pale tu nilipockia kua lowasa amejiunga na chadema, wapo wapi wale wabunge machachari kama vile Mdee,Mnyika,Nasari, Lissu na wengine kibao nilikuwakubali sana kwani wao ndio walikua wakimchafua lowasa kwa ufisadi kwani hao ndio waliosababisha ccm wasimchague lowasa kugombea Uraisi hajabu leo cjawackia wakimsema tena badala yake wanamsafisha, kwa hili nimeamini kua siasa ni mchezo mchafu.
 
Back
Top Bottom