Lowassa kusulubiwa vikali kwenye mdahalo

Lowassa kusulubiwa vikali kwenye mdahalo

assadsyria3

JF-Expert Member
Joined
Apr 9, 2013
Posts
6,909
Reaction score
4,057
Soon zitaanza kwa wagombea mbalimbali wa urais.

Imagine Lowassa kwenye mdahalo huku anatetemeka na akipewa maswali magumu itakuwa hatari. Magufuli, Mamana Mughwira wako vizuri

Option
Kukimbia debates zote au kutuma mwalilishi like Mbowe,Mbatia ama Lissu.

Sema ukweli hata kama unauma.
 
tumezoea ccm wanakimbia midahalo mwaka huu cjui nan atakimbia
 
Kushiriki mdahalo hakuna uhusiano moja kwa moja na uwezo wako wa kutekeleza unayoyaahidi,kumbuka kuongea ni talent,na si ya kila mtu!,KUMBUKA DAVID CAMERON WA WINGEREZA ALIKIMBIA MDAHALO UCHAGUZI ULIOPITA NS BADO ALIPITA KWA KISHINDO!.
 
hahaaaa......lowasa ni maarufu sanaa.....kila mahal anatajwaaa....
 
Kushiriki mdahalo hakuna uhusiano moja kwa moja na uwezo wako wa kutekeleza unayoyaahidi,kumbuka kuongea ni talent,na si ya kila mtu!,KUMBUKA DAVID CAMERON WA WINGEREZA ALIKIMBIA MDAHALO UCHAGUZI ULIOPITA NS BADO ALIPITA KWA KISHINDO!.


David hakukimbia mdahalo halafu David ni mtu mzoefu wa debate
 
Mbase1970 suala ni kutokuwepo kwenye debate!,aidha alikimbia au kuarisha ni maneno tu hayo,ishu ni kwamba hakuonekana ktk mdahalo!!.
 
Last edited by a moderator:
Ukiona mwanasiasi anaonge sana jus kuwa sio mtekerezaji wa mambo wanasiasa wasio na maneno kuwa ni wasimamiaji wazuri sana wa mambo hata baba anayesema sana na kujifanya mkali uwa sio muemeaji
 
Ukiona mtu anaongea sana,ujue mwisho atakutapeli,au atakupiga mzinga
 
Ukiona mwanasiasi anaonge sana jus kuwa sio mtekerezaji wa mambo wanasiasa wasio na maneno kuwa ni wasimamiaji wazuri sana wa mambo hata baba anayesema sana na kujifanya mkali uwa sio muemeaji
Kwani Tangu lini Lowasa ametekeleza jambo lolote zaidi ya zile ishu za ufisadi na Rushwa sema kama kunakingine katekeleza zaidi ya huo ufisadi.
 
soon zitaanza kwa wagombea mbalimbali wa uraisi.
imagine mh. lowasa kwenye debate huku anatetemeka na akipewa maswali magumu itakuwa hatari. magufuli, bibi ana mughirwa wako vizuri

option
kukimbia debates zote au kutuma mwalilishi like mbowe,mbatia ama lissu.

sema ukweli hata kama unauma
LOWASSA hana muda mchafu kushiriki vidibeti vyenu! yeye yuko field na wananchi,

Huku mtaaani kila mtu ni LOWASSA! Hakuna namna nyingine!!!!!

Ashiriki debate, asishiriki debate, lazima tumpe kura za kutosha kumwezesha kuwa Rais!!!

LOWASSA! LOWASSA! LOWASSA! LOWASSA! LOWASSA! LOWASSA!

HAKUNA NAMNA NYINGINE TENA!! LAZIMA CCM WAPIGWE TU!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Ukiona mwanasiasi anaonge sana jus kuwa sio mtekerezaji wa mambo wanasiasa wasio na maneno kuwa ni wasimamiaji wazuri sana wa mambo hata baba anayesema sana na kujifanya mkali uwa sio muemeaji

Huo ndio ukweli, anaetoa ahadi nyingi kila anakokwenda, maana yake hana vipaumbele wala uwezo wa kutekeleza, kama huyo anaemalizia muda wake.
 
Lowassa atawapa points zenye nguvu kwa uchache hadi washangae
 
soon zitaanza kwa wagombea mbalimbali wa uraisi.
imagine mh. lowasa kwenye debate huku anatetemeka na akipewa maswali magumu itakuwa hatari. magufuli, bibi ana mughirwa wako vizuri

option
kukimbia debates zote au kutuma mwalilishi like mbowe,mbatia ama lissu.

sema ukweli hata kama unauma

Jk alikimbia debate mwaka 2010 Ina maana leo una msakama?sema tukuweke kwenye kumbukumbu zetu
 
Back
Top Bottom