hmagati014
Member
- Jul 29, 2014
- 21
- 2
#Ruttashobolwa nakuomba km hujui au km hujawah kusoma ktba ya znz pls utafute na uisome >>>>Jamani tuacheni imani zetu za vyama na turudi ktk sheria na ktba
Lubuva katuumiza wana mabadiliko,,,Lowassaaaaa Mabadilikoooo,Mabadilikoooo Lowassaaaaaaa.
Bora ukweli uwekwe hadarani maana tukikaa kimya, 2020 tena mtarudia huu ujinga wenu hivyo ni busara kusema kuliko kukaa kimya.Ata akizungumza haitasaidia kitu.
Nibora akatulia na familia yake tu.
Atawazungumzia waliojaribu ku-hack mitambo ya NEC??
aiseeeee huyo presidaaa ataongea saa ngap na mda gan heb m2update
ongea rais nikusikie maana nna uchungu mno
Zaidi ya nusu ya wabunge wa ccm hawakushinda kihalali .Mtatoa matamko sana na ukweli mnaujua kuwa mmeshindwa tu. We una wabunge 35 kati ya 265 utapataje urais! ungeunda serikali ya mseto or? mambo mangine muwe na aibu kidogo mtu mzima akivuliwa nguo huchuchumaa, heri mjadili hali ya kisiasa ya Zanzibar kuliko kudanganya nyumbu wenu na kuwapa matumaini hewa.
Wewe hujakumbukwa viti maalum ?Lowassa mzee wa series...hii ni season two😅😅😅