OgwaluMapesa
JF-Expert Member
- May 24, 2008
- 10,942
- 437
Wana bodi!!
Hatimaye lile jembe la kaskazini Waziri mkuu mstaafu na mbunge wa Monduli mh. Edward Lowassa aingilia kati mgogoro wa hotel ya KKKT corridor spring isiuzwe.
Hili limejitokeza baada ya hotel hiyo kukopa fedha katika benki ya CRDB na kushindwa kulipa,ina sadikika hotel hiyo miaka ya nyuma ilichukua kiasi kikubwa cha hela na kushindwa kurudisha na kupelekea deni kufikia zaidi ya bilioni moja.
Jana mh. Lowassa alifnya kikao kikubwa na wafanyabiashara wakubwa kuhakikisha wanainusuru hoteli hiyo ambayo iko mbioni kuuzwa.
Katika kikao hicho ambacho kiliongozwa na mh. Lowassa walikubaliana watafanya harambee kubwa ya kufunga mwaka ambayo itakuwa ya kihistoria lengo ni kuhakikisha fedha hizo zinapatikana kuhakikisha hoteli inarudi mikononi mwa KKKT jimbo la Arusha.
Wakazi wa Arusha wamepokea kwa shangwe kubwa na kumpongeza kwa nguvu zote mh Edward Lowassa,wakazi hao wa Arusha hatimaye wamefikia maamuzi ya kutenga siku kwaajili ya kumwombea mbunge wa Monduli ili Mungu aendelee kumpa moyo wa huruma.
Wakaz hao wanasema walishakata tamaa na hawakuwa tena na matumaini kama hoteli ingebaki tena mikononi mwa KKKT.
Wanasema kiasi cha fedha ambacho hotel hiyo ilikuwa ikidaiwa kutokna na mkpo walio chukuwa hakuna mtu mwingine ambaye angeweza kuinusuru hoteli zaidi ya Lowassa kwani amekuwa na ushawishi mkubwa sana wa kushawishi wafanyabishara wakubwa kuchangia michango mbali mbali ya kimaendeleo.
Hatimaye lile jembe la kaskazini Waziri mkuu mstaafu na mbunge wa Monduli mh. Edward Lowassa aingilia kati mgogoro wa hotel ya KKKT corridor spring isiuzwe.
Hili limejitokeza baada ya hotel hiyo kukopa fedha katika benki ya CRDB na kushindwa kulipa,ina sadikika hotel hiyo miaka ya nyuma ilichukua kiasi kikubwa cha hela na kushindwa kurudisha na kupelekea deni kufikia zaidi ya bilioni moja.
Jana mh. Lowassa alifnya kikao kikubwa na wafanyabiashara wakubwa kuhakikisha wanainusuru hoteli hiyo ambayo iko mbioni kuuzwa.
Katika kikao hicho ambacho kiliongozwa na mh. Lowassa walikubaliana watafanya harambee kubwa ya kufunga mwaka ambayo itakuwa ya kihistoria lengo ni kuhakikisha fedha hizo zinapatikana kuhakikisha hoteli inarudi mikononi mwa KKKT jimbo la Arusha.
Wakazi wa Arusha wamepokea kwa shangwe kubwa na kumpongeza kwa nguvu zote mh Edward Lowassa,wakazi hao wa Arusha hatimaye wamefikia maamuzi ya kutenga siku kwaajili ya kumwombea mbunge wa Monduli ili Mungu aendelee kumpa moyo wa huruma.
Wakaz hao wanasema walishakata tamaa na hawakuwa tena na matumaini kama hoteli ingebaki tena mikononi mwa KKKT.
Wanasema kiasi cha fedha ambacho hotel hiyo ilikuwa ikidaiwa kutokna na mkpo walio chukuwa hakuna mtu mwingine ambaye angeweza kuinusuru hoteli zaidi ya Lowassa kwani amekuwa na ushawishi mkubwa sana wa kushawishi wafanyabishara wakubwa kuchangia michango mbali mbali ya kimaendeleo.