jpmuchwara
JF-Expert Member
- Sep 28, 2016
- 583
- 511
Lowassa mbona hausauliki tu?Wewe mtu ukoje?Usiku tukilala tunakuota wewe,tukila tunakula wewe mbona unatitesa hivi.CCM OYEEE
Lowassa anaendelea kukukosha bila shakaTakribani wiki moja imepita tangu kuhitimisha kilele cha maadhimisho ya kumbukumbu ya miaka 17, viongozi mbalimbali wa kisiasa na dini walialikwa kuzungumzia masuala ya nchi. Ikiwamo maadili ya uongozi, kuoinga rushwa na demokrasia. Lowassa aligoma kuhudhuria huku ikibainika sababu kubwa ni kukwepa maudhui ya mkutano ule ulioratibiwa na taasisi ya Mwl.Nyerere, sababu nyingine iliyobainishwa ni yeye mwenyewe alijipima na kuona hatoshi kujadili maudhui ya kongamano.
Jana tarehe 21.10.2016 kulikuwa na kongamano kuntu lililoandaliwa na tume ya haki za binadamu, viongozi kadhaa walihudhuria na kutoa michango yao kuhusu masuala ya haki za binadamu,sharia,amani na rushwa kama kawaida aliingia mitini. Walihudhuria mawaziri wakuu wastaafu kama Warioba,Sumaye na wengine akiwamo raisi mstaafu Mzee Mwinyi.
Niseme tu kwa mwanasiasa aliye na dhamira katika siasa za ushindani makongamano kama yale si mahala pa kukosa,pale ni sahihi kuliko kulipa wahuni kushiriki maandamano na ukuta. Ila lazima nikubali tu kwa kiongozi aliye tofauti na asiyeamini mijadala ya rushwa,amani na utawala bora hukwepa kwa sababu ya dhamira inayomsuta.
Hata hivyo namtakia mema katika mkutano wa Chadema ambapo yeye ndiye anatarajiwa kuwa mzungumzaji mkuu katika ajenda ya maandalizi ya uchaguzi wa viongozi wa mashinani ndani ya Chadema, natumaini vijana wake wa ulipo tupo,TeamEL na 4U movement wamejipanga 'kutafuna' mnofu.
Weekend njema.
Lazima wa muogope kwani anaouzoefu wa kuaandaa rigingCcm mnamuogopa sana Lowasa.
Kwahiyo uchafu ndio umekuleta hapa?.......kijana hela za EL zimekuharibu.Hamna hoja hapa kuna uchafu
Lowasa hata atajwe kila kukicha mpaka siku ya kufa kwake haiwezi ikafikia idadi ya jinsi alivyotamkwa mara nyingi zaidi na CHADEMAkwa ufisadiMsiwashangae hao jamaa unajuwa EL aliwatenda mpaka wakalazimika kuiba kura kwa kutisha kuweka mambo sawa sasa mh wamepewa kazi ya kumpaka tope no matter what
Si mlishindwa kumfikisha kortini sasa kelelele za nini ?! Na hata leo hamuwezi kumpereka kwa kuhofia kufukua makaburi ya awamu ya 4Lowasa hata atajwe kila kukicha mpaka siku ya kufa kwake haiwezi ikafikia idadi ya jinsi alivyotamkwa mara nyingi zaidi na CHADEMAkwa ufisadi
ni vigumu kufanikisha Tanzania ya viwanda kama watu wenye akili finyu kama wewe wataendelea kuwepo!Mbona unalialia.....kama kula matunda ndio kumekufanya wewe kuwa mpiga ramli....hatari.
namuona rais wa mioyo ya watanzaniaWatambue hawa walipo kwenye picha kama akili zako zinafanya kazi vizuri.
Itakua wanashindwa kumpeleka kortini kwasababu kuna watu waliosema wanaushahidi na wameufichaSi mlishindwa kumfikisha kortini sasa kelelele za nini ?! Na hata leo hamuwezi kumpereka kwa kuhofia kufukua makaburi ya awamu ya 4
Ni kweli Tz itaendelea kuwa ya mwisho kwa kila kitu Africa kisa umejaaliwa watu design hii !!!.Itakua wanashindwa kumpeleka kortini kwasababu kuna watu waliosema wanaushahidi na wameuficha
Mkuu,Kinana,Mkama na mzee makamba walihudhuria au?Takribani wiki moja imepita tangu kuhitimisha kilele cha maadhimisho ya kumbukumbu ya miaka 17, viongozi mbalimbali wa kisiasa na dini walialikwa kuzungumzia masuala ya nchi. Ikiwamo maadili ya uongozi, kuoinga rushwa na demokrasia. Lowassa aligoma kuhudhuria huku ikibainika sababu kubwa ni kukwepa maudhui ya mkutano ule ulioratibiwa na taasisi ya Mwl.Nyerere, sababu nyingine iliyobainishwa ni yeye mwenyewe alijipima na kuona hatoshi kujadili maudhui ya kongamano.
Jana tarehe 21.10.2016 kulikuwa na kongamano kuntu lililoandaliwa na tume ya haki za binadamu, viongozi kadhaa walihudhuria na kutoa michango yao kuhusu masuala ya haki za binadamu,sharia,amani na rushwa kama kawaida aliingia mitini. Walihudhuria mawaziri wakuu wastaafu kama Warioba,Sumaye na wengine akiwamo raisi mstaafu Mzee Mwinyi.
Niseme tu kwa mwanasiasa aliye na dhamira katika siasa za ushindani makongamano kama yale si mahala pa kukosa,pale ni sahihi kuliko kulipa wahuni kushiriki maandamano na ukuta. Ila lazima nikubali tu kwa kiongozi aliye tofauti na asiyeamini mijadala ya rushwa,amani na utawala bora hukwepa kwa sababu ya dhamira inayomsuta.
Hata hivyo namtakia mema katika mkutano wa Chadema ambapo yeye ndiye anatarajiwa kuwa mzungumzaji mkuu katika ajenda ya maandalizi ya uchaguzi wa viongozi wa mashinani ndani ya Chadema, natumaini vijana wake wa ulipo tupo,TeamEL na 4U movement wamejipanga 'kutafuna' mnofu.
Weekend njema.
Mashuhuri sana hasa kwa rekodi ya RichmondNazidi kuamini Lowassa ndie kiongozi mashuhuri na mtu mashuhuri hapa Tanzania
Atakuongoza wewe na mkeo tu! Wenye akili tulishtuka mapemaaaa!namuona rais wa mioyo ya watanzania
wakiitwa wenye akili na wewe utaenda?Atakuongoza wewe na mkeo tu! Wenye akili tulishtuka mapemaaaa!