OgwaluMapesa
JF-Expert Member
- May 24, 2008
- 10,942
- 437
- Thread starter
- #61
hotel ni kitega uchumi cha kanisa!ni chanzo cha mapato.mkopo ndio uliotumika katika ujenzi wa jengo la hotel!
mfano mwingine ni safari hotel ya arusha! inasemekana inafanya vizuri sana!
mkuu wala hukuwa na haja yakumweleza manake hata ukimweleza haimsaidii coz wanachojuw ni kufuga ndevu tu