Lowassa mbioni kuinusuru Hoteli ya KKT, Corridor Spring

Lowassa mbioni kuinusuru Hoteli ya KKT, Corridor Spring

Pesa ya kujenga hoteli watoe waumini (na zilipatikana pesa za kutosha floor 6), njama ya kukopa aianzishe yeye na askofu Rafiki yake, wale wao pesa iliyokopwa leo hii mtu huyo huyo eti anashangiliwa kuwa kaiokoa hoteli isiuzwe!!! Kweli aliewaloga Watanzania kafa!

Mnamshangilia mwizi???!!!!!???
Hapo umepigilia msumari penyewe. Eti , huyu mwizi ana huruma! Kama watu wamekosa cha kusema wakae kimya.
 
Wazili mkuu aliefukuzwa kwa kashfa ya kuuibia nji milion156 kwa siku, nae sasa amekua na huruma
Mkuu umeongea ila acha asaidie arudishe rudishe alizoba ila urais simpi ng'ooo labda wengine


Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
 
bravo lowasa,, uwezo unao, ushawishi unao, mafanikio nakuombea na washirika wa Arusha
 
Maybe atakuwa mkenya, Dayosisi ya arusha nayo, mlikosa mtanzania kuwa katibu mkuu hadi awe mkenya? hata kama si mkenya, mkakosa meneja wa hotel mtanzania hadi mkaweka mkenya jamani, wakenya hawatupendi, sisi sasa lol!


Karyongi halifanani na jina la Kitanzania, siyo mkenya huyu???
 
Tunawatakia heri katika kazi hiyo.
Pamoja na kuitumikia ccm, BAKWATA haina hata ka mgahawa licha ya hotel,hospital,university!halafu bado hao hao waislam wanaishabikia ccm, huku social development zero
 
Ni swala jema ila sisi waluteri ninapata shida pale ambapo tuna miliki mashule. Hospitals. Vyuo ila waumini wa hali ya chini ambao ni wachangiaji wakubwa wa maendeleo hawapati ile direct impact mf. Shule ya agape seminary Mtoto wa muumini wa maisha ya kawaida hawezi SOMA pale mfano mwingine tuition fee ya chuo chetu Tumain IPO juu compare with St agst ya mwanza ambacho ni cha kanisa pia so kwa mawazo yangu lazima tuliangalie kwa upande wa pili. Kwa niliyemkwaza sorry.
 
Pamoja na kuitumikia ccm, BAKWATA haina hata ka mgahawa licha ya hotel,hospital,university!halafu bado hao hao waislam wanaishabikia ccm, huku social development zero

nilifikir una akili kumbe unatumia makamasi kufikiria,pole sna mdini mkubwa ww
 
Mi nafikiri ya kwmb kuna njama wanafanya hao majangili. Hiyo hoteli inawasaidia vipi waumini?

Mi ni Mlutheri ila sina faida na hotel ile wa Selian hosptal.
 
_38897337_minister.jpg
Huyu anatafutwa kama kafichwa hapo Hotelini semeni
 
Hiyo hoteli inafaida gani kwa waumini? Na je waimini walishwa elezwa hizo pesa zilizo kopwa zilitumikaje? Na je wakati wa kukopa waumini walishilikiswa?

Thanx alot umenipa starter wakati mwingne huwa natamani hata kujua faida itokanayo ma mavyuo makuu ya tumaini, makumira sjui na yote inaenda wappi? dar wana hotel pia lakn kitu kidogo tu waumini wanachangishwa? sibezi hatua ya Presdent to be kukomboa ila hili jambo inabid viongoz wetu wa kiluteli waliangalie na ikibidi kila sharika wakatolee ufafanuzi.
 
Hiyo hoteli inafaida gani kwa waumini? Na je waimini walishwa elezwa hizo pesa zilizo kopwa zilitumikaje? Na je wakati wa kukopa waumini walishilikiswa?
hotel ni kitega uchumi cha kanisa!ni chanzo cha mapato.mkopo ndio uliotumika katika ujenzi wa jengo la hotel!

mfano mwingine ni safari hotel ya arusha! inasemekana inafanya vizuri sana!
 
Back
Top Bottom