Lowassa leo kuibua mazito

Lowassa leo kuibua mazito

Status
Not open for further replies.
Salary Slip ungemaliza tu story wengine simu zetu tunazifahamu wenyewe.
Ukisoma hiyo habari inaeleza kuwa Lowassa anakusudia kueleza jinsi kura zilivyoibiwa na pia wanakusudia kueleza juu ya kuporwa ushindi huko Zanzibar na kueleza ni nini kitafuata.Maelezo ni mengi kwakweli.
 
Last edited by a moderator:
Yaaani mpaka leo bado mnawaza uchaguzi wa October 25? Heee kwani kashindwa kwenda kuchunga ng'ombe? Ikulu ilishapata mkaaji na kazi yake tumeshaanza kuiona.
 
Yaaani mpaka leo bado mnawaza uchaguzi wa October 25? Heee kwani kashindwa kwenda kuchunga ng'ombe? Ikulu ilishapata mkaaji na kazi yake tumeshaanza kuiona.
Haijalishi,ukweli lazima uwekwe wazi.
 
Atamke tu kustaafu siasa kwani aspirations za urais ndo hivo tena sasa ni HAPA KAZI TU.
 
Yaani Usidai Nyumba
yako kisa imeshauzwa kwa hila Na
tayari kuna mtu ndani siyooo?
Haki hudaiwa !!!? Hajalish!?
 
Mazito atayatoa wapi au anataka atubu dhambi zake za ufisadi na kurejesha pesa zetu alizoiba?
 
mambo anayotaka kuyaongelea mbona mengi sana ,mambo yote hayo yatatosha kwa dakika mbili au mengine tutasoma kwenye internet.

Au atasaidiwa kuongea na Kingunge na Sumaye.
 
Wenzenu leo wanajipanga kuaanda spika atawaendasha pamaoja nanyi wapinzani ktk bunge mkekalia kutoa Tamko ambola halitabadili riasi wa jamhuri wa muungano
Ni bora mgetoa tamko la mchango mpate kuoigania kiti cha uspika kuliko hayo yaliyokwisha pita
 
Lowassa alishapita,

Chadema imepata viti vingi vya ubunge, ruzuku zitaongezeka.

Tunasubiri falsafa mpya ya chama sasa, maana ya ufisadi imekufa rasmi.
 
Huyu Mh. Lowasa atakuwa amefanya jambo la uhakika kama atatoa mchanganuo wa kura zake 10,268,795 anazodai alipata kwa kuonyesha kura kwa kila jimbo. Pia kwa vile anadai hizo kura ni 60% ya kura halali ina maana kura zote halali zilikuwa 16,562,573. Tume imeonyesha kuwa kura halali zilikuwa 15,193,862. Mh. Lowasa atafanya la maana sana kama atatueleza hiyo tofauti ya kura 1,368,711 imeenda wapi au ilifichwa wapi isionekane katika idadi ya wapiga kura za urais wala za ubunge nchi nzima. Akishindwa kuonyesha hayo na akaendelea kuhadithis ngonjera zake "nimeibiwa" bila ushahidi wa data atakuwa anaendelea kujidhalilisha na wenye akili wote wataendelea kumpuuza.
 
Tunamsubiri waziri mkuu alhamisi pamoja na spika Wa bunge. Single ya Lowasa inabamba machungani Monduli huko
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom