mgen
JF-Expert Member
- Nov 18, 2010
- 23,254
- 9,168
Zabibu iliyooza tukaitema?
Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?
Eti nimeitema zabibu...teh teh teh!
Zabibu iliyooza tukaitema?
Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?
sijamtaja Lowassa unaweweseka. subiri kaafir aingie ikulu!Ohoooo, kwani ni mara ya kwanza? Nyerere alikuwa nani? Mkapa jee?
Hilo wala lisikutishe, kwa kifupi, Lowasa hatotawala na utaniambia?
Khaa mgonjwa? mnhh!! Ni punguani tu ataempigia kura.