Leak
Platinum Member
- Feb 22, 2012
- 52,939
- 43,569
Unajua wapinzani muda mwingine huwa hawafikirii kabisa...hivi tamko la Lowasa litasaidia nini? Kama uchaguzi bara ulishafanyika na Rais tunaye na kama ni zanzibar uchaguzi umeshapangwa kufanyika mwakani!
Hayo matamko hayato saidia lolote kama wanampango wakugomea uchaguzi wanapoteza muda maana uchaguzi utaendelea kama kawaida....
Hayo matamko hayato saidia lolote kama wanampango wakugomea uchaguzi wanapoteza muda maana uchaguzi utaendelea kama kawaida....