monges
JF-Expert Member
- Mar 2, 2015
- 1,040
- 392
Hana jipya, yeye akamchukue Balali amrejeshe bongo, hilo ndo litakuwa jambo jipya TZ na duniani kote, haya mengine ni blabla tu za kushindwa urais, na kama anaamini kuwa ccm wamemfanyia hila, swali langu kwake na wapambe wake kuwa, hata Dr.Slaa pia aliwahi kusema kuwa kashinda wakati huo, je kwa uchungu alonao leo, ni kwa nn hakuutumia wakati huo, ili atangazwe Dr.Slaa kuwa alishinda? hiyo ni alikili ndogo kutawala akili kubwa. (Mkuki kwa nguruwwa co)