Wakati kuna madai yazungukayo hapa jamvini kuwa Kutakuwa na kazi ya kumsafisha Lowassa ktk Uchaguzi ujao wa CCM, inaonekana hiyo Shuhuli imeanza hapa JF na huenda ikapevukia hapa.
Wadau Pumba na Mchele vikeshatengana/tenganishwa si Mpunga tena! (Havifai tena kuwa Mbegu) na huwezi ukazivalisha Pumba katika Mchele virudi kuwa Mpunga, na hivyo ndivyo itakavyobakia kwa Lowassa Anaweza tu kuamua ni lipi bara kwake kati ya Mchele au Pumba, Nafasi ya Mpunga ameshapoteza. Kwa hiyo EL hasafishiki si hapa JF wala CCM. Mmoja wetu alisema hapa"Kisiasa EL ni Maiti amevaa Sanda, anachosubiri ni Kaburi"
Kwa hiyo huo Mtandao Unaotegemewa kuonyesha Maajabu msiuendekezeeeeeeeeeeeeeeeeeee!!!!
They can fool some people some time, But they cant fool all the people all the TIME.
Wadau Pumba na Mchele vikeshatengana/tenganishwa si Mpunga tena! (Havifai tena kuwa Mbegu) na huwezi ukazivalisha Pumba katika Mchele virudi kuwa Mpunga, na hivyo ndivyo itakavyobakia kwa Lowassa Anaweza tu kuamua ni lipi bara kwake kati ya Mchele au Pumba, Nafasi ya Mpunga ameshapoteza. Kwa hiyo EL hasafishiki si hapa JF wala CCM. Mmoja wetu alisema hapa"Kisiasa EL ni Maiti amevaa Sanda, anachosubiri ni Kaburi"
Kwa hiyo huo Mtandao Unaotegemewa kuonyesha Maajabu msiuendekezeeeeeeeeeeeeeeeeeee!!!!
They can fool some people some time, But they cant fool all the people all the TIME.