Konda wa bodaboda
JF-Expert Member
- Jul 18, 2014
- 7,981
- 4,172
Serukamba ambaye kwa sasa anamaliza muhula wake kama Mbunge wa Jimbo la Kigoma Mjini anatarajia kugombea tena ubunge katika jimbo la Kigoma Kaskazini.
Chanzo : Habari Leo
Hapo kwenye red inaonesha serukamba ni mbunge wa sasa wa kigoma kaskazini na kwamba anategemea gombea kwa mara nyingine tena. Kumbe kuna majimbo mawili yanayoitwa kigoma kaskazini, analoongoza serukamba na alilokuwa anaongoza zitto kabwe.