kipara kipya
JF-Expert Member
- May 2, 2016
- 14,128
- 16,099
Tumewasikia wanachama hawa wa chadema kwa nyakati tofauti wakiungama mbele ya wananchi wao waliowaamini kipindi hicho cha nyuma wakiwa wabunge kuwa walikuwa wakiiba kura na kusahau kuwa kuna watu hawakulala na kuhamasisha watu na wanachama kuwapigia kura,maneno yao yanaonyesha ni jinsi gani walivyokosa hekima na busara katika matamshi yao,
Tunajua ukiwa upinzani unaweza kujitoa ufaahamu ukasema lolote.
Kwa maneno yao hayo ni dhahiri watu hawa kesho wakarudi na maneno mengine ndani ya upinzani,
tulitegemea watu watazungumzia sera na jinsi gani watawaletea maendeleo ambayo ccm imeshindwa kuwaletea ndani ya nusu karne waliyotawala.
Lakini tayari wameshawakatisha tamaa kuwa hata wakipiga kura wataibiwa tu, watu hawa ni wa kulaaniwa kama walishiriki kwenye mchezo mchafu kama huo na kutukosesha maendeleo kwa kuwa walikuwa wanazuia nafasi kwa wizi na waliendelea kula mishahara na posho ili wakijua hawakupaswa kuwa kwenye zile nafasi ndio maana nchi haikuendelea kwa kuwa waling'ang'ania nafasi wasizo na uwezo nao,
Wa kuwasihi wananchi kuwaogopa watu hawa wenye unafiki wa siasa,hawakuwajali waahiri wao wa kujua kuwa watarudi kwa wizi wao na wakati pia wa kutueleza walitumia mbinu gani kuiba kura,
Hii ni dalili kuwa hata wakishindwa iwe rahisi kuwazuga wanachama wao na kusahau kuwa wameshindwa kutangaza sera madhubuti za kuwakomboa wananchi kimaendeleo!
Ni wakati wa kuwakataa wanafiki na kuwalaani
Kampeni zinaendelea
Safarini zimbabwe!
Tunajua ukiwa upinzani unaweza kujitoa ufaahamu ukasema lolote.
Kwa maneno yao hayo ni dhahiri watu hawa kesho wakarudi na maneno mengine ndani ya upinzani,
tulitegemea watu watazungumzia sera na jinsi gani watawaletea maendeleo ambayo ccm imeshindwa kuwaletea ndani ya nusu karne waliyotawala.
Lakini tayari wameshawakatisha tamaa kuwa hata wakipiga kura wataibiwa tu, watu hawa ni wa kulaaniwa kama walishiriki kwenye mchezo mchafu kama huo na kutukosesha maendeleo kwa kuwa walikuwa wanazuia nafasi kwa wizi na waliendelea kula mishahara na posho ili wakijua hawakupaswa kuwa kwenye zile nafasi ndio maana nchi haikuendelea kwa kuwa waling'ang'ania nafasi wasizo na uwezo nao,
Wa kuwasihi wananchi kuwaogopa watu hawa wenye unafiki wa siasa,hawakuwajali waahiri wao wa kujua kuwa watarudi kwa wizi wao na wakati pia wa kutueleza walitumia mbinu gani kuiba kura,
Hii ni dalili kuwa hata wakishindwa iwe rahisi kuwazuga wanachama wao na kusahau kuwa wameshindwa kutangaza sera madhubuti za kuwakomboa wananchi kimaendeleo!
Ni wakati wa kuwakataa wanafiki na kuwalaani
Kampeni zinaendelea
Safarini zimbabwe!