Lowassa kasusa tena kongamano la Tume ya Haki za Binadamu

Wakudadavuwa

JF-Expert Member
Feb 17, 2016
17,506
15,997
Takribani wiki moja imepita tangu kuhitimisha kilele cha maadhimisho ya kumbukumbu ya miaka 17, viongozi mbalimbali wa kisiasa na dini walialikwa kuzungumzia masuala ya nchi. Ikiwamo maadili ya uongozi, kuoinga rushwa na demokrasia. Lowassa aligoma kuhudhuria huku ikibainika sababu kubwa ni kukwepa maudhui ya mkutano ule ulioratibiwa na taasisi ya Mwl.Nyerere, sababu nyingine iliyobainishwa ni yeye mwenyewe alijipima na kuona hatoshi kujadili maudhui ya kongamano.

Jana tarehe 21.10.2016 kulikuwa na kongamano kuntu lililoandaliwa na tume ya haki za binadamu, viongozi kadhaa walihudhuria na kutoa michango yao kuhusu masuala ya haki za binadamu,sharia,amani na rushwa kama kawaida aliingia mitini. Walihudhuria mawaziri wakuu wastaafu kama Warioba,Sumaye na wengine akiwamo raisi mstaafu Mzee Mwinyi.

Niseme tu kwa mwanasiasa aliye na dhamira katika siasa za ushindani makongamano kama yale si mahala pa kukosa,pale ni sahihi kuliko kulipa wahuni kushiriki maandamano na ukuta. Ila lazima nikubali tu kwa kiongozi aliye tofauti na asiyeamini mijadala ya rushwa,amani na utawala bora hukwepa kwa sababu ya dhamira inayomsuta.

Hata hivyo namtakia mema katika mkutano wa Chadema ambapo yeye ndiye anatarajiwa kuwa mzungumzaji mkuu katika ajenda ya maandalizi ya uchaguzi wa viongozi wa mashinani ndani ya Chadema, natumaini vijana wake wa ulipo tupo,TeamEL na 4U movement wamejipanga 'kutafuna' mnofu.

Weekend njema.
 
Takribani wiki moja imepita tangu kuhitimisha kilele cha maadhimisho ya kumbukumbu ya miaka 17, viongozi mbalimbali wa kisiasa na dini walialikwa kuzungumzia masuala ya nchi. Ikiwamo maadili ya uongozi, kuoinga rushwa na demokrasia. Lowassa aligoma kuhudhuria huku ikibainika sababu kubwa ni kukwepa maudhui ya mkutano ule ulioratibiwa na taasisi ya Mwl.Nyerere, sababu nyingine iliyobainishwa ni yeye mwenyewe alijipima na kuona hatoshi kujadili maudhui ya kongamano.

Jana tarehe 21.10.2016 kulikuwa na kongamano kuntu lililoandaliwa na tume ya haki za binadamu, viongozi kadhaa walihudhuria na kutoa michango yao kuhusu masuala ya haki za binadamu,sharia,amani na rushwa kama kawaida aliingia mitini. Walihudhuria mawaziri wakuu wastaafu kama Warioba,Sumaye na wengine akiwamo raisi mstaafu Mzee Mwinyi.

Niseme tu kwa mwanasiasa aliye na dhamira katika siasa za ushindani makongamano kama yale si mahala pa kukosa,pale ni sahihi kuliko kulipa wahuni kushiriki maandamano na ukuta. Ila lazima nikubali tu kwa kiongozi aliye tofauti na asiyeamini mijadala ya rushwa,amani na utawala bora hukwepa kwa sababu ya dhamira inayomsuta.

Hata hivyo namtakia mema katika mkutano wa Chadema ambapo yeye ndiye anatarajiwa kuwa mzungumzaji mkuu katika ajenda ya maandalizi ya uchaguzi wa viongozi wa mashinani ndani ya Chadema, natumaini vijana wake wa ulipo tupo,TeamEL na 4U movement wamejipanga 'kutafuna' mnofu.

Weekend njema.
Unamzungumzia huyo mkuu wa kamati ya maadili na madili wa chadema au?
 
Dah...mida ya kupiga dili imeisha kitambo sana..ujinga unazidi kututoka..
 
Msiwashangae hao jamaa unajuwa EL aliwatenda mpaka wakalazimika kuiba kura kwa kutisha kuweka mambo sawa sasa mh wamepewa kazi ya kumpaka tope no matter what
Sasa 2020 ndio wajiandae kuiba sanaa na kuvutuga uchaguziz.. Yani Jecha wamlete huku bara manake kwa hali hii ... mungu ndiye anajua
 
Kamwambie yule aruhusu na wengine wafanye mikutano ya kisiasa kama alivyomruhusu Lipumba.
 
Wana chama chakavu wapuuzi kweli kweli hivi hamna mambo ya kujadili zaidi ya Lowasa? Hata mkishindwa kuwatia mimba wake zenu mtamsingizia Lowasa, wajinga sana nyie viumbe.
 
Takribani wiki moja imepita tangu kuhitimisha kilele cha maadhimisho ya kumbukumbu ya miaka 17, viongozi mbalimbali wa kisiasa na dini walialikwa kuzungumzia masuala ya nchi. Ikiwamo maadili ya uongozi, kuoinga rushwa na demokrasia. Lowassa aligoma kuhudhuria huku ikibainika sababu kubwa ni kukwepa maudhui ya mkutano ule ulioratibiwa na taasisi ya Mwl.Nyerere, sababu nyingine iliyobainishwa ni yeye mwenyewe alijipima na kuona hatoshi kujadili maudhui ya kongamano.

Jana tarehe 21.10.2016 kulikuwa na kongamano kuntu lililoandaliwa na tume ya haki za binadamu, viongozi kadhaa walihudhuria na kutoa michango yao kuhusu masuala ya haki za binadamu,sharia,amani na rushwa kama kawaida aliingia mitini. Walihudhuria mawaziri wakuu wastaafu kama Warioba,Sumaye na wengine akiwamo raisi mstaafu Mzee Mwinyi.

Niseme tu kwa mwanasiasa aliye na dhamira katika siasa za ushindani makongamano kama yale si mahala pa kukosa,pale ni sahihi kuliko kulipa wahuni kushiriki maandamano na ukuta. Ila lazima nikubali tu kwa kiongozi aliye tofauti na asiyeamini mijadala ya rushwa,amani na utawala bora hukwepa kwa sababu ya dhamira inayomsuta.

Hata hivyo namtakia mema katika mkutano wa Chadema ambapo yeye ndiye anatarajiwa kuwa mzungumzaji mkuu katika ajenda ya maandalizi ya uchaguzi wa viongozi wa mashinani ndani ya Chadema, natumaini vijana wake wa ulipo tupo,TeamEL na 4U movement wamejipanga 'kutafuna' mnofu.

Weekend njema.
Mshukuruni huyo mnayemsema kila siku!! Ni mtu aliyejaa uvumilivu na ustahimilivu wa Kirais!! Kwa jinsi mlivyohangaika kuiba kura zake angesema neno moja leo hii ungekuwa kwenye chungu!!
 
Sasa 2020 ndio wajiandae kuiba sanaa na kuvutuga uchaguziz.. Yani Jecha wamlete huku bara manake kwa hali hii ... mungu ndiye anajua
Jecha hawezi kuja hajiwezi amesha somewa ile nanihii na imemshusha mshipa.
Mpaka 2020 litakuwa zigo kubwa labda atembee na whillbarow huku zigo kaliweka humo
 
Ukitaka lisiendelee serikali ya ccm isikie yupo sehem ungevurygulika seriakali inamuogopa haitaki afanye midahalo
 
Nazidi kuamini Lowassa ndie kiongozi mashuhuri na mtu mashuhuri hapa Tanzania
 
6 Reactions
Reply
Back
Top Bottom