KirilOriginal
JF-Expert Member
- Feb 13, 2012
- 2,161
- 1,147
Eti kuna kitu nimesahau yaani kauli za kuokota okota tu Lowasa hovyo janga la karne.
Na ww lowasa wewe ni nani hadi uanze kujipangia madaraka kabla ya wakati? Ama tayari ushajihakikishia urais ni muda tu wa kuapishwa haujafika
Na ukiwa rais wa hii nchi nakuhakikishia uvunjifu wa sheria utakuwa mkubwa haujawahi kutokea maana utii wa sheria unatoka moyoni kwa wananchi kumpenda rais.
Lowasa hatukupendi unatupumbaza kwa fedha na nawashanga ccm hawana ubavu wa kukunyamazisha.
Na ww lowasa wewe ni nani hadi uanze kujipangia madaraka kabla ya wakati? Ama tayari ushajihakikishia urais ni muda tu wa kuapishwa haujafika
Na ukiwa rais wa hii nchi nakuhakikishia uvunjifu wa sheria utakuwa mkubwa haujawahi kutokea maana utii wa sheria unatoka moyoni kwa wananchi kumpenda rais.
Lowasa hatukupendi unatupumbaza kwa fedha na nawashanga ccm hawana ubavu wa kukunyamazisha.