Imebainika kwamba lengo la kumwita Lowasa Dodoma ilikuwa ni kumwomba msamaha kwa niaba ya Makonda na Mzee Malecela waliomkashfu,hivyo ikaamuliwe waitwe na wengine kwa nia ya kuficha udhaifu wao.Habari hii nimeipata kutoka kwa mmoja wa kamati iliyokuwa ikiwahoji hapo Dodoma.