Hawawezi kumvua EL,wote wanamwogopa,hata hawawezi kumpa onyo,chezea EDO wewe!!!!!!!!!!!
maamuzi magumu kama hayo labda angekuwepo baba wa Taifa Mwalimu Nyerere,waliopo hakuna mwenye uwezo huoTetesi kutoka chanzo kimoja kilichopo Dodoma katika kikao cha CCM ni kuwa Waziri mkuu huyo wa zamani atafutiwa uanachama na hivyo hatagombea Urais hapo 2015.
Inasemekana awali wajumbe waliomhoji walipendekeza apewe adhabu ya kutokugombea kwa muda wa miezi 18, jambo ambalo lingemfanya kushindwa kugombea katika uchaguzi ujao. Naendelea kufuatilia details nitazileta mapema nikithibitisha maana kikao kilikiwa bado kinaendelea.
CCM wanayo kazi sana...sasa imefikia hapoKama ilivyo Vigumu kwa Chadema kumfukuza Mbowe licha ya Ufujaji wa Pesa za Chama na Mapungufu mengi ndivyo ilivyo vigumu ccm kumfukuza Lowasa Kaa utambuwe Kuwa Yale yote unayoyaona na kuyasikia juu ya Lowasa yote ni kunifanyia Promo tu ili imrahisishie kuingia ikulu kati ya mwaka 2016 au 2017 pindi katiba mpya ikikamilika kwani huenda mwakani 2015 ikawa bado haijakamilika
ccm haiwezi kujivua nguo hivyo kama chadomo
Wakifanya hivyo itakuwa mwisho wa dunia.
hawana ubavu huo, huyo ndio mgombea pekee anaeukubalika..inawezekana wanaomkataa ni wa kundi la membe na sita
maamuzi magumu kama hayo labda angekuwepo baba wa Taifa Mwalimu Nyerere,waliopo hakuna mwenye uwezo huo
Popote penye ulaji hapakosi wapinzani wale wate wenye Nia ya Urais kupitia CCM lazima watakuwa wapinzani wa Lowasa na inaelekea hawajui Kuwa kadri wanavyomfanyia Mizengwe ndivyo wanavyozidi kumfanyia Promo .
Tetesi kutoka chanzo kimoja kilichopo Dodoma katika kikao cha CCM ni kuwa Waziri mkuu huyo wa zamani atafutiwa uanachama na hivyo hatagombea Urais hapo 2015.
Inasemekana awali wajumbe waliomhoji walipendekeza apewe adhabu ya kutokugombea kwa muda wa miezi 18, jambo ambalo lingemfanya kushindwa kugombea katika uchaguzi ujao. Naendelea kufuatilia details nitazileta mapema nikithibitisha maana kikao kilikiwa bado kinaendelea.
Hiyo porojo tu kamanda kwani ccm wenyewe hawana maamuzi ya namna hiyo labda kukaa na kupeana posho kwa kujadili majungu tu
Wajanzi wa mnara wa babeli hao!
tunasubiri maamuzi magumu kutoka chama kubwa.
CCM haiwezi kutishia ku.j.a.m.b.a wakati i.na.ha.ri.sh.a
Tetesi kutoka chanzo kimoja kilichopo Dodoma katika kikao cha CCM ni kuwa Waziri mkuu huyo wa zamani atafutiwa uanachama na hivyo hatagombea Urais hapo 2015.
Inasemekana awali wajumbe waliomhoji walipendekeza apewe adhabu ya kutokugombea kwa muda wa miezi 18, jambo ambalo lingemfanya kushindwa kugombea katika uchaguzi ujao. Naendelea kufuatilia details nitazileta mapema nikithibitisha maana kikao kilikiwa bado kinaendelea.