Kama nilivyosema kwenye thread nyingine inayohusina na swala hili, tunapoteza muda.
Tuelewe, siasa ni uwongo, nani anaebisha?
Tuelewe, kamati ni system, nani enaebisha?
Tuelewe, serikali ni system, nani anaebisha?
Tuelewe, nchi inaendeshwa na system, nani anaebisha?
Tuelewe, vyama vyote vya siasa ni system, nani anaebisha?
Tuelewe, hakuna tutaloweza kufanya kuibadili system, nani anaebisha?
Jee, unaijuwa system ni nini?